Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

TOP 10 YA WACHEZAJI WALIOWAHI KUNUNULIWA KWA PESA NDEFU KWENYE HISTORIA YA SOKA

$
0
0

Maji marefu

Gareth Bale anatajwa kuwa ndiyo mchezaji ghari zaidi kwenye historia ya mchezo wa soka baada ya kununuliwa kwa dau la paundi milioni 85.3 kutoka Tottenham kwenda Real Madrid akiipiku rekodi ya Cristiano Ronaldo ya mwaka 2009 alipotoka Manchester United kwenda Real Madrid

Ronaldo alihama kutoka Manchester United kwenda Madrd kwa ada ya paundi milioni 80 wakati Higuani ameipiku rekodi ya star wa Barcelona Neymar kwa kuwa mchezaji wa tatu kununuliwa kwa mkwanja mrefu baada ya kukamilisha usajili kutoka Napoli kwenda Juventus uliogharimu paundi milioni 75.3 Mwaka 2013 Neymar alihama kutoka Santos kwenda Barcelona kwa kitita cha paundi milioni 73.5 na kuwa mchezaji wa tatu ghari katika historia ya soka, kwa sasa anakamata nafasi ya nne.

Hii hapa list ya wachezaji 10 ghali zaidi kwa muda wote katika historia ya uhamisho wa soka.

  1. Kevin De Bruyne

kevin de bruyne

Kutoka Wolfsburg kwenda Manchester City – £55m

10. Edinson Cavani

Edinson-Cavani

Kutoka Napoli kwenda PSG – £55m

9. Kaka

kaka1

Kutoka AC Milan kwenda Real Madrid – £59m

8. Zlatan Ibrahimovic

Kutoka Inter Milan kwenda Barcelona – £59m(£40m+Eto’o)

7. Angel Di Maria

Angel di Maria1

Kutoka Real Madrid kwenda Manchester United – £59.7m

6. James Rodriguez

James Rodriguez2

Kutoka Monaco kwenda Real Madrid – £63m

5. Luis Suarez

Luis Suarez5

Kutoka Liverpool kwenda Barcelona – £65m

4. Neymar

Neymar5

Kutoka Santos kwenda Barcelona – £73.7m

3. Gonzalo Higuain

Gonzalo Higuain3

Kutoka Napoli kwenda Juventus – £75.3m

2. Cristiano Ronaldo

cristiano-ronaldo

Kutoka Manchester United kwenda Real Madrid – £80m

1. Gareth Bale

Gareth Bale

Kutoka Tottenham kwenda Real Madrid – £85.3m


Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>