Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

TANZIA: Bondia Thomas Mashali afariki dunia

$
0
0

thomas-mashali

Bondia wa ngumi za kulipwa nchini Thomas Mashali maarufu kama Simba aliyefugika amefariki dunia usiku wa kuamkia leo kwa kushambuliwa na watu wasiojulikana maeneo ya Kimara jijini Dar es Salaam.

Inaelezwa kuwa, Mashali alishambuliwa kwa za wizi au ugomvi na mwili wake uliokotwa vichakani huko maeneo ya Kimara.

Taarifa zaidi zitakujia kadiri zitakavyotufikia


Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>