Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 12: MATUKIO YALIYOJIRI NJE YA UWANJA FAINALI YA NDONDO CUP 2016

Mashindano ya Ndondo Cup yananogeshwa na mashabiki wake kwa asilimia kubwa, ubunifu na aina yao ya ushangiliaji umekuwa ukiwavutia hata wale ambao hawana mazoea ya kuangalia mpira. Sasa Julai 30...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KISIGA AJIZOLEA MIZAWADI NDONDO CUP

Baada ya Temeke Market kubuka mabingwa wa Ndondo Cup 2016 kwa kuifunga Kauzu FC magoli 3-1, Shabani Kisiga ‘Malone’ alitangazwa mchezaji bora wa mechi hiyo lakini pia mchezaji bora wa mashindano ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUFUNGWA NOMA SANA, CHIFU WA KAUZU KALOWA ‘CHAPACHAPA…’

Chifu wa Kauzu ni shabiki wa Ndondo ambaye amejizolea umaarufu mkubwa kutokana na style zake za ushangiliaji huku akipata mashabiki wengi wanaopenda vituko na mbwembwe zake pindi anapokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMA USAJILI WA EURO MIL 90 WA HIGUAIN JUVE NI KWA AJILI YA UEFA, BASI...

Na Mahmoud Rajab Pesa, pesa, pesa. Pesa ni kitu cha ajabu sana hapa ulimwenguni. Inaweza kufanya chochote kile kwa mantiki ya kutimizwa matakwa fulani. Katika soka ndiyo usiseme, imekuwa ni kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NENO LA ZLATAN BAADA YA KUFUNGA GOLI LA KWANZA AKIWA MAN UNITED

Zlatan Ibrahimovic anaamini kwamba kuna kitu kizuri anakiona mbele ya Manchester United baada ya kufunga goli lake aina ya bicycle-kick, ukiwa ni mchezo wake wa kwanza tangu asajilie klabuni hapo....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMATTA UWANJANI LEO LIGI KUU UBELGIJI

Mbwana Samatta leo anatarajiwa kuonekana tena katika nyasi za Ulaya pale timu yake ya Genk itakapovaana na KV Oostende katika muendelezo wa mechi za ufunguzi katika Ligi Kuu ya Ubelgiji maarufu kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIONAVYO MIMI: MO APEWE SIMBA LAKINI SIYO KWA 51% – 2

Katika sehemu ya kwanza ya makala hii, nilianza kwa kumjadili Mo na historia yake ndani ya Simba. Nilienda mbali nakukumbushia kidogo kilichokuwa kikitokea zamani enzi za wafadhili. Kwa kifupi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZLATAN HAWEZI KUWA MFALME WALA LEGEND LABDA SEHEMU NDOGO YA MASHUJAA WA MAN...

Na Mahmoud Rajab Muda uliokuwa ukisubiri wa na watu wengi juu ya Zlatan sasa umewadia. Wiki nne zimeshapita tangu mchezaji huyo ambaye anaaminika kuwa na ‘personality’ kubwa kuthibitishwa kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Biashara mbaya za usajili za Barca katika muongo 1 uliopita 

Uhamisho wa Adriano Correia kwenda Basiktas kwa ada ya uhamisho wa 600,000 euros ni maamuzi mengine mabaya katika soko la usajili yaliyofanywa na bodi ya klabu ya FC Barcelona.  Tuangalie maamuzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMATTA ATUMBUKIA NYAVUNI MECHI YA KWANZA LIGI YA UBELGIJI

Akitokea benchi zikiwa zimesalia dakika 10 mechi kumalizika, Mbwana Samatta amefunga bao lililoipa ushindi Genk kwenye mchezo wao wa kwanza wa ligi ya Ubelgiji (Belgium Pro League) na kuisaidia timu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kila unachohitaji kujua kuhusu soka katika Olympic 2016

 Mchezo wa soka haukwemo kwenye mashindano haya mara mbili tu, mwaka 1896 na 1932.   Kuelekea mashindano ya Olympic ya mwaka huu vifuatavyo ndio vitu unavyopaswa kujua kuhusu mchezo wa soka katika Rio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: DIEGO COSTA AMENASWA AKIMWAMBIA SERGIO RAMOS ANATAKA KUIHAMA CHELSEA

Kuna video imeenea kwenye mitandao ya kijamii baada ya mechi ya kirafiki wakati wa pre-season kati ya Chelsea dhidi ya Real Madrid iliyopigwa huko Michigan, Marekani. Chelsea ilipoteza mechi hiyo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: RANIERI ANAENDELEA KUHARIBU DILI LA MAHREZ KUTUA ARSENAL

Boss wa Leicester City Claudio Ranieri amewafurahisha wengi wakati akihojiwa na Sky Sports kuhusu tetesi za nyota wake Riyad Mahrez kuihama klabu hiyo. Mara zote amekua akiongea bila kujiamini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENGER AUPONDA USAJILI WA POGBA UNITED

Wakati wa Michuano ya Euro mwaka huu iliyofanyika nchini Ufaransa, Pogba alikuwa mchezaji muhimu sana kwa taifa la Ufaransa lakini allishindwa kuwapa ubingwa baada ya kufungwa na Ureno kwenye mchezo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YANUKIA MIKONONI MWA MO, ATAJA SABABU YA KUTOPELEKA OFA KWA MAANDISHI

Ikiwa ni siku moja tu baada ya wanachama wa klabu ya Simba kuridhia mabadiliko ya klabu yao kutoka kwenye mfumo wa sasa wa uanachama hadi kuwa kampuni ambayo itaendeshwa kibiashara, bilionea Mohamed...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYOTA WA CHELSEA ATIMKIA UJERUMANI

Baba Rahman ajiunga na Schalke Mambo hayakuwa mazuri kwa Baba Rahman kunako klabu ya Chelsea. Beki huyo wa kushoto wa mwenye asili ya Ghana msimu uliopita alijiunga na Chelsea akitokea klabu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jicho la 3: ‘MSISHANGILIE MABADILIKO YASIYO RASMI HIVI SASA, JIULIZENI PIA NI...

Na Baraka Mbolembole WAKATI baadhi ya wanachama/mashabiki wa klabu ya Simba SC walipojaribu kutaka kumshambulia mwenyekiti wa kamati ya usajili, Zacharia Hans Poppe mara baada ya timu yao kupoteza 1-0...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bale Akodi kisiwa cha karibu billioni 2 kumchumbia demu wake

Gareth Bale alikodi kisiwa cha Tagomago, kilichopo karibu na Ibiza ili kufanya shughuli ya kumposa mchumba wake Emma Rhys-Jones. Kwa mujibu wa ripoti mchezaji huyo wa Real Madrid alikikodi kisiwa hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SABABU ZA KIMASOMO ZIMECHANGIA KUICHAGUA NDANDA SC, NAWASHUKURU MASHABIKI WA...

Na Baraka Mbolembole KIUNGO wa zamani wa Yanga SC, Salum Telela amewashukuru mashabiki wake aliowaacha katika timu hiyo na kusema kuwa sababu za kimasomo ndizo zimemfanya kuichagua timu ya Ndanda SC...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANZANIA ANAECHEZA ZAMBIA AMEITAJA SABABU YA JINA LAKE KUONDOLEWA KIKOSI CHA...

Juma Luizio-mchezaji wa timu ya Zesco United ya Zambia Na Baraka Mbolembole MSHAMBULIZI Mtanzania anayekipiga katika timu ya Zesco United ya Zambia leo Jumanne anaweza kufahamu hatima yake kuhusu...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>