Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

HAYA NDIYO MAAMUZI YA TFF BAADA YA DRFA KUWASIMAMISHA VIONGOZI WA TEFA

$
0
0

 

Malinzi & MwesigwaShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linapenda kutoa taarifa kuhusu uamuzi Kamati ya Maadili ya Chama cha Mpira wa Miguu cha Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) wa kuwasimamisha kwa muda wa miaka miwili viongozi watatu wa Chama cha Mpira wa Miguu cha Wilaya ya Temeke iliyotolewa hivi karibuni katika vyombo vya habari hususan gazeti la HabariLeo la tarehe 17 Januari 2016, ukurasa wa 30 yenye kichwa cha habari: “DRFA yatangaza kufungia viongozi wa Tefa”.

TFF ina maelezo yafuatayo kuhusu uamuzi huo wa DRFA

 

 

 

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>