Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

PICHA: STARS YAANZA SAFARI YA KUREJEA NYUMBANI

$
0
0

IMG-20151118-WA0008

Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ wameanza safari ya kurejea jijini Dar es Salaam baada ya kichapo cha magoli 7-0 walichokipata toka kwa Algeria kwenye mchezo uliochezwa jana usiku wa marudiano wa kutafuta nafasi ya kushiriki fainali za kombe la dunia zitakazofanyika mwaka 2018 nchini Urusi.

Stars imetupwa nje ya michuano hiyo kwa jumla ya magoli 9-2 baada kucheza michezo miwili.  Stars imeanza safari saa tano kwa saa za Afrika Mashariki na wanatarajia kuwasili jijini Dar es Salaam Alhamisi November 19.

IMG-20151118-WA0007 IMG-20151118-WA0015 IMG-20151118-WA0011 IMG-20151118-WA0010 IMG-20151118-WA0013


Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>