Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

KUTANA NA WAREMBO WANNE WALIOUPAMBA MCHEZO WA YANGA VS MWADUI

$
0
0
Kabula (kushoto) akiwa na swahiba zake wakishuhudia mtanange kati ya Yanga dhidi ya Mwadui kwenye wanja wa taifa
Kabula (kushoto) akiwa na swahiba zake wakishuhudia mtanange kati ya Yanga dhidi ya Mwadui kwenye wanja wa taifa

Ukiachana na matokeo ya Yanga kuifunga Mwadui FC kwa magoli 2-1 kwenye mchezo uliochezwa April 13, 2016 kwenye uwanja wa taifa, kitu kingine kilichokuwa gumzo uwanjani walikuwa ni warembo kadhaa ambao waliteka ‘attention’ ya baadhi ya mashabiki waliokuwepo uwanjani kushuhudia pambano hilo.

Kabula 1

Star wa Bongo Movies maarufu kwa jina la Kabula alikuwepo uwanjani akiwa ameambatana na mrembo mwingine ambaye hakufahamika jina lake mara moja.

Kabula na wenzake wakiwa wamesimama wakati wa kutoa heshima kwa mwanachama na shabiki maarufu wa Yanga Hussein Makabuleta aliyefariki hivi karibuni
Kabula na wenzake wakiwa wamesimama wakati wa kutoa heshima kwa mwanachama na shabiki maarufu wa Yanga Hussein Makabuleta aliyefariki hivi karibuni

Mashabiki wengi walionekana kuwashangaa warembo hao inawezekana kutokana na style walizokuwa wamenyuka walipokwenda uwanja wa taifa kushuhudia pambano la VPL.

Jicho la www.shaffihdauda.co.tz iliinasa pia hii selfie ya hawa warembo
Jicho la www.shaffihdauda.co.tz iliinasa pia hii selfie ya hawa warembo

Jicho la mtandao huu lililokuwepo uwanja wa taifa liliwanasa warembo wengine wawili ambao pia walikuwa kivutio uwanjani hasa pale walipoamua ku-kanga photo ‘selfie’ wakati wapo jukwaani wakifurahia burudani kutoka kwa Yanga na Mwadui.

Kabula 3

Mara kadhaa Kabula amekuwa akihudhuria uwanjani kushuhudia michezo mbalimbali inayopigwa kwenye uwanja wa taifa lakini mara nyingi huonekana kwenye mechi zinazoihusu klabu ya Yanga.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>