Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Top 10 ya ma-star wa soka wanaomiliki mijengo ghali zaidi duniani

$
0
0

HOME OF DAVID AND VICTORIA BECKHAM IN SAWFORDSBRIDGE, HERTS. PREPARATIONS AND MARQUEES FOR PARTY TO BE HELD TOMORROW BEFORE ENGLAND FOOTBALL TEAM LEAVE FOR THE WORLD CUP. 11-5-02 PIC BY IAN MCILGORM

Kwa hakika mchezo wa soka unawalipa sana wanachezaji na hiyo imewafanya wengine kumiliki mijengo ya maana pengine sawa na matajiri wengine wakubwa duniani.

Hapa tunaangalia mijengo 10 ya wachezaji ya gharama zaidi na hapo utagundua baadhi yao tayari wameshastaafu lakini wamejumuishwa kukupa wewe taswira halisi namna ambavyo mchezo huu ulivyowawezesha wachezaji hao kupata makazi bora ya kuishi.

10. Kaka- $3 Million

kaka-house

9. Andres Iniesta: $4.6 million

iniesta-house

8. Lionel Messi- $5 million

messi-houses

7. Mario Balotelli: $5 million.

baloteli-house

6. Cristiano Ronaldo: $6 million.

ronaldo-house

5. Frank Lampard: $7 million.

lampard-house

4. John Terry: $7.5 million.

terry-house

3. Wayne Rooney: $17.83 million.

rooney-house

2. David Beckham: $20 million.

beckham-house

1. Didier Drogba- $21million

drogba-house


Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>