Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Picha za Arsenal wakiwa kwenye mazoezi ya mwisho kabla ya kucheza na Barcelona.

$
0
0

1

Kikosi kizima cha Arsenal kimeshafika Hispania na leo hii wamefanya mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na mechi yao ya kesho dhidi ya Barcelona.

Mechi ya kwanza Arsenal walifungwa kwa magoli 2-0 kwenye uwanja wa Emirates na kesho watajaribu kugeuza matokeo kama wataweza ili kusonga mbele kwenye UEFA.

Hizi ni picha za kikosi cha Arsenal chini ya manager Wenger wakifanya mazoezi.

2 3 4 5 6 7 8 mzee


Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>