Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

PICHA 5 ZA MA-STAR WA BONGO WALIOSHUHUDIA GAME YA YANGA VS SIMBA

$
0
0
Star wa Bongo Movies Vicent Kigosi ‘Ray’ (aliyevaa kofia nyeusi) akifatilia kwa makini mchezo wa Yanga dhidi ya Simba. Ray ni shabiki mkubwa wa Yanga SC
Star wa Bongo Movies Vicent Kigosi ‘Ray’ (aliyevaa kofia nyeusi) akifatilia kwa makini mchezo wa Yanga dhidi ya Simba. Ray ni shabiki mkubwa wa Yanga SC

Mchezo wa Simba vs Yanga hushuhudiwa na mashabiki lukuki Tanzania, Afrika Mashariki na Kati lakini katika mchezo wa leo (Jumamosi February 20, 2016) kuna watu wenye majina makubwa bongo walikuwepo kushuhudia mchezo huo.

Wapo ambao waliweka mapenzi yao wazi kwa kuvaa jezi za timu wanazozishabikia lakini wapo pia ambao hawakutaka kuonekana wako upande upi kati ya timu hizo mbili.

Angalia picha za baadhi ya ma-star hao walioibuka uwanja wa taifa kujionea wenyewe live game ya Dar es Salaam Derby.

Mawaziri wa serikali ya awamu ya tano Mwigulu Nchemba (katikati) na Nape Nnauye (kulia) walikuwepo uwanja wa taifa kuangalia mtanange wa Yanga vs Simba
Mawaziri wa serikali ya awamu ya tano Mwigulu Nchemba (katikati) na Nape Nnauye (kulia) walikuwepo uwanja wa taifa kuangalia mtanange wa Yanga vs Simba
Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba Zacharia Hans Poppe (aliyevaa kofia) akiwa amesimama kusuhudia namna ambavyo Simba ikikwama mbele ya Yanga
Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba Zacharia Hans Poppe (aliyevaa kofia) akiwa amesimama kusuhudia namna ambavyo Simba ikikwama mbele ya Yanga
Baada ya ushindi ni sherehe, Ray akifungua kinywaji kufurahia ushindi wa Yanga baada ya kuifunga Simba kwa bao 2-0
Baada ya ushindi ni sherehe, Ray akifungua kinywaji kufurahia ushindi wa Yanga baada ya kuifunga Simba kwa bao 2-0
Kamanda wa polisi mstaafu wa jiji la Dar es Salaam Suleiman Kova (kushoto juu) alikuwepo kushuhudia pambano la watani wa jadi Yanga vs Simba
Kamanda wa polisi mstaafu wa jiji la Dar es Salaam Suleiman Kova (kushoto juu) alikuwepo kushuhudia pambano la watani wa jadi Yanga vs Simba
Waziri wa zamani Profesor Juma Kapuya
Waziri wa zamani Profesor Juma Kapuya
Superstar mwingine wa Bongo Movies JB akiwa nje ya uwanja muda mfupi kabla ya pambano la Yanga vs Simba halijaanza, JB ni mnazi mkubwa wa mnyama wa Msimbazi
Superstar mwingine wa Bongo Movies JB akiwa nje ya uwanja muda mfupi kabla ya pambano la Yanga vs Simba halijaanza, JB ni mnazi mkubwa wa mnyama wa Msimbazi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>