Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADRID, MSIYEMPENDA KAJA!

Zikiwa zimebaki siku nne kuelekea mchezo wa mahasimu wakubwa wa soka la Hispania, El Classico inayowakutanisha miamba yasoka Real Madrid na Barcelona, Lionel Messi ameanza mazoezi Jumatatu hii tayari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOFU YA MAGAIDI YAUFUTA MCHEZO KATI YA SPAIN NA UBELGIJI

Baada ya shambulio la kigaidi lililotokea Ijumaa usiku jijini Paris nchini Ufaransa, hali bado sio shwari barani Ulaya baada ya kuwepo kwa viashiria vya tukio jingine la kigaidi nchini Ubelgiji na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LAKERS YALAMBISHWA ARDHI TENA. BRANDON KNIGHT KATIKA KIWANGO CHA MAISHA YAKE

Brandon Knight aliweza kupata trible double yake ya kwanza ya maisha ya Basketball katika NBA dhidi ya klabu ya Los Angeles Lakers alfajiri a leo. Brandon Knight aliisadia klabu yake ya Phoenix Suns...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHICAGO BULLS YAINYOOSHA PACERS YENYE PAUL GEORGE ALIYE KATIKA KIWANGO BORA

Butler alifunga pointi 17 na alicheza kwa kuimarisha ulinzi mkali dhidi ya Paul  George katika umilki wa mwisho wa mpira wa Indiana Pacers. Hii ilipelekea  kuisaidia Chicago Bulls  kung’ang’ana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OKLAHOMA CITY THUNDER YAENDELEA KUANGUKA, YACHAPWA NA MEMPHIS GRIZZLIES...

Mario Chalmers  ghafla amepitia mageuzi kutoka mmoja wa wachezaji wengi waliopitua maisha ya kudharauliwa katika uwanja wa Memphis. Lakini imemchukua michezo mitatu tu kugeuka kuwa moja ya wachezaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOKEO YAJUMLA YA NBA NOV 16

FINAL DAL 92 PHI 86 1 2 3 4 T 28 21 19 24 92 15 29 21 21 86 FINAL IND 95 CHI 96 1 2 3 4 T 21 24 30 20 95 31 22 26 17 96 FINAL BOS 111 HOU 95 1 2 3 4 T 24 31 32 24 111 28 27 13 27 95 FINAL OKC 114 MEM...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWAKA MMOJA WA HASSAN KESSY SIMBA SC HAIJAFIKIA HATA THAMANI...

Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam Miezi 11 iliyopita Simba SC ilimsaini mlinzi wa kulia, Ramadhani Kessy kutoka klabu bingwa mara mbili ya zamani ya Tanzania bara, Mtibwa Sugar. Kessy alikuwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUELEKEA MCHEZO WA ALGERIA VS TANZANIA, JOTO LAZIDI KUPANDA KWENYE MITAA YA...

Leo vyombo vingi vya habari vya mjini Blida vimekua vikiuzungumzia mchezo kati ya Algeria dhidi ya Tanzania wa kuwania nafasi ya kupangwa kwenye hatua ya makundi kuwania kushiriki fainali za kombe la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAWA NDIO WABADALA SAHIHI WA NADIR HAROUB, KELVIN YONDAN TAIFA STARS

Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam Timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Jumanne hii itacheza mchezo wa marejeano kuwania nafasi ya kufuzu kwa hatua ya makundi kuwania tiketi ya fainali za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WA MAJIMAJI WANAPIGA SANA PESA, WACHEZAJI NJAA KALI

Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam, Wachezaji 6 wanataraji kutimka leo kurudi mikoani mwao, na tayari wachezaji zaidi ya 8 wameondoka kwa ‘taabu’. Hakika kinachoendelea sasa ndani ya Majimaji FC ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MBAGALA MARKET 2009 HADI MFUNGAJI BORA AFRIKA 2015…LILLE NI KITUO...

Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam Mshambulizi wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta ‘ Samagoal’ atajiunga na timu ya ligi kuu ya Ufaransa, Lille mara baada ya kutimiza ndoto zake za miaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALGERIA YAIFUNGASHIA STARS FURUSHI LA MAGOLI

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imeondoshwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kupangwa kwenye hatua ya makundi kwa ajili ya kutafuta nafasi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MACHUPA: UWAZI UNATAKIWA KATIKA SOKA LA KISASA TUSIKARIRI MAJINA, BADO...

Mshambuliaji wa zamani wa Simba SC na timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Baada ya Stars kupata kipigo cha bao 7-0 dhidi ya Algeria kwenye mchezo wa kusaka nafasi ya kupangwa kwenye makundi ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KABWE: MUHIMU KUJIFUNZA NA KUJIPANGA UPYA, TUWEKEZE KUENDELEZA VIPAJI...

Zitto Kabwe, kiongozi wa cha cha ACT Wazalendo Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Mh. Zitto Kabwe ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini ametoa maoni yake kuhusiana na matokeo mabovu iliyopata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKWASA AWAOMBA WAANDISHI APUMZIKE

Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania Charles Boniface Mkwasa Ndoto za watanzania kushiriki fainali za kombe la dunia mwaka 2018 nchini Urusi zilisitishwa usiku wa November 17, 2015 kwenye uwanja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMATTA ATOA YA MOYONI KUHUSU KICHAPO CHA STARS

Nyota wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta ameandika kwenye account yake ya facebook kuonesha masikitiko yake baada ya Stars kupokea kichapo cha magoli 7-0 mbele ya Algeria kwenye mchezo wa kuwania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DOYE MOKE : BARTHEZ ALIKUA MZEMBE, STARS INAHITAJI WACHEZAJI WA KIMATAIFA ZAIDI

 Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam Baada ya kushuhudia timu ya kandanda ya Tanzania ikichapwa kipigo ‘kikubwa zaidi’ tangu ilipojiunga FIFA mwaka 1964, wadau mbalimbali wamejitokeza na kuweka wazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: STARS YAANZA SAFARI YA KUREJEA NYUMBANI

Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ wameanza safari ya kurejea jijini Dar es Salaam baada ya kichapo cha magoli 7-0 walichokipata toka kwa Algeria kwenye mchezo uliochezwa jana usiku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROONEY AWAZIMA MIDOMO WANAOMBEZA, AING’ARISHA ENGLAND MBELE YA FRANCE

Wazungu wana usemi usemao, “Class is permanent, form is temporary” wakimaanisha uwezo na kipaji ni kitu kikubwa zaidi ya kiwango ‘fomu’ ambayo huja na kupotea. Usemi huo ulithibitika jana usiku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU 11 ZATHIBITISHA KUSHIRIKI MICHUANO YA KIKAPU YA TAIFA CUP DODOMA.

Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini limethibitisha kuanza kwa michuano ya Taifa Cup itakayofanyika mjini Dodoma mwishoni mwa juma hili. Lengo la michuano hiyo ni kukutanisha mikoa mbalimbali katika...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live