Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Simba hakuna kulala, yaanza mipango ya kuimaliza Stand United

$
0
0

img_4568

Baada ya ushindi wake wa 3-0 dhidi ya Mwadui mkoani Shinyanga, kikosi cha Simba kimeendela na mazoezi chini ya kocha mkuu Joseph Omog na wasaidizi wake kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa Jumatano dhidi ya Stand United.

‘Mnyama’ anaisubiri Stand United ambayo Jumapili ilicheza dhidi ya Ruvu Shooting ambapo mchezo huo ulimalizika kwa suluhu.

Camera ya shaffihdauda.co.tz imezinasa picha wakati Simba wakipiga jaramba kwenye uwanja wa Kambarage, unaweza kuziangalia hapa chini.

img_4614img_4622img_4641img_4638img_4608img_4568img_4640img_4608img_4610img_4632img_4579img_4629

img_4614


Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>