Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all 9000 articles
Browse latest View live

Unamshangaa King Kiba? Kuna hawa wengine walioimba na kupiga soka

$
0
0

Ulimwengu wa soka na mziki nchini Tanzania ulitawaliwa na habari kubwa wiki iliyopita baada ya msanii Ally Saleh Kiba almaarufu kama Ali Kiba kujiunga na timu ya Coastal Union.

Kiba amekuwa akicheza soka la hali ya juu mtaani kwao Kariakoo na katika mechi ya Hisani dhidi ya tema ya Mbwana Samata alionesha uwezo uliomuacha mdomo wazi kila mtu.

Wengi wamekuwa na mtazamo tofauti kuhusu Alikiba lakini Kiba sio mtu wa kwanza kucheza soka pamoja na kuimba muziki, kuba hawa wengine.

Clint Dempsey. Unamkumbuka nyota huyu wa zamani wa Tottenham Hotspur? Sasa huyu Texas anaheshimika kama moja ya marraper wa mji huo na kama unakumbuka mwaka 2006 alichana katika ngoma ya Dont Tread ambayo ilitumiwa na Nike katika kombe la dunia 2006.

Jesse Rodriguez. Nyota wa zamani wa Real Madrid, huyu naye ni rapper mkubwa na wa Latin wanakubali sana nyimbo zake ambapo katika mziki anajiita Jey M, ngima ya Rodriguez iitwayo Lo Sabia ina viwers milion 31 You Tube.

Asamoah Gyan. Kama unakumbuka Gyan alihusishwa na kifo cha rapper wa Marekani Castro, nyota huyu wa Ghana na Castro walikuwa marafiki na wana ngoma yao inaitwa African Girls na Gyan akiwa studio anajiita Baby Jet.

Memphis Depay. Tofauti na wengine, nyota huyu “bishoo” ambaye amewahi kukipiga United yeye ngoma zake ziko studio tu, muda mwingi akiwa likizo anautumia kurap na kama unakumbuka mwaka jana akiachia free style yake ya kwanza na akasema kama sio mpira angekuwa ametoboa katika rap.

John Barnes. Hatukuwepo wakati wa enzi zake lakini Barnes alikuwa nyota wa Liverpool miaka ya 80 na 90, lakini Barnes alikuwa na verse maarufu katika wimbo uitwao World In Motion wa kundi la New Orders nyimbo ambayo ilikuwa maarufu sana miaka ya 90.

Royston Drenthe. Kiungo wa Kiholanzi ambaye wengi tunamkumbuka akiwa Real Madrid na baadaye Everton, nyimbo yake ya Tak Tiki ni marufu Ubolanzi lakini pia ana nyimbo nyingine alimuimbia mwanaye wa kike iitwayo Jemayi Lee.


Niyonzima kuhojiwa Simba

$
0
0

Haruna Niyonzima akiwa bado kwao Rwanda na kuchelewa kujiunga na kikosi cha Simba kwenye kambi ya Uturuki, Rais wa Simba Salim Abdallah amesema Niyonzima hatoweza tena kwenda Uturuki kwa sababu muda umekwenda.

Salim amesema wanatarajia kumhoji Niyonzima kwa kosa la kukaa kimya hadi sasa.

“Haruna ni mchezaji wa Simba, tulimpa ruhusa maalum ya mapumziko na matibabu kule kwao Rwanda.”

“Tarehe ambayo alitakiwa kurudi Haruna ilikuwa ni July 20 ili aweze kuungana na wenzake, hata passport yake ina visa ya Uturuki lakini kwa sababu ambazo tumeshindwa kuzifahamu hadi sasa Haruna hajajiunga na timu, mwaka jana alikosa pre-season hata performance yake haikuwa nzuri kwa sababu ya kukosa pre-season na kukaa pamoja na wenzake.”

“Mwaka huu tena anakutana na tatizo hilohilo, sisi kama uongozi tunajaribu kuangalia kwa nini Haruna hajajiunga na timu kwa ajili ya pre-season.”

“Zipo taratibu na namna ya kufanya, kama ni makosa basi tutamwadhibu kwa mujibu wa taratibu zetulakini tutampa nafasi ya kujieleza kwa nini hajajiunga na timu.”

“Inawezekana ikawa ni tabia yake lakini na sisi kama klabu tuna tabia yetu kwa hiyo hatuwezi kuiga tabia yake. Kama amekosea zipo taratibu za kuchukua, yule ni mchezaji inawezekana ana jambo linamsumbua tutamwita tutamsikiliza halafu tutaona ni kitu gani cha kufanya.”

“Kuhusu ishu ya kiwango, Haruna amekuwa na matatizo msimu uliopita, alikuwa na majeraha na ni kawaida mchezaji anapokuwa na majeraha kiwango kinateremka kidogo. Kwa hiyo msimu huu ndio wakati wa Haruna kupandisha kiwango chake.”

“Bado nasisitiza Haruna ni mchezaji mzuri na ana kiwango kikubwa cha kuisaidia Simba.”

“Hawezi kwenda tena Uturuki kwa sababu siku zimekwisha, nadhani hakuna mchezaji tena atakaekwenda Uturuki kuungana na klabu. Baada ya kumsikikiza na klabu kufanya maamuzi tutashauriana na mwalimu kuona kama mwalimu anaweza kumpa program maalum kufidia yale ambayo wamefanya wenzake.”

Chanzo: SportLeo @RadioOne

Dili 10 kubwa zinazoweza kufanyika United, Chelsea na Madrid kabla ya mwisho wa dirisha la usajili

$
0
0

Zimebaki siku 10 tu kwa dirisha kubwa la usajili barani Ulaya kufungwa, usajili wa safari hii umeonekana sio wa mbwembwe sana tofauti na uliopita. Lakini bado katika siku hizi 10 kuna dili zinaweza kukamilika.

Aaron Ramsey – Chelsea. Wengu hawalioni hili ila mkataba wa Ramsey na Arsenal umebaki mwaka mmoja tu na hakuna dalili ya mazungumzo, Chelsea wanaiwinda saini yake na ujio wa Maurizio Sarri unaweza kumshawishi Ramsey kusaini The Blues.

Thibaut Courtois – Real Madrid. Tetesi za Courtois kwenda Madrid zilikuwepo tangu kabla ya dirisha la usajili kufunguliwa, Madrid wanajaribu na japo imekuwa ngumu ila inaonekana kuna asilimia nyingi ya usajili huu kutokea.

Willian – Manchester United. Usajili wa Malcolm kwenda Barcelona umekatisha habari za Wilian kujiunga na Barca, na sasa Manchester United na kwa mbaali Real Madrid ndio ambao wanapewa nafasi kumnunua Willian.

Eden Hazard – Real Madrid. Binafsi siamini kama Real Madrid watamaliza dirisha hili la usajili bila kununua nyota mkubw, hadi sasa hawana usajili mkubwa waliofanya japokuwa Cr7 ameondoka na wanaonekana labda wanajiandaa na jambo kubwa, Hazard mwenyewe anaonekana kupendezwa na tetesi hizi na hili linaweza kutokea mda wowote.

Harry Maguire – Manchester United. Inatajwa kwamba inahitajika karibia £60m kumtoa Maguire Leicester City, United wamemuweka huyu katika orodha ya juu kabisa ya nyota wanaowataka na labda katika siku hizi 10 wanamaliza jambo lake.

Christian Pulisic – Chelsea. Borussia Dortmund wanasema hauzwi lakini wakala wake ameshakutana na wakurugenzi wa tinu mbali mbali ikiwemo tajiri wa Chelsea Roman Abromovich, kuna uwezekano Abromovich akatumia ushawishi mkubwa alionao kumpata Pulisic.

Alvaro Morata – Juventus. Majuzi tu Maurizio Sarri alikiri kutoridhishwa na kiwango cha Morata, lakini bado anampa muda. Kama Chelsea watafanikiwa kuoata mshambuliaji mpya baasi ni wazi Morata atakuwa njiani kuondoka Chelsea.

Kweli Pogba amekua, atoa sababu ya kutobadili nywele kombe la dunia

$
0
0

Ufaransa walichukua ubingwa wa kombe la dunia na michezo yote ilipigwa huku kiungo wao “bishoo” Paul Pogba akicheza katika kiwango cha hali ya juu sana na kuwa moja ya chachu za Ufaransa kubeba ndoo.

Fomu ya Pogba kwa namna ilivyokuwa Urusi iliwashtua watu wengi na wengi wakimtaka Pogba huyo kwa kiwango hichohicho ndio akipeleke Manchester United.

Lakini kama ulimuona Pogba sio tu kiwango kilibadilika, ila hata kichwanu kwake kulikuwa na mabadiliko ya nywele zake, Pogba hakubadili style ya nywele zake hata mara moja.

Akiwa Manchester United amekuwa akibadili mitindo ya nywele karibia kila mechi, na kupaka karibia rangu zote kichwani mwake lakini akiwa na Ufaransa alibaki tu na nywele zake za kawaida.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram kuna shabiki alimuuliza Paul ni kwanini hakubadili mtindo wa nywele kwenye kombe la dunia?

Paul Pogba alimjibu shabiki huyo na kumuambia alitaka kuwa na amani na wekeze malengo yake katika soka tu na sio muonekano ili watu wamhukumu katika mpira tu sio vitu vingine.

Hii ina maana kubwa kwa Pogba kwani katika msimu uliopita EPL alikuwa akisemwa sana kuhusu kiwango na ubishoo haswa nywele zake, lakini anaonekana aliamua ni bora asemwe kuhusu kitu kimoja.

Haijafahamika moja kwa moja kwamba Pogba ataendelea kubadili nywele akiwa na Manchester United au atafanya kile alichofanya Urusi akiwa na timu ya taifa ya Ufaransa.

UFAFANUZI: Kwa nini kocha wa Yanga hakai kwenye benchi?

$
0
0

Mwenyekiti wa kamati ya usajili na mashindano Yanga, Hussein Nyika amefafanua kwa nini kocha Zahera Mwinyi hakai kwenye benchi kutokana na kukosa kibali cha kufanyia kazi licha ya muda mrefu kupita tangu kocha huyo kusaini mkataba wa kuifundisha Yanga.

“Wanayanaga wanatakiwa wajue sio Yanga inayotoa kibali, ni taratibu za kiserikali zinajulikana na bahati mbaya au nzuri watu wote wanajua makao makuu ya nchi yamehamia Dodoma kwa hiyo michakato ya kwenda Dodoma kufatilia vibali na hapa katikati kulikuwa na bunge la bajeti kwa hiyo wizara ilikuwa na mambo mengi sana.”

“Kibali kimepatikana Alhamisi lakini kilikuja kwa kuchelewa kwa hiyo kufuatilia uhamiaji Ijumaa tukawa tumechelewa ndio maana Jumamosi hakuweza kukaa kwenye benchi.”

“Kibali nimekithibitisha mwenyewe jana (Jumatatu) nina hakika mechi ijayo mwalimu atakaa kwenye benchi.”

Carrick sio Paka ni simba aliyenyeshewa

$
0
0

Msimu wa 2006 tarehe 31 Mwezi Julai, Spurs walipokea dau la £14m, kumuuza Carrick, kuelekea klabu ya Man United. Ilikuwa tarehe kama ya leo na mwezi kama leo ndipo Carrick alielekea Old Trafford.

“Nakumbuka wakati Michael anakuja alipewa jezi namba 16 shirt jezi iliyovaliwa na Roy Keane, moja ya viungo bora kuwahi kutoka katika ligii kuu England (Premier League). Nilimuonea sana huruma kwa sababu alikuwa ananonekana mpole na nilidhani viatu alivyopewa ni vikubwa mno kwake. Nilipenda tabia yake mazoezini na uwanjani. Najivunia kucheza nae pamoja. Nilikiwa naajiona huru sana uwanjani kama Carrick yupo.

Kuwa nae katikati nilikuwa kwenye mikono sahihi zaidi. Navhokidhania ni kwamba ile heshima anayopewa Carrick haiendani hata kidogo na ushujaa wake. Kila ninapomuona Michael uwanjani, nafsi yangu inasuhuzika maana najua United ushindi hapo asilimia kubwa. Carrick kwangu ni sawa Rolls Royce, iliyokuwa inazunguka uwanjani.” Haya ni maneno ya Paul Scholes

Mpira wa kiingereza ni mgumu sana. kwanza ni mgumu kwa aina ya uchezaji na ni mgumu kwa mchezaji kufanikiwa na kuimbwa. kuna mtu kama Lee Barry Cattamole, akiwa na umri mdogo kabisa wa miaka 19 tu na siku 47 alikuwa nahodha ya klabu ya Middlesborough lakini nani anayemjali sana wakati yupo timu inayoshabikiwa na mji tu?

“Wakati nacheza England nilikosa bahati ya kucheza na mtu kama Carrick, ni mshapu wa maamuzi wala hajazubaa uwanjani.” Xabi Alonso

Unapokuwa unaangalia mpira wa kiingereza utamu wake ni vurugu vurugu za akina Roy Keane, viatu vya akina Barry, Claudio Makelele ya akina Steven Gerrad, Hasira za akina Wayne Rooney, uchokozi wa akina Joe Barton na mashuti ya akina Frank Lampard. Lakini wapo watu wawili walijificha kwenye kivuli cha soka la Uhispania na wengi hawakujali sana kazi yake. Anaitwa Michael Carrick.

“Carrick alipaswa kucheza Barcelona; Nadhani huyu ni mchezaji asiyeongelewa sana hapa England.”
Arsene Wenger

“Carrick ni mmoja kati ya viungo wachezeshaji na wazuiaji bora duniani ambao pia nimewahi kuwaona. Napenda kumfananisha na Xabi Alonso, Sergio Busquets .” Pep Guardiola

Sergio Busquets ni mmoja ya viungo ambao pia wanaweza kuonekana kuwa wadhaifu. Lakini huyu ndiye chachu hasa kupata ubora halisi wa Xavi na Andrés Iniesta. Hawa wote walicheza kwa uhuru wakijua kuwa Sergio anamaliza kila kitu. Wakati Busquets anasajiliwa na Guardiola wemgi walimdharua lakini kwa sasa wamegundua kuwa mpira sio miguvu pekee.

Ni ngumu kumpoteza Carrick au Busquets na Xabi Alonso. Carrick ndiye mchezaji pekee aliyeonekana kucheza vyema kwenye fainali ya UEFA 2011 kayi ya wachezaji wote wa Man United wapokutana na Barcelona ndani Wembley dhidi United.

Dimba la katikati la Engand limewapoteza akina Lampard na Gerrard, kisha Michael Carrick amefuatana na Scott Parker.

“Carrick anaipa Man United nyenzo nzuri ya kufanya timu itulie vyema katika pande zote, anapiga pasi nzuri, anapika magoli na ana upeo mzuri sana.” Xavi Hernandez

Hupaswi kukata tamaa katika maisha. Mwaka 2000/01, alifanikiwa kucheza michezo 41 ilikuwa kwa mara yake ya kwanza kwa kipindi cha miaka minne katika ligi la daraja la kwanza. Msimu wa 2003/04, alichaguliwa kwenye timu bora ya msimu.

Carrick aliondoka West Ham baada ya klabu hiyo kushuka daraja na alielekea upande wa pili wa London kwenye klabu ya Tottenham Hotspur. Hapo ndipo alipo mshawishi kocha mkuu wa Man United Sir Alex Ferguson.

“Michael ni sawa Scholes wachezaji hawapendelei sana umeaarufu. Sio kwamba hajui umuhimu wa umaarufu ila ni tabia yake tu miaka ya nyuma pia alikiwepo Denis Irwin alikuwa hivyo hivyo pia. Michael anachokiangalia ni timu inataka nini na sio yeye anataka nini. Alijaliwa akili nyingi sana nje na ndani ya uwanja. Na nadhani huyu ndiye kiungo wa kati bora zaidi hapa Uingereza kwa sasa (2014)”
Sir Alex Ferguson

Changamoto aliyokumbana nago Carrick ni kwamba waingereza walimthaminisha kiungo mkabaji katika picha ya Claude Makélélé. Kwamba kama hutumii nguvu, hukabi kwa kucheza rafu na ubavu basi wewe kwao ni kiungo mkabaji dhaifu

“Ukitaka kujua Michael ni nani cheza nae na pia cheza dhidi yake” Ryan Giggs

Wachezaji wa dimba la kati England usipocheza rafu wewe kwao sio bora. Mimi naona hayo ni mawazo mgando tu. Parker huyu ndiye aliyempa Modric uhuru wa kutawala dimba la juu kwa amani. Sura ya Parker ilijificha kwenye maumbile ya akina Sergio Basquet, Marehemu Cheik Tiote, Alexandra Song, Carrick na Steven Gerrard. Wayne Roonye pia alifaidi sana mabawa ya Michael Carrick.

Aliposajili kutoka West Ham na kwenda Tottenham, alionekana kama Paka kwenye kundi la mbwa kumbe ni Simba aliyenyeshewa.

“Carrick sio mchezaji wa msimu. Wengi wetu tunawapenda. Wale wachezaji wa magazetini kuliko uhalisia. Carrick ni noma.” Thierry Henry.

Hao walionekana kwa sababu timu zao zilikuwa na mashabiki wengi na zilipata mafanikio ambayo yaliwapa heshima kubwa. Ni aina ya kiungo ambaye sio lazima acheze rafu nyingi.

Kwa miaka ijayo sijajua nani atavaa viatu vya Carrick ukiachilia mbali Gerrard. Sio Man United tu hata timu ya taifa ya England simuoni Carrick kwenye kivuli cha Eric Dier. Dier anatumia sana nguvu kuliko akili kama Carrick.

“Michael Carrick alikuwa kiboko ya Liverpool, Arsenal na Manchester City, tena usiombe awepo Scholes utagundua nachokisema. Ukimwangalia Carrick anavyocheza ni sawa na kwenda baa ambayo kuna piano pembeni inapigwa. Carrick ni piano.” Gary Neville

“Harry, Michael Carrick huyu ni kiungo bora kuwahi kumuona kwa macho yangu. Carrick namuona kwenye picha ya Glenn Hoddle.’” Harry Redknapp

Kwaheri Carrick

Usiache kufuatilia dauda Tv kwenye yotube Channel. Mimi Privaldinho (Instagram)

Madili haya ni “Pasua Kichwa”

$
0
0

Makocha na mashabiki wengi huwa wanakosa sana amani wakati wa usajili. Ukisikia mchezaji wako anahitajika na vilabu kama PSG, Real Madrid, Barcelona na Man United basi matumbo joto. Kwa sasa kuna baadhi ya sajili zimeshika sana hatamu. Baadhi ya wachezaji wanahitajika kwa gharama yeyote na vilabu husika havitaki kuwaachia wachezaji wake hao waende.

Hazard Eden thamani 💶 Milioni 200

Kocha mkuu wa Chelsea Maurizio Sarri hataki kumuachia Hazard. Madrid inamhitaji ili kuziba pengo la Ronaldo Barcelona pia wanaleta kivuli kuonesha nia ya kumhitaji na hii ndio sababu kubwa hasa ya kupanda kwa thamani kwa hazard. Anahitajika ndani ya pembe 3, (Cjelsea, Madrid, na Barcelona)

Uwezekano wa kuondoka (100%)

Madrid wana asilimia 30 ya kumpata kwa sababu hawaogopi kutumia hela na huyo ndiye mbadala sahihi zaidi.

Barcelona wana asilimia 25 ya kumpata kutokana na ubora na ukubwa wa klabu hiyo. Wapo nyuma asilimia 5 ya Madrid kwani Hazard anaweza akatazama uwezekano wa kupata nafasi ya uhakika Barcelona zaidi, na anaweza kuamua kwenda Madrid ambapo ana uwezo wa kuwa nyota wa timu tofauti na Barcelona nyota wa timu ni Messi.

Chelsea wana asilimia 45 za kumbakiza. Hazard hana wenge na ni mmoja kati ya wachezaji watulivu. Pia anaipenda sana Chelsea na sio mchezaji anayeonesha tamaa. Chelsea pia dau waliloweka ni kubwa mno.

Maguire Harry thamani 💶 milioni 65

Leicester ni wabishi na ipo kwenye wakati mgumu wa kupoteza baadhi ya nyota wake muhimu. Alianza N’golo Kante kwenda Chelsea, Drinkwater Danny pia, na msimu huu Riyadh Mahrez ameleekea Man City. Harry Maguire anahitajika kwa udi na uvumba ndani ya klabu Man United. Jose Mourinho anataka kushindana vyema msimu ujao. Liverpool na Man City pamoja na klabu zingine zimefanya usajili mkubwa. United mpaka sasa hakuna usajili mkubwa uliofanyika utakaotishia vilabu vikubwa na kuleta hofu.

Uwezekano wa kusajiliwa (100%)

Man United ina uhakika wa kumpata kwa asilimia 60. Kwanza wana hela nyingi na wamekwisha kujitahatadharisha kutokana na usajili unaofanyika kwingineko.

Real Madrid wana asilimia 10 tu kutokana na kwamba hawajaweka sana nia maana kikosi chao ni imara na Maguire ni ngumu kuchukua uamuzi wa kwenda Bernabeu kutokana na ufinyu wa nafasi.

Leicester wana asilimia 30 tu ya kumbakiza kutokana na nguvu ya hela na istoshe Maguire pia hawezi kukataa ofa ya timu kubwa kama United. Kocha wa Leicester City Claude Puel, amesisitiza tena imani yake kwamba, mchezaji wake Harry Maguire, mwenye umri wa miaka 25, atasalia katika klabu yake ya Leicester, licha ya kuhusishwa kujiunga na Manchester United.

Anthony Martial thamani 💶 milioni 70

Mourinho hamtaki Martial, Martial hamtaki Mourinho, Man united inamtaka Martial. Ni ngumu sana kwa bodi ya United kumwachia mchezaji mchanga mwenye kipaji kama yule eti kisa tu mwalimu haendani na falsafa zake.

Uwezekano wa kuondoka (100%)

50 kwa 50 kuondoka au kubaki. Kwa sababu tayari Martial haoneshi moyo wake tena kwa United. Ed Woodward anaweza kumbakiza kwa sababu tu anahisi huenda Mourinho akaondoka na wakafanikiwa kumtumia vyema Martial hapo baadae.

Wanakumbuka sana yaliyowatokea kwa Pogba hivyo ni ngumu wao kurudia kosa.

Christian Pulisic thamani 💶 Milioni 60

Hivi majuzi Borussia Dotmund walijitahidi kweli kumuomba Pulisic asaini mkataba mpya lakini aligoma. Hayupo tayari kubakia klabu hapo. Klabu yake imeweka dau kubwa mno. Cheslea wapo tayari kumchukua lakini dili lake nalo litategemeana na dili lingine kichaa la Willian kwenda Barcelona au Man United.

Barcelona inamuwinda Wilian licha ya kwamba hawajapelela ofa yeyote. Ofa ya Willian ndiyo iyakayoamua kumtwaa Pulisic. Hata hivyo BVB wamesema hiyo bei wameshusha kwa muda tu. Wanaamini kuwa thamani yake ni kubwa zaidi.

Uwezekano wa kuondoka (100%)

Hili nalo ni 50 kwa 50. Chelsea wanategemea hela ya kibati ili kumpata. Yeye mwenyewe anahitaji kuondoka. Ni kama mbuzi kafia kwa muuza supu maana yeye mwenyewe anasaka nafasi ya kucheza klabu kubwa.

Wilian & Hazard Thamani 💶 Milioni 300
Dili la mmoja wao ndilo litakaloua la mwenzake. Sidhani kaa hawa wote wanaweza kjondoka kwa wakati mmoja. Kama Wilian ataenda Barcelona basi Madrid hawasahau kuhusu Hazard. Kama Hazard ataenda Madrid kuna ukakasi sana wa Wilian kuondoka hapo.

Kwanza Chelsea watakuwa na Milion 200 mfukoni, Pulisic anapatikana kwa Euro Milion 60 bado watabakiwa na milion 140 + Willian hivyo wanaweza kununua wachezaji wengine kama vile Martial Milion 70 n.k

Uwezekano wa wote kuondoka 10%
Uwezekano wa mmoja kuondoka 70%
Uwezekano wa wote kubaki 5%

Lewandowski thamani haijajulikana

Huyu tokea msimu uishe yeye anatangaza kuhama tu. hatujasikia taafifa zinzomhusisha kuondoka. Kocha mkuu wa Bayern amesema haondoki wakala anasema anaondoka.

Uwezekano wa kuondoka 50/50%

Usiache kufuatilia ukurasa wetu huu kila saa kujua yanayotokea masokoni, Instagram na facebook Shaffih dauda, Mimi ni Privaldinho (Instagram)

Orodha ya wachezaji waliowahi kushare wapenzi, Cristiano Ronaldo ndio kinara wao

$
0
0

Wacheza soka wengi ni vijana na maisha ya umaarufu mara nyingi yanakumbana na story nyingi sana, leo nataka nikupe nyota wakubwa wa soka ambao wamewahi kudate na mwanamke mmoja.

Cristiano Ronaldo & Sergio Ramos(Nareida Gallardo). Mwaka 2007 mwanamitindo Gallardo alikutana na Ramos katika club usiku na hapo mapenzi yao yakaanza lakini miaka miwili baadae akakutana tena na Cr7 pia wakaanzisha mahusiano, japo baadae Gallardo alimwagwa na nyota hao wawili.

Cr7 kwa sababu ambazo hazikuwekwa wazi aliamua kummwaga Gallardo kwa ujumbe mfupi wa message na mwanadada huyo akaona ngoja nimuoneshe huyu Mreno, alikwenda kwenye Tv na kusema Cr7 ni goi goi katika mambo ya watu wazima.

Mario Balotelli & Cristiano Ronaldo(Rafaella Fico). Ronaldo tena huyu hapa kwa Rafaella na inasemekana(Rafaella alisema) Ronaldo alikuwa mwanaume wa kwanza kuwahi kutoka naye kimapenzi lakini kama ilivyo Gallardo huyu naye alimponda Cr7 kwa mambo ya chumbanj kuwa ni goi goi.

Mwaka 2011 Rafaella akaanza kutika na Mario Balotelli katika uhusiano ambao haukuzidi hata miezi 5, baada ya wawili hao kumwagan Rafaella alidai ana mimba ya Balotelli lakini mshambuliaji huyo wa Italia aliikataa hadi baadae vipimo vga DNA vilipothibitisha kuwa ni kweli.

Cristiano Ronaldo & Marcus Bent(Gemma Atinkson). Ronaldo tena huyu hapa, na Gemma alimnasa Ronaldo tangu 2007 lakini uhusiano wa hawa wawili ulivunjika baada ya muda mfupi japo Gemma yeye hakuweka siri za chumbani za Cr7.

Baada ya mahusiano yao kuvunjika, mrembo huyu alihamia kwa mshambuliaji wa zamani wa Everton Marcus Bent, wawili hawa walipendana hadi wakachumbiana lakini uchumba wao ukavunjika ndani ya miezi miwili.

Wayne Rooney & Mario Balotelli(Jenny Thompson). Kama unakumbuka dada huyu alikuwa maarufu sana wakati mke wa Rooney akiwa na mimba ya kwanza, inadaiwa wakati mkewe akilea mimba Rooney alitoka na msichana huyu ambaye anafanya kazi katika club ya usiku.

Lakini baadae Jenny alitajwa katika break up ya Mario Balotelli na Rafaella Fico kwani Balotelli alianza mahusiano ya chinichini na msichana huyo na baada ya Fico kugundua ukawa mwisho wao.

Mesut Ozil & Matteo Ferrari(Aida Yespica). Inadaiwa kwamba Yespica ndio binti mrembo zaidi kuwahi kuzaliwa Venezuela kwenye miaka kuanzia 90+, Aida alianza kutoka na nyota wa Itakia Matteo Ferrari na wakapata hadi mtoto aitwaye Aron Ferrari.

Baada ya penzi la Ferrari na Aida kufa, Mesut Ozil akaona ndio wakati wake kujiweka kwa mrembo huyo. Aida anadaiwa alikuwa chanzo cha Ozil kuuzwa na Real Madrid kwenda Arsenal kwani nyota huyo alikuwa akisafiri kila mara kwenda kumuona Aida aliyekuwa Milan nchini Italia.


Imetajwa sababu Simba kuichagua Uturuki

$
0
0

Rais wa klabu ya Simba Salim Abdallah ‘Try Again’ amesema sababu iliyowafanya kuchagua kuweka kambi Uturuki kwa ajili ya maandalizi ni hali ya hewa ya eneo hilo kurandandana na hali ya hewa ya Dar.

“Uturuki kwa sasa hali ya hewa ipo kama Dar es Salaam, tatizo ni kwamba kunakuwa na mabadiliko ya hali ya hewa. Tupo umbali wa futi 1800 kutoka usawa wa bahari kwenye ile kambi yetu.”

“Hata wanariadha wanapenda kufanya mazoezi kwenye sehemu za miinuko kwa ajili ya kupata pumzi, ukiangalia wanariadha wa Kenya wanafanya mazoezi kwenye milima hata wanariadha wa nyumbani wengi hufanyia mazoezi Arusha kwa hiyo na sisi tumekwenda kwenye muinuko ule kwa ajili ya kupata pumzi.”

“Ni eneo ambalo limetengenezwa maalum kwa ajili ya michezo, mabadiliko ya hali ya hewa mvua kunyesha ni jambo la kawaida lakini hakuna baridi, hali ya hewa ni kama Dar.”

Barack Obama atajwa kwenye kufukuzwa kazi kocha wa Hispania

$
0
0

Mwezi uliopita wakati zimebaki siku chache kabla ya kuanza kwa michuano ya kombe la dunia pale Urusi, timu ya taifa ya Hispania ilitawala vyombo vya habari baada ya kumtimua kocha wao.

Julen Lopetegui alifungashiwa virago vyake baada ya kusaini mkataba wa kuifundisha Real Madrid na akatangazwa kuchukua nafasi ya Zinedine Zidane wakati bado anaifundisha Hispania.

Sasa karibia mwezi na zaidi umepita baaada ya tukio hilo na sasa raisi wa chama cha soka Hispania Luis Rubiales ameweka wazi jambo ambalo watu wengi hawakulifahamu wakati wakimfukuza Lopetegui.

Anasema baada ya kumfukuza kocha huyo waliwahi kukutana na raisi aliyepita wa Marekani Barack Obama ambaye kwa maongezi yao anasema Obama anaona alikuwa sahihi kumuondoa Lopetegui wakati ule.

Obama na familia yake walikuwa mjini Madrid wiki chache zilizopita ambako alikutana na waziri mkuu wa Hispania pamoja na raisi huyo wa chama cha soka Hispania na kuzungumza machache ikiwemo syala

Baada ya Lopetegui kutimuliwa, nafasi yake ilichukuliwa na Fernando Hiero lakini Hispania waliishia katika 16 bora, Luis Enrique kwa saaa ndiye kocha mkuu wa timu ya taifa Hispania akichukua mikoba hiyo mapema mwezi huu.

Rui Faria ameondoka na furaha ya Mourinho, na leo Madrid wanaweza kuharibu kabisaa

$
0
0

Usiku wa kuamkia Jumatano(usiku wa leo) klabu ya Manchester United watakuwa uwanjani kuwakabili Real Madrid katika mchezo katika muendelezo wa michuano ya ICC.

Mchezo huu wengi wanauona kama mchezo wa kirafiki tu lakini ukiungalia nje ya box ni mchezo ambao una maana kubwa sana kwa Manchester United haswa kwa kocha wao Jose Mourinho.

Mourinho hafurahii kufungwa na timu kubwa popote pale na ndio maana kipigo cha mabao 4-1 kutoka kwa Liverpool kilizua habari nyingi sana na yote haya yalitokana na maneno ya Mourinho.

Kama United watafungwa katika mchezo wa leo inamanisha watakuwa wamefungwa mara mbili mfululizo katika mechi zao za maandalizi ya msimu mpya wa EPL jambo ambalo litazua taswira nyingine mpya kuelekea msimu ujao wa EPL.
Paul Pogba, Romelu Lukaku, Marouane Fellaini, Marcus Rashford, Jesse Lingard, Ashley Young, Phil Jones, Victor Lindelof na Marcos Rojo bado hawajarudi, Nemanja Matic na Valencia wameumia, Anthony Martial yuko Ufaransa na presha kwa Mou inazidi kuwa kubwa.

Rui Faria naye bado anamuumiza sana Mou.

Rui Fillipe “Da Cunha” Faria ni raia wa Ureno, huyu amekuwa pembeni ya Mourinho tangu Jose aanze soka la kupambana sana mwaka 2002/2004 akiwa na Fc Porto.

Faria kwanza alikuwa kocha wa viungo wa Porto akaondoka na Mourinho kwenda Chelsea 2004 kama msaidizi, wakaenda Inter tena mwaka 2008, mwaka 2010 wakaenda wote Real Madrid, 2013 wakaenda Chelsea kabla ya 2016 kujiunga na Real Madrid.

Inasemekana Faria ndiye mtu ambaye anamjua Mou kuliko mwanadamu yeyote katika soka, furaha na huzuni za Mou katika soka alikuwepo na ndiye msaada mkubwa hadi Mou anabeba makombe 25.

Nyota wa zamani wa Liverpool Charlie Adam amenukuliwa akisema kuondoka kwa Faria lazima kuiathiri Manchester United na hili pia litaleta mtikisiko mkubwa kwa Mourinho katika msimu unaokuja.

Tangu Faria aachane na Mourinho, kocha huyo wa United anaonekana kukosa furaha na kuwa na mikwaruzano na mabosi kila kukicha, tayari Mou amewaweka katika bodi ya ufundi Michael Carrick na Kieran McKenna kuziba nafasi ya Faria.

Makombe ambayo Mourinho na Faria walishinda.

2002/2004 Fc Porto 6 (Kombe ya ligi 2, kombe la chama cha soka 2,Champions League 1, Europa 1).

2004/2007 Chelsea 6(Kombe la ligi 2, Fa 2).

2008/2010 Inter Milan 5(Kombe la ligi 2, Michuano ya Italia 2, Champions League 1).

2010/2013 Real Madrid 3(Kikombe cha ligi 1, Michuano ya Hispania 2).

2013/2015 Chelsea 2(Kikombe cha ligi 1, Michuano mingine Uingereza 1).

2016/Sasa Manchester United (Michuano mingine Uingereza 2, Europa 1).

Madrid wameshamkata kilimilimi.

Kama unafahamu nikukumbushe ya kwamba United walikuwa kwenye mbio za kumnasa Gareth Bale, kwa mda sasa wamekuwa wakihusishwa kumnunua nyota huyo kutoka Rea Madrid.

Lakini hii leo wakati wakijiandaa na mchezo wao dhidi ya Manchester United, kocha wa Real Madrid Julen Lopetegui amesema Bale ana furaha sana Real Madrid na yuko tayari kuvaa viatu vya Cristiano Ronaldo.

Nani Mbabe kati yao?

Real Madrid ndio wababe wa Manchester United kwani katika mechi 11 ambazo timu hizi mbili zimekutana, Madrid wameshinda mara 5, Manchester United wameshinda michezo miwili huku timu hizi zikienda suluhu mara 4.

LIVE : Mechi ya kwanza ya Himid Mao. PetroJet Vs Zamalek

Abdi Banda! Hakamatiki tena! anatafutwa na mabingwa

$
0
0

Kupitia jarida maarufu la habari ncini Afrika Kusini Soccerladuma limeripoti kuwa mlinzi mahiri wa klabu ya Baroka Fc Abdi Banda a.k.a Abdi “Van Djik” anawindwa na mabingwa wa msimu na mabingwa mara 8 wa ligi kuu Afrika kusini Mamelodi Sundowns.

Mabingwa Mamelodi Sundowns wapo katika harakati za kuimarisha kikosi chao baada ya kutwaa ubingwa msimu uliopita.

Taarifa kutoka Siya , Masandawana zinadai kuwa Abdi Banda anahitajika na klabu hiyo baada ya kufanya vyema na klabu yake licha ya matokeo ya kusuasua ya klabu hiyo ya msimu uliopita waliomaliza nafasi ya 2 kutoka mkiani wakiwa wameruhusu mabao 38.

Baroka FC watotto hawa wanaotumia uwanja wa Old Peter Mokaba huu ni msimu wao watatu kwenye ligi hiyo.

Hata hivyo huenda dili hili likawekwa kwenye wakati mgumu kutokana na klabu hiyo kuhitaji huduma za mlinzi huyo.

Morgan Mammila ambaye ni mkurugenzi wa klabu hiyo alisema kuwa klabu uake haitaruhussu mchezaji yeyote kuondoka na watapambana kumaliza nafasi nane za juu msimu ujao.

“Malengo yetu ni kucheza vyema na kuhakikisha hatutaruhusu mchezaji yeyote kuondoka. Tunahitaji kwanza kujua ni kivipi tutafuzu MTN8. Hivyo nafasi 8 za juu ni lengo letu kubwa.”

Msimu wa kwanza Baroka kumaliza nafasi 2 za mwisho kabla ya kushinda mchezo wa mtoano kwenye mchezo wa kuamua timu ya kushuka daraja.

Msimu uliopita walitawala mechi za awali kabla ya kuporomoka mpaka nafasi ya 14.

Mshambuliaji hatari wa zamani wa Kaizer Chief, Wedson Nyirenda ametwaa mikoba ya kuinoa klabu hiyo.

Mashindano M G Y R Dkk
Jumla 32 3 3 2.853′
28 3 2 2.493′
3 1 270′
1 90′
Y-Njano, R-Nyekundu, Dkk-Dakika, G-Mabao, M-Mechi.

Banda alicheza michezo 28 kwa klabu hiyo. Kiwango chake ndani ya klabu yake, pamoja na kuitwa kwake timu ya taifa mara kwa mara kumefanya aanze kuwindwa na timu mbalimbi.

Kocha mkuu wa Mamelodi Pitso Mosimane anafahamu uwezo wa Banda vyema. Banda ndiye mchezaji bora ea Baroka msimu uliopita bila shaka. Baroka wana haki ya kumzuia lakini Mosimane pia anaweza kumshawishi Banda na kupata huduma zake. Kadi yake ya kwanza alipata dakika ya 59′ baada ya kunawa mpira kwenye mchezo dhidi yao na Kaizer Chiefs 1-0 Baroka FC ambapo katika mchezo pia alifunga bao lililoipatia Baroka sare.

Abdi Banda umri wake unamruhusu kwani amefikisha miaka 23 kwa mujibu wa transfermarket.com. inaonesha alizaliwa tarehe 20 mwezi Aprili 1993. Abdi Banda yupo chini ya wakala wa Siyavumi.

Hata hivyo klabu yao msimu imefanya usajili wa kutosha. Elvis Chipezeze, Tshediso Patjie, Bheki Maliba, Thabo Moseki, Bonginkosi Makume,Siseko Manana, Armand Gnanuillet, Ananias Gebhardt, Shabani Hussein, Shabani Hussein na Orebotse Mongae.

Klabu hiyo ya Baroka pia imekuwa unataratibu wa kutoa Mamiss. Shindano lao linajulikana kama Miss Baroka ili kuvutia zaidi mashabiki na kufanya uwekezaji. Simba na Yanga Vipi kuna uwezekano wa Miss kariakoo Derby???😀

Hata hivyo Abdi Banda alipewa tuzo ya kuwa mchezaji bora wa mwezi mei mwaka huu wa klabu ya Baroka. Pia Abdi Banda yupo nchini kwa ajili ua maandalizi ya harusi yake

Usiache kuzidi kutufuatilia kwenye kurasa zote za Shaffih dauda (Instagram na facebook) Pia dauda tv kwenye youtube.

Mimi ni Privaldinho (Instagram)

Dilunga: Simba ni sehemu sahihi na jina lako ni baraka

$
0
0

Baraka zinapokuja hakuna wa kuzuia. Ni Mungu tu ndiye atakaeamua. Hassan Dilunga ni mchezaji mwenye bahati kubwa sana kwa sasa. Amekuwa na msimu mzuri na Mtibwa Sugar na hatimaye kwa sasa yupo Uturuki. Anatarajiwa kupanda ndege safari kadhaa msimuu ujao.

Novemba 14 mwaka 2013 klabu ya Yanga ilifanikiwa kumpata Hassan Dilunga kutoka timu ya Ruvu Shooting. Miaka 4 baadae Mtibwa Sugar ilikamilisha usajili wa kiungo Hassan Dilunga kutoka JKT Ruvu mnamo julai 24 mwaka 2017.

Miezi 11 baadae tarehe 13 mei 2018 mnamo dakika ya 82 ikirindima ikiwa ni siku ya kusheherekea siku yangu ya kuzaliwa Dilunga alifanikiwa kuifunga Yanga bao pekee. Sina maana kwamba ilikuwa zawadi yake kwangu siku ya kuzaliwa la hasha maana mashabiki wa Yanga wanaweza kudhania naishabikia Simba. Sishabikii yeyote hayo.

Uzuri wa Dilunga anajiamini mno. Na anajikubali hasa kile anachokifanya uwanjani. Hicho ndicho kitu nilichokiona kwake. Mara ya mwisho aliniambia Azam sio timu kubwa kama Mtibwa hivyo hawatatusumbua. Ni kweli. Walifanikiwa na wakatwaa ubingwa wa FA.

Rafiki yangu Dilunga utakaporudi ligi kuu utakumbana na mengi sana. Najua wapo wanaowaza nafasi yako ndani ya Simba. Hilo wala lisikutishe. Kuna mtu anaitwa Mo Salah. Alikwenda Liverpool iliyokuwa na Mane, Coutinho, Firmino na Lalana. Lakini alichokifanya kila mtu alishangaa.

Pia yupo mdogo wako anaitwa Rashford. Alitokea zake shule ya msingi huko, huenda alikuwa anawaza kivipi atapata nafasi ya mkopo hata Derby Country huko, ila yupo Mungu, aliyemtoa chini ya kivuli cha akina Rooney, Depay na Chicharito na akafanya makubwa. Pia usisahau kuhusu Assensio na Vasquez.

Dilunga unatembelea jina la mchezaji mkubwa kuwahi kutokea kwenye historia ya Yanga na Simba. Wala usiogopeshwe sana na maneno ya watu kwamba uliwahi kucheza Yanga na hukuondoka kwa mema. Hata Marehemu Maulid Dilunga alicheza Simba na Yanga tena wakati anaondoka Simba aliondoka kipindi cha mgogoro. Hakuwa na ufanisi mzuri sana Simba mpaka Simba iligawangika mara mbili na kutokea Nyota Nyekundu. Changamoto za maisha ni sehemu tu ya kipimo cha ufanisi wako. Uzuri wa uwanja wetu mashabiki wapo mbali sana na uwanja hivyo hata ukitukanwa huwezi kuyasikia.

Dilunga pambana uweze kusafisha nyota hii ya mzee Maulid Dilunga iliyofifia baada ya kifo chake 2008.

Kombe la FA pekee halitoshi ikiwa wajina wako aliwahi kufuatilia mpaka na Klabu ya West Bromwich ikimtaka awafanyie kazi. Mzee Dilunga alicheza timu ya taifa kwa miaka 10 hili ni deni kubwa sana kwako pia. Huyu Mzee Dilunga ndiye aliyekuwa kiboko ya Waghana alipowafunga bao lilillawatoa mashindanoni mwaka 1973 kule Lagos. Una deni kubwa bro la jina hili la Dilunga. Mtibwa haina mashabiki wengi wala Simba haina mashabiki wengi kuliko mashabiki wa taifa stars. Tunakuhitaji tukuone Star na ufanye makubwa

Mzee Dilunga ana mafanikio makubwa sana. Aliwahi kuitwa kwenye kombaini ya Afrika baada ya kufanya vyema na timu ya taifa. Tanzania ilisuluhu na Nigeria wakaifunga Ghana na Togo, na mabao yote ya stars yalifungwa na Dilunga. Mchezo uliofuata ulipigwa uga wa Surulere, Lagos, wakadroo na Nigeria, kabla ya kutoshana nguvu na 1-1 Misri.

Hata hivyo Stars ilitupwa nje kwa mabao mawili 2-1 dhidi ya waarabu wa Algeria. Dilunga alipachika mabao 4 kati ya 5 yaliyofungwa na stars ndio maana aliweza kuchaguliwa katika kikosi cha kombaini ya Afrika, ambacho kilizuru mataifa mbalimbali ya Amerika na Ulaya, kucheza mechi za kirafiki. Walifanikiwa kwenda Mexico, Guatemala, Uruguay, Peru, Hungary na Bulgaria.

Rekodi nzuri ya Mzee Dilunga sio kitu ndugu yangu Hassan. Kuna mtu aliitwa Ronaldo De lima. Alikuwa na jina kubwa duniani miaka 2002. Alilitawala soka lote la ulaya na amerika. Alikuwa fowadi bora kwa wakati huo. Miaka kadhaa baadae alitokea bwana mdogo kutoka Madeira wakuitwa Cristiano nae pia ni Ronaldo. Wabrazil wengi walimdhihaki kwamba Ronaldo ni mmoja tu duniani. Nadhani tulipokutana mara ya mwisho mimi na wewe tulimzungumzia Ronaldo. Uliniambia unampenda Ronaldo kwa sababu anajiutma. Usiogope majina utakayokutana nayo Simba. Wala usiogope jina kubwa la Dilunga ila ogopa kufeli. Jina kubwa ni baraka. Tembelea nyota hiyo. Dilunga Simba ni sehemu sahihi kama ulivyoamua. Wala usiogope majina utakayokutana nayo. Chuma hunolewa na joto kali. Pambana sana.

Huenda una kipaji, lakini Canavaro neno la mwisho aliniambia kipaji sio tija kama mtu hajitambui. Wewe tayari upo kwenye histotia ya kichwa changu, wewe ni mchezaji mkubwa sana. Kitendo cha kufanikiwa kucheza vilabu vikongwe vitatu (Mtibwa, Simba na Yanga wewe ni bora) Una uwezo ulichobakiza ni deni letu tu, kutuonesha ulicho nacho. Kila la kheria Hassan Dilunga.

Hapa upo kwenye website ya Shaffih Dauda, pia tuna ukurasa wa Instagram na facebook kwa jina hilo hilo, huko utakutana na taarifa nyingi na za uhakika. Usiache kutembelea YouTube channel yetu ya Dauda Tv. Tena nikukumbushe Abdi Banda kaoa. Nenda ujionee

Mimi naitwa Privaldinho (Instagram)

Orodha ya wachezaji wote waliokwisha kusajiliwa (done deals)

$
0
0

Dirisha lilifunguliwa May 11 na litafungwa August 9 .

Arsenal

WALIOSAJILIWA

Bernd Leno – Bayer Leverkusen, Haijawekwa wazi
Stephan Lichtsteiner – Juventus, Bure
Sokratis Papastathopoulos – Borussia Dortmund, Haijawekwa wazi
Lucas Torreira – Sampdoria, Haijawekwa wazi
Matteo Guendouzi – Loreint, £8m
WALIOONDOKA

Santi Cazorla – Villarreal, Bure
Per Mertesacker – amestaafud
Jack Wilshere – West Ham, Bure
Chiori Johnson – Bolton, Bure
Vlad Dragomir – Walioachwa huru
Takuma Asano, Hannover 96, Mkopo
Alex Crean – Walioachwa huru
Ryan Huddart – Walioachwa huru
Tafari Moore – Playmouth, Bure
Aaron Eyoma – Derby, Bure
Hugo Keto – Brighton, Bure
Marc Bola – Blackpool, Bure
Kelechi Nwakali – Porto, Mkopo
Jeff Reine-Adelaide – Angers, Haijawekwa wazi
Matt Macey – Playmouth, Mkopo
Bournemouth

WALIOSAJILIWA
David Brooks – Sheffield United, Haijawekwa wazi
Diego Rico – Leganes, £10.7m

WALIOONDOKA
Benik Afobe – Wolves, £12.5m
Max Gradel – Toulouse, Haijawekwa wazi
Lewis Grabban – Nottingham Forest, Haijawekwa wazi
Sam Matthews – Bristol Rovers, Bure
Ryan Allsop – Wycombe, Bure
Baily Cargill – Walioachwa huru
Ollie Harfield – Dagenham & Redbridge, Bure
Patrick O’Flaherty – Walioachwa huru
Joe Quigley – Walioachwa huru
Rhoys Wiggins – amestaafud
Adam Federici – Stoke, Haijawekwa wazi
Mikael Ndjoli – Kilmarnock, Mkopo
Brighton

WALIOSAJILIWA

Alireza Jahanbakhsh – AZ Alkmaar, Haijawekwa wazi
Leon Balogun – Mainz, Bure
Florin Andone – Deportivo La Coruna, Haijawekwa wazi
Jason Steele – Sunderland, Haijawekwa wazi
Bernardo Fernandes da Silva Junior – RB Leipzig, Haijawekwa wazi
David Button – Fulham, Haijawekwa wazi
Yves Bissouma – Lille, Haijawekwa wazi
Percy Tau – Mamelodi Sundowns, Haijawekwa wazi

WALIOONDOKA
Ben Hall – Notts County, Mkopo
Uwe Huenemeier – SC Paderborn, Bure
Steve Sidwell – Walioachwa huru
Jamie Murphy – Rangers, Haijawekwa wazi
Bailey Vose – Colchester, Haijawekwa wazi
Robert Sanchez – Forest Green, Mkopo
Conor Goldson – Rangers, Haijawekwa wazi
Christian Walton – Wigan, Mkopo
Henrik Rorvik Bjordal – SV Zulte Waregem, Haijawekwa wazi
Tom Dallison – Falkirk, Bure
Rohan Ince – Walioachwa huru
Niki Maenpaa – Walioachwa huru
David Ajiboye – Walioachwa huru
Jonah Ayunga – Walioachwa huru
Tyler Hornby-Forbes – Newport, Bure
Des Hutchinson – Waterford, Bure
Mamadou Saliou Kone – Walioachwa huru
Tim Krul – Walioachwa huru
Reece Myles Meekums – Walioachwa huru
Rian O’Sullivan – Walioachwa huru
Liam Rosenior – Walioachwa huru
Steven Alzate – Swindon, Mkopo
Burnley

WALIOSAJILIWA
hakuna

WALIOONDOKA
Scott Arfield – Rangers, Bure
Dean Marney – Walioachwa huru
Josh Ginnelly – Walsall, Bure
Tom Anderson – Doncaster, Bure
Rahis Nabi – Walioachwa huru
Jordan Barnett – Walioachwa huru
Arlen Birch – Walioachwa huru
Brad Jackson – Walioachwa huru
Samuel Layton – Walioachwa huru
Harry Limb – Kings Lynn, Bure
Chris Long – Walioachwa huru
Khius Metz – Walioachwa huru
Jamie Thomas – Walioachwa huru
Conor Mitchell – St Johnstone, Mkopo
Cardiff City

WALIOSAJILIWA

Bobby Reid – Bristol City, Haijawekwa wazi
Greg Cunningham – Preston, Haijawekwa wazi
Josh Murphy – Norwich, Haijawekwa wazi
Alex Smithies – QPR, Haijawekwa wazi

WALIOONDOKA
Hakuna

Chelsea

WALIOSAJILIWA
Jorginho – Napoli, Haijawekwa wazi
Rob Green – Bure

WALIOONDOKA
Trevor Chalobah – Ipswich, Mkopo
Reece James – Wigan, Mkopo
Dujon Sterling – Coventry, Mkopo
Nathan Baxter – Yeovil, Mkopo
Lewis Baker – Leeds, Mkopo
Jordan Houghton – MK Dons, Bure
Kenedy – Newcastle, Mkopo
Jamal Blackman – Leeds, Mkopo
Mitchell Beeney – Sligo Rovers, Bure
Ruben Sammutt – Falkirk, Mkopo
Harvey St Clair – Unione Venezia, Bure
Cole DaSilva – Walioachwa huru
Matej Delac – AC Horsens, Bure
Eduardo – Vitesse, Mkopo
Renedi Masampu – Walioachwa huru
Wallace – Walioachwa huru
Tushuan Tyrese Walters – Walioachwa huru
Isaac Christie-Davies – Liverpool, Bure
Jake Clarke-Salter – Vitesse, Mkopo
Joao Rodriguez – Tenerife, Mkopo
Todd Kane – Hull, Mkopo
Mason Mount – Derby, Mkopo
Boga – Sassuolo, Haijawekwa wazi
Charlie Colkett – Shrewsbury, Mkopo
Mario Pasalic – Atalanta, Mkopo
Jacob Maddox – Cheltenham, Mkopo
Crystal Palace

WALIOSAJILIWA
Vicente Guaita – Getafe, Bure

WALIOONDOKA
Andre Coker – Maidstone, Bure
Damien Delaney – Cork, Bure
Jacok Kwame Berkeley-Agyepong – Walioachwa huru
Diego Cavalieri – Walioachwa huru
Victor Fundi – Walioachwa huru
Lee Chung-yong – Walioachwa huru
Bakary Sako – Walioachwa huru
Yohan Cabaye – Al-Nasr, Bure
Everton

WALIOSAJILIWA

Richarlison – Watford, £40m
Lucas Digne – Barcelona, £18m
WALIOONDOKA

Ramiro Funes Mori – Villarreal, Haijawekwa wazi
Jose Baxter – Oldham, Bure
Conor Grant – PlymWALIOONDOKAh, Bure
Calum Dyson – PlymWALIOONDOKAh, Bure
Wayne Rooney – DC United, Bure
Luke Garbutt – Oxford United, Mkopo
Sam Byrne – Walioachwa huru
Louis Gray – Walioachwa huru
David Henen – Walioachwa huru
Joel Robles – Real Betis, Bure
Stephen Duke-McKenna – Bolton, Bure
Tom Scully – Norwich, Bure
Henry Onyekuru – Galatasaray, Mkopo
Shani Tarashaj – Grasshoppers, Mkopo
Fulham

WALIOSAJILIWA
Maxime le Marchand – Nice, Haijawekwa wazi
Jean Michael Seri – Nice, Haijawekwa wazi
Fabri – Besiktas, Haijawekwa wazi
Andre Schurrle – Borussia Dortmund, Mkopo

WALIOONDOKA
Ryan Fredericks – West Ham, Bure
George Williams – Forest Green, Bure
Stephen Humphrys – Scunthorpe, Mkopo
David Button – Brighton, Haijawekwa wazi
Isaac Pearce, Forest Green, Bure
Daniel Martin – Leeds, Walioachwa huru
Djed Spence – Middlesbrough, Walioachwa huru
Joe Felix – QPR, Walioachwa huru
Elijah Adebayo – Swindon, Mkopo
Marek Rodak – Rotherham, Mkopo
Huddersfield Town

WALIOSAJILIWA
Ben Hamer – Leicester, Bure
Ramadan Sobhi – Stoke, Haijawekwa wazi
Terence Kongolo – Monaco, £17.5m
Juninho Bacuna – FC Groningen, Haijawekwa wazi
Erik Durm – Dortmund, Haijawekwa wazi
Florent Hadergjonaj – Ingolstadt, £4.5m
Jonas Lossl – Mainz, Haijawekwa wazi
Adama Diakhaby – Monaco, Haijawekwa wazi
WALIOONDOKA

Tom Ince – Stoke, £12m

Dean Whitehead – amestaafud

Rob Green – Walioachwa huru

Luca Colville – Walioachwa huru

Dylan Cogill – Clyde, Bure

Denilson Carvalho – Walioachwa huru

Jack Boyle – Clyde, Bure

Regan Booty – Aldershot, Mkopo

Jack Payne – Bradford, Mkopo

Sean Scannell – Bradford, Haijawekwa wazi
Leicester City
WALIOSAJILIWA

James Maddison – Norwich, £22m

Ricardo Pereira – Porto, Haijawekwa wazi

Jonny Evans – West Brom, Haijawekwa wazi

Danny Ward – Liverpool, £12.5m
WALIOONDOKA

Riyad Mahrez – Manchester City, £60m

Ben Hamer – Huddersfield, Bure

Connor Wood – Bradford, Haijawekwa wazi

Robert Huth – Walioachwa huru

Sammie McCleod – Walioachwa huru

Cameron Yates – Walioachwa huru

Dylan Watts – Shamrock Rovers, Walioachwa huru

Josh Debayo – Cheltenham, Bure

Harvey Barnes – West Brom, Mkopo

Daniel Iversen – Oldham, Mkopo
Liverpool

WALIOSAJILIWA

Naby Keita – Leipzig, £52.75m

Fabinho – Monaco, £43.7m

Xherdan Shaqiri – Stoke, £13.5m

Alisson Becker – Roma, £67m

Isaac Christie-Davies – Chelsea, Bure
WALIOONDOKA

Emre Can – Juventus, Bure

Ovie Ejaria – Rangers, Mkopo

Jordan Williams – Rochdale, Bure

Jon Flanagan – Rangers, Bure

Yan Dhanda – Swansea, Walioachwa huru

Toni Corrreira Gomes – Walioachwa huru

Andrew Firth – Walioachwa huru

Mich’El Parker – Walioachwa huru

Adam Bodgan – Hibs, Mkopo

Paulo Manuel Neves-Alves – Walioachwa huru

Harry Wilson – Derby, Mkopo

Danny Ward – Leicester, £12.5m

Ryan Kent – Rangers, Mkopo

Allan – Eintracht Frankfurt, Mkopo

Ben Woodburn – Sheffield United, Mkopo
Manchester City
WALIOSAJILIWA

Riyad Mahrez – Leicester, £60m

Claudio Gomes – PSG, Bure
WALIOONDOKA

Angus Gunn – Southampton, Haijawekwa wazi

Yaya Toure – Walioachwa huru

Pablo Maffeo – Stuttgart, Haijawekwa wazi

Angelino – PSV Eindhoven, Haijawekwa wazi

Ashley Smith-Brown – Playmouth, Haijawekwa wazi

Rodney Kongolo – Heerenveen, £750,000

Javairo Dilrosun – Hertha Berlin, £200,000

Olarenwaju Kayode – Shakhtar Donetsk, Haijawekwa wazi

Will Patching – Notts County, Bure

Pablo – Deportivo La Coruna, Mkopo

Anthony Caceres – Melbourne City, Mkopo

Divine Nash – AFC Tubize, permanent transfer

Sadou Diallo – Walioachwa huru

Demeaco Duhaney – Walioachwa huru

Erik Sarmiento Martinez – Walioachwa huru

Pawel Kazimierz Sokol – Walioachwa huru

Marcus Wood – Walioachwa huru

Jacob Davenport – Blackburn Rovers, Haijawekwa wazi

Matt Smith – Twente, Mkopo

Ed Francis – Almere City, Mkopo

Erik Palmer-Brown – NAC Breda, Mkopo

Manu Garcia – Toulouse, Mkopo

Isaac Buckley-Ricketts – Peterborough, Haijawekwa wazi
Manchester United

WALIOSAJILIWA

Fred – Shakhtar Donetsk, Haijawekwa wazi

Diogo Dalot – Porto, Haijawekwa wazi

Lee Grant – Stoke, Haijawekwa wazi
WALIOONDOKA

Michael Carrick – amestaafud

Joe Riley – Bradford, Haijawekwa wazi

Dean Henderson – Sheffield United, Mkopo

Daley Blind – Ajax, £14.1m

Indy Boonen – KV Oostende, Walioachwa huru

Max Johnstone – Walioachwa huru

Jake Kenyon – Walioachwa huru

Ilias-Sebtaoui – Anderlecht, Bure

Devonte Redmond – Walioachwa huru

Theo Richardson – Walioachwa huru

Charlie Scott – Walioachwa huru

Sam Johnstone – West Brom, £5m

Matt Willock – St Mirren, Mkopo

Newcastle United
WALIOSAJILIWA

Martin Dubravka – Sparta Prague, Haijawekwa wazi

Ki Sung-yueng – Bure

Kenedy – Chelsea, Mkopo

Fabian Schar – Deportivo, £3m
WALIOONDOKA

Macauley Gillesphey, Carlisle, Bure

Yannick Aziakonou – Walioachwa huru

Kyle Cameron – Walioachwa huru

Yasin Ben Elmahanni – Walioachwa huru

Owen Gallagher – Walioachwa huru

Jesus Gamez – Walioachwa huru

Curtis Good – Walioachwa huru

Massadio Haidara – Lens, Bure

Mackenzie Heaney – Walioachwa huru

Tom Heardman – Walioachwa huru

Jack Hunter – Gateshaed, Bure

Ben Kitchen – Bure

Oliver Long – Bure

Lewis McNall – Bure

Brendan Pearson – Bure

Callum Smith – Hull, Bure

Liam Smith – Bure

Craig Spooner – Bure

Dan Ward – Walioachwa huru

Paul Woolston – Bure

Callum Williams – Spennymoor Town, Bure

Stuart Findlay – Kilmarnock, Bure

Alex Gilliead – Shrewsbury, Bure

Mikel Merino – Real Sociedad – Haijawekwa wazi

Jack Colback – Nottingham Forest, Mkopo

Chancel Mbemba – Schalke, Haijawekwa wazi

Matz Sels – Strasbourg, £3.5m
Southmapton
WALIOSAJILIWA

Stuart Armstrong – Celtic, £7m

Mohamed Elyounoussi – Basel, £16m

Angus Gunn – Manchester City, Haijawekwa wazi

Jannik Vestergaartd – Borussia Monchengladbach – £18m
WALIOONDOKA

Jordy Clasie – Feyenoord, Mkopo

Guido Carrillo – Leganes, Mkopo

Will Wood – Accrington Stanley, Bure

Olufela Olomola – Scunthorpe, Bure

Dusan Tadic – Ajax, £15m

Ryan Seager – SC Telstar, Mkopo

Florin Gardos – Universitatae Craiova, Bure

Armani Little – Oxord United, Bure

Stuart Taylor – Walioachwa huru

Mohamed Bakary – Walioachwa huru

Ollie Cook – Walioachwa huru

Jeremy Pied – Walioachwa huru

Lewis Banks – Walioachwa huru
Tottenham Hotspur

WALIOSAJILIWA
hakuna

WALIOONDOKA

Keanan Bennetts – Borussia Monchengladbach, Haijawekwa wazi

Joel Pritchard – Bolton, Bure

Christian Maghoma – Arka Gdynia, Bure

Ryan Loft – Bure

Luke O’Reilly – Bure

Nick Tsaroulla – Bure

Anton Walkes – Portsmouth, Haijawekwa wazi
Watford
WIOSAJILIWA
Ben Wilmot – Stevenage, Haijawekwa wazi

Marc Navarro – Espanyol, Haijawekwa wazi

Gerard Deulofeu – Barcelona, £11.5m

Ben Foster – West Brom, Haijawekwa wazi

Ken Sema – Ostersunds, Haijawekwa wazi

Adam Masina – Bologna, £3.5m
WALIOONDOKA

Tommie Hoban – Aberdeen, Mkopo

Nathan Gartside – Walioachwa huru

Dennon Lewis – Walioachwa huru

Louis Rogers – Walioachwa huru

Charles Rowan – Walioachwa huru

Max Ryan – Walioachwa huru

Connor Stevens – Walioachwa huru

Carl Stewart – Walioachwa huru

Costel Pantilimon – Nottingham Forest, Haijawekwa wazi

Mauro Zarate – Boca Juniors, Haijawekwa wazi

Brandon Mason – Coventry, Bure

Luis Javier Suarez – Gimnastic de Tarragona, Mkopo

Nordin Amrabat – Al-Nassr, Haijawekwa wazi

Richarlison – Everton, £40m

Jerome Sinclair – Sunderland, Mkopo
West Ham United
WALIOSAJILIWA

Felipe Anderson – Lazio, £35m

Andriy Yarmolenko – Borussia Dortmund, £17.5m

Jack Wilshere – Bure

Ryan Fredericks – Fulham, Bure

Lukasz Fabianski – Swansea City, £7m

Fabian Balbuena – Corinthians, Haijawekwa wazi

Issa Diop – Toulouse, £21.9m
WALIOONDOKA

James Collins – Walioachwa huru

Patrice Evra – Walioachwa huru

Korrey Henry – Yeovil, Bure

Rosaire Longelo – Walioachwa huru

Rihards Matrevics – Walioachwa huru

Ben Wells – QPR, Bure

Reece Burke – Hull City, Haijawekwa wazi

Marcus Browne – Oxford, Mkopo
Wolverhampton Wanderers
WALIOSAJILIWA

Rui Patricio – Sporting Lisbon, Haijawekwa wazi

Benik Afobe – Bournemouth, £12.5m

Willy Boly – Porto, £10m

Raul Jimenez – Benfica, Mkopo

Diogo Jota – Atletico Madrid, £12.6m

Leo Bonatini – Al-Hilal, Haijawekwa wazi

Ruben Vinagre – Monaco, Haijawekwa wazi

Roderick Miranda – Olympiakos, Mkopo

Joao Moutinho – Monaco, Haijawekwa wazi

Jonny Castro – Atletico Madrid, Mkopo
WALIOONDOKA

Aaron Collins – Colchester, Mkopo

Benik Afobe – Stoke, Mkopo

Harry Burgoyne – Playmouth, Mkopo

Sherwin Seedorf – Bradford, Mkopo

Ben Marshall – Norwich, Haijawekwa wazi

Roderick Miranda – Olympiacos, Mkopo

Jordan Allan – Walioachwa huru

Dan Armstrong – Walioachwa huru

Anthony Breslin – Walioachwa huru

Nicu Carnat – DAC Dunajska Streda – Walioachwa huru

Ross Finnie – Walioachwa huru

Conor Levingston – Walioachwa huru

Tomas Nogueira – Walioachwa huru

Adam Osbourne – Walioachwa huru

Ryan Rainey – Walioachwa huru

Jose Xavier – Walioachwa huru

Hakeem Odofin – Northampton, Bure

Jon Flatt – Scunthorpe, Bure

Prince Oniangue – Caen, Haijawekwa wazi


Hatimaye Le Bron James atimiza ndoto ya Fid Q

$
0
0

Mwanakikapu maarufu duniani kwa sasa Le Bron James ameviteka vichwa vya habari wiki hii baada ya shule yake aliyojenga huku kwao Ohio nchini Marekani0 kuonekana hadharani.

Kupitia katika foundation yake ya Le Bron James Foundation nyota huyo mpya wa La Lakers ameanza kuchukua wanafunzi 240 katika shule hiyo iitwayo I Promise School.

I Promise School ni shule ambayo wanaosoma hapo wengi ni watoto waishio kwenye mazingira magumu na sii hivyo tu bali atawapa nafasi pia wazazi wao kupata elimu ya juu katika shule hiyo.

Katika shule hiyo wanafunzi watakuwa wakupatiwa uniform za bure, lakini piap masomo ya ziada katika shule hiyo(tution) yatakuwa yanatolewa bure.

Sii hivyo tu kwani pia Le Bron ana mpango wa kutoa usafiri bure kwa wanafunzi katika shule hiyo huku huduma za chakula nazo(chai, chakula cha mchana na snacks) zitakuwa zinatolewa bila malipo.

Sasa mwanamuziki wa kizazi kipya, legend wa mziki wa Hip Hop Tanzania Fareed Kubanda aka Fid Q amesema kwamba mawazo ya Le Bron James yalikuwa katika kichwa chake.

Kupitia mtandao wake wa Instagram Fid Q aliandika kwamba “Le Bron James amefanya vitu ambavyo mimi nilikuwa ninaviota” akimaanisha aliota kujenga shule kama aliyojenga Le Bron.

Picha la Mourinho na Martial lachukua sura mpya, Martial amchana “Special One”

$
0
0

Baada ya kimya cha takribani siku saba hatimaye Anthony Martial amefunguka na kuweka hadharani ni nini kinaendelea katika maisha yake ya sasa na kuhusu Manchester United.Tangu mwisho mwa wiki iliyopita baada ya Martial kurudi Ufaransa kwa ajili ya kuntizama mkewe aliyetarajia kujifungua, mengi yalizungumzwa na wengi walikuwa wakisema yao.Kuna waliosema kwa Martial aliondoka kambini kwa kulazimisha na Mou akamruhusu kishingo upande, na huku wengine wakisema Mourinho amepanga kumuadhibu Martial akirudi.Wakati yote hayo yakiendelea, upande wa Athony Martial ulikuwa kimya lakini hii leo Martial ameeleza kuhusu jambo hili na kwanza amesema familia yake na mtoto wake mpya wanaendelea vizuri.Kupitia account yake ya Twitter Mfaransa huyo pia amesema kwamba kuhusu suala la timu na familia mara zote kwake hakuna kilicho juu ya familia (ni familia kwanza baadae mambo mengine yanafuata).Kauli hii imetafsiriwa jama jibu kwa Jose Mourinho ambaye alisikitishwa na kitendo cha Martial kurudi Ufaransa na kuakaa jwa muda mrefu wakati timu iko katika maandalizi ya msimu mpya.Tweet ya leo ya Martial inaweza kuchochea ugomvi wa chinichini kati yake na Mourinho, na kwa kariba ya kocha kama Jose Mourinho inaweza ikamfanya Martial kuchungulia mlango wa kutokea Old Traford.

Guardiola, Mourinho na Klopp yupi ametumia fedha nyingi zaidi

$
0
0

Ligi kuu ya England inakaribia kuanza.

Kuna makocha wanaopewa nafasi kubwa
Jurgen Klopp
Pep Guardiola
Jose Mourinho

Klopp amepata wachezaji wakubwa kadhaa Alisson, Fabinho na Naby Keita. Wote wamejiungaAnfield kwa kitita cha £150million.

Pep Guardiola aliulizwa kuhusu mabadiliko aliyoyafanya Klopp kwenye mchezo wa wa kirafiki dhidi ya City.

Guardiola anasema anachokifanya mtu kama ameona ni kizuri basi vyema afanye kwa manufaa yake. Sisi hatuna shida. Timu nyingi zimebadilisha mifumo ya uandaaji wa kikosi. Sajili kubwa zimefanyika kwa fujo.

Hebu basi tuangalie kwa miaka kadhaa kati ya Klopp, Mourino na Guardiola nani amefanya usajili mkubwa zaidi.

Manchester United

WALIOSAJILIWA

2018/19

Fred £53.1m, Dalot £19.8m, Grant £1.53m

2017/18

Lukaku £76.23m, Matic £40.23m, Lindelof £31.5m, Sanchez Bure, Pogba ndiye mchezaji wa ghali zaidi Man United

2016/17

Pogba £94.5m, Mkhitaryan £37.8m, Bailly £34.2m, Zlatan Bure

Jumla: £388.89m

WALIONDOKA

2018/19

Blind £14.4m, Johnstone £6.62

2017/18

Januzaj £7.65m, A Pereira £2.7m Ada ya Mkopo, Mkhitaryan Bure

2016/17

Schneiderlin £20.61m, Depay £14.4m, McNair £4.73m, Blackett £1.62m, W Keane £1.08m

Jumla: £73.81m

Mauzo na Manunuzi: £315.08m

Manchester City

WALIOSAJILIWA

2018/19

Mahrez £61.02m, Sandler £2.25m, Riyad Mahrez ndiye mchezaji wa ghali zaidi Man City.

2017/18

Laporte £58.5m, Mendy £51.75m, Walker £47.43m, Bernardo £45m, Ederson £36m, Danilo £27m, Douglas £10.8m, Harrison £3.6m, Kayode £3.42m, Ilic £2.25m

2016/17

Stones £50.04m, Sane £45.45m, Jesus £28.8m. Gundogan £24.3m, Nolito £16.2m, Bravo £16.2m, Moreno £4.95m, Rulli £4.23m, Zinchenko £1.8m, Mari £180k

Jumla: £543.17m

WALIONDOKA

2018/19

Gunn £10.17m, Maffeo £8.1m, Angelino £4.95m, Kayode £2.7m

2017/18

Iheanacho £24.93m, Unal £12.6m, Bony £11.7m, Mooy £8.19m, Nolito £6.3m, Fernando £5.4m, Kolarov £4.5m, Ntcham £4.5m, Nasri £3.15m. Hart £2.07m Ada ya Mkopo, Sobrino £1.8m, Zuculini £1.13m, Denayer £450k Ada ya Mkopo

2016/17

Jovetic £12.15m, Dzeko £9.9m, Rulli £6.3m, Bony £2.12m Ada ya Mkopo, Lejeune £1.35m

Jumla: £144.46m

Mauzo na Manunuzi: £398.71m

Liverpool

WALIOSAJILIWA

2018/19

Alisson £56.25m, Keita £54m, Fabinho £40.5m, Shaqiri £13.23m

2017/18

Van Dijk £70.92m, Salah £37.8m, Oxlade-Chamberlain £34.2m, Robertson £8.1m, Gallacher £205k, Solanke Bure,
Virgil van Dijk ndiye mchezaji ghali zaidi wa Liverpool

2016/17

Mane £37.08m, Wijnaldum £24.75m, Karius £5.58m, Klavan £4.5m, Matip Bure

Jumla: £387.12m

WALIONDOKA

2018/19

Ward £12.6m

2017/18

Coutinho £112.5m, Sakho £15.38m, Origi £5.85m Ada ya Mkopo, Leiva £5.13m, Stewart £4.05m, Wisdom £2.07m, Sturridge £2.07m Ada ya Mkopo

2016/17

Benteke £28.08m, Ibe £16.2m, Allen £13.95m, Skrtel £5.4m, Ilori £3.87m, Luis Alberto £3.6m, Smith £3.24m, Sakho £2.07m Ada ya Mkopo

Jumla: £246.06m

Mauzo na Manunuzi: £141.06m

MOURINHO:

Manunuzi £388m

Mauzo:£73m

GUARDIOLA:

Manunuzi: £543m

Mauzo: £114M

KLOPP

Manunuzi: £387m

Mauzo: £246m

Data zingine.

Liverpool £112.5million la Philippe Coutinho kwenda Barcelona.

Kuhusu Mishahara United na City zinaongoza.

Hongera sana Jokate lakini usiwasahau akina Hazard

$
0
0

“Unyenyekevu, busara na hekima nijalie eh Mungu Wangu” Jokate Mwegelo.

Nataka niwahadithie kitu. Hapo zamani palikiwepo na wakulima walisemekana walikuwa wamelala shambani nchini fulani. Wafanyakazi wengine wakalalamika wakasema “HAWAFAI” wakaja juu kwa mihemko “HATUTAKI TENA WAKULIMA WAZEE”

Akaja bwana shamba mmoja. Watu wakumuomba bwana shamba asiajiri tena WAZEE. Yule Bwana Shamba akateua mwanadada mdogo mdogo tu hivi umri wa miaka 25-35. Wale wafanyakazi wakaja juu tena “HATUTAKI VIJANA WADOGO HAWAFAI” hadithi yangu imeishia hapo.

Nikwambie kitu ndugu yangu unayesoma makala hii. Haijalishi una wakati gani. Hivi majuzi Ali Kabla ya Ali Kiba kuoa watu walimzonga sana Jokate kutemwa kwenye uongozi wa chama chake. Sisi hatujui kilichotokea ila mitandaoni watu walimchafua sana.

Baadae kidogo Ali Kiba akaoa. Kuna taarifa zikidai alikuwa mchumba wake hapo awali (Mimi sijui na sifahamu nimesikia) Watu wakamvamia Jokate mitandao kwa kebehi kejeli na kila aina ya neno chafu.

Hapo alitukanwa au kukejeliwa na wale waliomsema kutokana na uongozi jumlisha wale waliomzomea kwa sababu ya ndoa ya Ali Kiba. Bila shaka hata ni ni wewe ungekuwa kwenye fedheha.

Nahisi huyu dada alipita kipindi kigumu sana kwenye mitandao. Lakini amini Mungu yypo. Unapokuwa chini huwa anataka kuwaonesha maadui zako kuwa wewe una ujasiri wakuvumilia shida na una nguvu ya kusimama tena.

Nimefurahi hii leo kuona video ya Ali Kiba akihojiwa na kituo cha Millard Ayo. Aliulizwa kuhusu Jokate yeye ana ujumbe gani kwake hasa baada ya kuteuliwa.

“siwezi kuongelea chochote kuhusu Jokate” Hapa alisita sana lakini alipogundua umuhimu wa nafasi aliyopata Jokate akaendelea kusema “Kiukweli kifupi (kwa msisitizo zaidi akaweka mpaka neno la kiingereza “Inshort) nimefurahi na nampa hongera” Fulustopu. Mwanzoni alisita kidogo kwa sababu hakuelewa mantiki ya swali lakini chuki yeyote Ali Kiba huyu huyu ambaye sie tumemweka kwenye kundi la uadui na Jokate (ingawa sijui kama ni marafiki au maadui kwa sasa)

Kwanini nampomgeza Jokate?

Jokate ni mdada mwemye moyo wa kipekee kwa kumuona na kwa kumsikia mimi simjui zaidi ya hapo (Nisije nikawa mnafiki). Lakini kuna tukio moja nalikumbuka kwake ambalo linanifanya nitumie muda wangu kumuongelea.

April 8, 2018 Shaffi Dauda na Jokate waliongozana mpaka ilala bungoni kwenda kukutana na kijana Hazard. Kupitia Jokate Shaffih akakubali kumjumuisha Hazard kwenye kampuni yake ya Shadaka Sports Management.

Hazard ni nani? Anafahamiana vipi na Jokate?

Mwaka juzi Jokate alikuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya kidato cha nne shule ya sekondari Majani ya Chai, Hazard alitangazwa mwanamichezo bora hivyo akakabidhiwa zawadi (tuzo) yake na Jokate.

Baada ya muda akaanza harakati za kumtafuta Jokate ili kumweleza juu ya kipaji chake na kuomba msaada asaidiwe kufikia malengo. Hakuwa na namba ya simu wala hakujua atakutana wapi tena Jokate hivyo haikuwa kazi rahisi kwake, ndipo alipoamua kutmia mtandao wa Instagram kufikisha ujumbe wake.

Alikuwa akimtumia ujumbe kupitia DM (Ujumbe Instagram) lakini kutokana na harakati na majumu mengi Jokat hakuwahi kuzisoma. Hazard hakukata tamaa kwa sababu aliamini ipo siku. Akamtumia picha zake akiwa mazoezini na kumkumbusha anahitaji yake.

Machi 20 ya kila mwaka Jokate Mwegelo huadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwake (birthday), Machi 20 mwaka huu (2018) Hazard alipost picha ambayo alikuwa akipokea tuzo ya mchezaji bora aliyokabidhiwa na Jokate miaka miwili liyopita kisha akam-tag Jokate. Kama haitoshi akamtumia Jokate picha hiyo DM na kumkumbusha historia ya picha hiyo.

Katika peruziperuzi za Jokate kwenye simu yake akakumbana na sms na picha za Hazard, zilikuwa nyingi na zinaelezea lengo lake la kutaka kufika mbali katika nia yake ya soka. Jambo jema ni kwamba katika jumbe ambazo Hazard alikuwa amemtumia Jokate aliwahi kutuma na namba yake ya simu ya mkononi kwa hiyo Jokate alimpigia simu wakazungumza mengi na kumuahidi atakwenda nyumbani kwao kumtembelea na kuona namna ya kumsaidia.

Nimemaliza simulizi yangu (Asante bwana dick kwa simulizi hizi, ukitaka kusoma makala nzima ya Jokate na Hazare Click Hapa).

Jokate wakati huo hakuwa kiongozi yeyote. Alikuwa tu mtu kama mimi ingawa anapicha kubwa ndani ya jamii.

Jokate ni mwanamichezo mzuri. Ni mwanamitindo. Leo hii ameonesha nia ya dhati kumsaidia kijana mdogo kama yule je leo akiwa Mkuu wa Wilaya atasaidia wangapi? Je kesho akiwa mbunge? Vipi keshokutwa akiwa waziri? Mtondo go akiwa waziri mkuu?

Hii ni moja fursa kubwa kwetu sisi wapenda michezo. Tumepewa kijana mwenzetu. Nawashangaa mazezeta ambao mwanzoni waliponda uwepo wa wazee kwenye vyeo mbalimbali kisha leo wanaponda kijana mwenzao kupewa cheo? Kwanini tusimpongeze Jokate na kumpa moyo? Au mlitaka nyie ndio mpewe hicho cheo? Mbona raisi wa Croatia alikuwa mwanamitindo? George Weah alikuwa mwanasoka na leo ni Rais kwanini iwe kesi kwa mwanamitindo? Mna matongotongo rudini mkanawe.

Aliyekwambia kijana akipewa cheo atawaza uhuni ni nani? Vipi akina Januari Makamba si vijana wadogo? Na kwanini mnamhukumu Jokate katika uga wa uhuni? Nani aliyewambia kila mwanamitndo ni mhuni? uhuni sio umakamo ila ni hulka ya mtu.

Jokate baada ya kupata cheo amemuomba Mungu unyenyekevu wa kuongoza.

“Unyenyekevu, busara na hekima nijalie eh Mungu Wangu”

Kama ulivyoomba dada Jokate naamini atasikia ombi lako.

Hongera Jokate sikufahamu ila hata mimi ningetamani kufanya kazi Kisarawe Si Unajua hata mimi darasa la 7 nilipewa tuzo ya mwanamichezo bora ila sasa huyo aliyenipa hiyo tuzo daah…(Natania).

Samahani Mheshimiwa Jokate huko juu nimeandika jina lako bila kuweka neno Mheshimiwa.

Hapa ni website ya shaffihdauda pia tupo Instagram na facebook kwa jina hilo hilo. Usisahau kuingia dauda tv youtube uoate habari za uhakika.

Mimi naitwa Privaldinho (Instagram)

Kabla ya kumshambulia Alvaro Morata wakumbukeni hawa

$
0
0

Morata Morata Morata, kila mtu anapiga kelele kuhusu mshambuliaji huyu wa Chelsea, mashabiki wa Chelsea wamemchoka na sasa wengi wanaona atafute pa kwenda tu.

Morata alijiunga na Chelsea msimu uliopita kwa ada ya £60m akitokea Real Madrid akitajwa kama mrithi wa Diego Costa, lakini kabla ya kumshambulia Alvaro Morata ni vyema tukakumbuka kuna ambao msimi wa kwanza walikataliwa lakini msimu wa pili wakawa lulu.

David De Gea. Wakati De Gea akijiunga na United 2011 kulikuwa na hofu kubwa kuhusu uwezo wake, na kwa kipindi hicho United kulikuwa ndio mabeki wake nguli wanaisha ishia.

Wengi walimsema vibaya De Gea huku wakikadhania kwamba haoni mbali, lakini msimu wa 2013/2014 kila mtu akaziba mdomo na kuamini alikuwa mrithi sahihi wa Van Der Saar.

Patrice Evra. Ferguson alimchukua Evra msimu wa mwaka 2006 kwa ada ya £5.5 akitokea Monaco, msimu ambao United walikufa 3-1 toka City, Evra akaonekana alichomesha akatoswa mchezo na Liverpool huku timu ya taifa nako akapigwa chini.

Lakini katika msimu uliofuata wa ligi Evra pamoja na uwingi wa mabaki waliokuwepo United kama Heinze, Oshea, Silvestre lakini Evra alifanikiwa kupata namba katika kikosi cha kwanza cha Ferguson.

Roberto Pires. Wakati Marc Overmars anaondoka Arsenal, Pires alionekana kama mrithi wake Arsenal, msimu wa kwanza tu maisha yake ya ndani na nje ya uwanja yakawa magumu huku Interview aliyofanya akisema alipenda Madrid ila Arsenal alienda kwa sababu ya Wenger ikizidi kumuweka pabaya Gunners.

Msimu wa 2000/2001 ukawa mbovu kwake lakini msimu wa mwaka 2001/2002 Pires alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa chama cha waandishi wa habari za michezo nchini Uingereza.

Michael Essien. Ada ya £24m ilimtoa Lyon kwenda Chelsea mwaka 2005, uwepo wa Frank Lampard, Claude Makelele ulimfanya aonekane sii lolote huku ujio wa Michael Ballack ukampa wakati mgumu kabisa, lakini msimu uliofuata kila kitu kilibadilika kwake na akaanza kuwa kipenzi cha kocha Jose Mourinho.

Javier Mascherano. Wakati anafika tu West Ham mwaka 2006 yeye pamoja na Carlos Tevez wakapoteza mechi 8 na kusuluhu 1, wakati anakwenda Liverpool alinukuliwa akisema “soka ni mchezo wa kuzoea na labda msimu wa kwanza ndio unazoea”, msimu wake wa pili na Liverpool alikuwa kati ya viungo tegemezi akicheza pamoja na Xhabi Alonso na Steven Gerrard.

Viewing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>