
Kuna matukio mengi yalijiri wakati na baada ya mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara kati ya Coastal Union dhidi ya Simba uliochezwa kwenye uwanja wa Mkwakwani, Tanga
Inawezekana ulipitwa na matukio muhimu, shaffihauda.co.tz inakupa matukio hayo katika picha ili kukupa ladha halisi ya mchezo wenyewe ndani na nje ya uwanja.


















