Ticket za Simba Vs Yanga zinazwa kwenye vituo hivi na gharama zake.
Tiketi za mchezo wa watani wa jadi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania (VPL) kati ya Yanga SC dhidi ya Simba SC Jumamosi, Februari 20, 2016 zimeanza kuuzwa leo Ijumaa saa 2 asubuhi leo asubuhi katika...
View ArticleNAPE NNAUYE ATUMBUA JIPU BMT
Nape Nnauye-Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Mh. Nape Nnauye February 19 ametembelea Baraza la Michezo Tanzania (BMT) kujua namna ya...
View ArticleKUELEKEA YANGA VS SIMBA, ANGALIA PICHA ZA MUONEKANO WA JIJI LA DAR
Hapa jezi pale tiketi, unatoka kununua tiketi unanuna jezi kesho unaingia kwenye game umependeza Jumamosi ya February 22 2016 utapigwa mchezo wa Dar es Salaam Derby (Yanga vs Simba) kwenye uwanja wa...
View ArticleJE WEWE NI SHABIKI WA MAN UNITED? HAYA NI MANENO YA VAN GAAL KWAKO
Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal akishangaa baada ta timu yake kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Midtjylland Louis van Gaal amekiri kwamba mashabiki wa Manchester United walikuwa sahihi kuwatolea...
View ArticleMAGULI ACHA KULIA, KOMAA UFANYE KAZI YAKO
Elias Maguri (kushoto) mchezaji wa Stand United ya Shinyanga Na Baraka Mbolembole Straika wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Elius Maguli alianza msimu huu kwa kasi kubwa katika ufungaji lakini...
View ArticleRekodi 20 za Champions League Ambazo Messi na Ronaldo bado hawajazivunja
Katika kipindi cha miaka 10 iliyopita, Lionel Messi na Cristiano Ronaldo wamekuwa na ushindani mkubwa ambao umepelekea wawili hao kujitengenezea nafasi katika listi ya wachezaji bora kabisa kuwahi...
View ArticleJE, MWISHO WA CHELSEA LIGI YA MABINGWA UMEISHIA PARIS?
Juzi tarehe 16/02/2016 Chelsea ilikuwa ugenini ikiivaa PSG kwenye uwanja wake wa nyumbani ‘Parc des Princes’ ikiwa mbele ya mashabiki wao wapatao 70,000. PSG tunayoizungumzia hapa ni ile ambayo...
View ArticleHAPPY BIRTHDAY ‘LEGEND’ PETER MANYIKA
Kila ifikapo February 19 ya kila mwaka golikipa wa zamani aliyetamba akiwa Yanga na timu ya taifa ya Tanzania Peter Manyika anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa ‘birthday’ ambayo ni muhimu kwa kila mtu....
View ArticleTP MAZEMBE KANISANI KUELEKEA SUPER CUP, ULIMWENGU KAMA KAWA
Kesho February 20 utapigwa mchezo wa Super Cup kati ya TP Mazembe dhidi ya Etoile du Sahel ya Tunisia, unapolitaja jina la TP Mazembe lazima ukutane na jina la mtanzania Thomas Ulimwengu akiipeperusha...
View ArticleNI AIBU! MCHEZAJI WA MAN UNITED AAMUAKUCHEZA GAME YA FIFA KULIKO KUITAZAMA...
Mchezajiwa Manchester United aliyepo kwa mkopo katika klabuya Hull City Nick Powell amesema aliamua kucheza game la FIFA kuliko kuangalia mechi ya United dhidi ya klabu ya Mitdjyland ya kule nchini...
View ArticleTAMBO ZA MASHABIKI KUELEKEA PAMBANO LA YANGA VS SIMBA (Video)
Kelekea pambano la watani wa jadi Yanga vs Simba, Dauda TV ‘timu ya ushindi’ iliingia kwenye baadhi ya mitaa ya jiji la Dar kuangalia ari ya mashabiki ikoje kuelekea pambano hilo. Asikwambie mtu...
View ArticleYANGA SC V SIMBA SC, MSHINDI HUYU HAPA
Na Baraka Mbolembole Thaban Kamusoko ndiye mchezaji bora zaidi kuelekea mchezo wa kesho Jumamosi kati ya ‘Watani wa Jadi’ na ‘ Wapinzani Wakuu’ wa kandanda la Tanzania. Yanga SC iliyo nafasi ya pili...
View ArticleMAWAZO YA GUUS HIDDINK KUHUSU TERRY, MIAZGA, HAZARD NA BABA RAHMAN
Kochawa Chelsea Guus Hiddink anatarajia kutopata huduma ya mchezaji kiongozi wake John Terry katika mechi ya Jumapili dhidi ya Manchester City, ingawa mholanzi huyo ana imani kubwa ya kurejea kwa...
View ArticleBERLUSCONI, MIAKA 30 MILAN, PAUNI BILION 1 ZA USAJILI, MATAJI 5 YA ULAYA
Silvio Berlusconi ambaye ni Waziri Mkuu wa zamani wa Italia ameweka wazi kuwa ametumia pauni bilioni 1 katika kipindi chake cha urais katika klabu yake ya AC Milan ya Italia. “Kama nitajiwekea...
View ArticleWACHEZAJI WA MAN UTD SASA WAMTAKA MOURINHO MAPEMA IWEZEKANAVYO
Baada ya Van Gaal kupoteza mchezo wake wa Europa League Alhamisi usiku dhidi ya Midtjylland kocha huyo amejiweka kwenye mazingira magumu ya kuendelea kuwa kocha wa Manchester United. Kocha huyo tayari...
View ArticleYANGA YATIBUA MIPANGO YA MAYANJA, MNYAMA ACHINJIWA BAHARINI
Wachezaji wa Yanga wakiongozwa na Simon Msuva (katikati) wakishangilia ushindi wao wa bao 2-0 dhidi ya Simba kwenye mchezo wa Dar Derby uliopigwa kwenye uwanja wa taifa February 20, 2016 Yanga imefuta...
View ArticleThomas Ulimwengu aweka rekodi mpya kwa wachezaji wa Tanzania.
TP Mazembe imechukua kwa mara ya tatu African Super Cup baada ya kuifunga Tunisian Red Devils “Etoile Du Sahel” kwa magoli 2-1. TP Mazembe imepata ushindi kutokana na magoli ya striker wa Ghana Daniel...
View ArticlePICHA 5 ZA MA-STAR WA BONGO WALIOSHUHUDIA GAME YA YANGA VS SIMBA
Star wa Bongo Movies Vicent Kigosi ‘Ray’ (aliyevaa kofia nyeusi) akifatilia kwa makini mchezo wa Yanga dhidi ya Simba. Ray ni shabiki mkubwa wa Yanga SC Mchezo wa Simba vs Yanga hushuhudiwa na...
View ArticleSUAREZ AENDELEA KUTISHIA AMANI LA LIGA KABLA YA KUIFATA ARSENAL
Barcelona wameendeleza rekodi yao ya kutopoteza mchezo kwenye ligi ya Hispania La Liga baada ya kuichapa Las Palmas kwa bao 2-1 na kuendelea kukaa kileleni mwa ligi hiyo kwa tofauti ya pointi tisa....
View ArticleTHE GUNNERS YABANWA MBAVU NA TIMU YA DARAJA LA KWANZA
Arsenal imelazimishwa sare ya 0-0 kwenye uwanja wake wa nyumbani dhidi ya Hull City timu inayoshiriki ligi daraja la kwanza England, mchuano huo uliopigwa Jumamosi February 20 ulikuwa ni mchezo wa FA...
View Article