Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

PICHA 10: Wadau wa Mbagala walivyoshuhudia game ya Man United vs Arsenal

$
0
0

img_0438

Jana Jumamosi November timu nzima ya shaffihdauda.co.tz iliungana na ile ya Sports Extra ya Clouds FM kwenda kushuhudia mechi mbalimbali za ligi za Ulaya zilizopigwa kuanzia saa 9:30 alasiri.

img_0445 img_0442

Tulikuwa na wadau wetu wa Mbagala tukiangalia soka kwa pamoja ndani ya Sabasaba Classic Bar iliyopo maeneo ya Sabasaba.

img_0449 img_0450

Mchezo uliovuta hisia za wadau wengi wa soka ulikuwa ni wa EPL kati ya Manchester United dhidi ya Arsenal uliomalizika kwa sare ya kufungana bao 1-1.

img_0458 img_0454

Wadau walikuwa ni wengi na tulifahamiana na kupiga stori mbili tatu hususan kuhusu masuala ya soka kuanzia hapa kwetu Tanzania hadi kwa wenzetu barani Ulaya na Dunia kwa ujumla.

img_0445 img_0437

Asikwambie mtu kulikuwa na mzuka wa hali ya juu kwa mashabiki wa timu zote mbili waliohudhuria kuangalia game pale Sabasaba Classic Bar hususan yalipofungwa magoli watu walipagwa kwa shangwe na tambo za hapa na pale.

img_0457


Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>