Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

MASHABIKI WACHOMA UWANJA MOTO BAADA YA TIMU YAO KUSHUKA DARAJA.

$
0
0

Mashabiki wa klabu ya ESKISEHIRSPOR ya nchini uturuki wameamua kuuchoma moto uwanja wa timu yao hiyo baada ya kuchapwa goli 2-1 na Medipol Basaksehir ,matokeo yaliyosababisha timu hiyo kushuka daraja.

Timu hiyo ilipanga kuachana na uwanja huo unaoitwa Eskisehir Ataturk na kuhamia uwanja mpya walioujenga ambao unakadiliwa kuingiza mashabiki elfu 33.

Bofya hapa kuona sakata hilo lilivyohappen huko.

 

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>