Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIO TOP 20 YA WANASOKA WENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI 2016

Paul Dybala $68.28m Haishangazi kumuona kinda huyu mwenye kipaji katika orodha ya wachezaji 20 wenye thamani kubwa zaidi hivi sasa, Juventus inajivunia kijana huyu na hawapo tayari kumuuza hivi sasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STORY MPYA KUHUSU SAMATTA NA TP MAZEMBE

Baada ya dili la uhamisho wa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta kusuasua kutoka klabu yake ya TP Mazembe kwenda klabu ya Genk ya Ubeligiji, star huyo ameamua kurejea kwenye klabu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMBWE AIBUKA SHUJAA YANGA IKIISAMBARATISHA MAJIMAJI

Amis Tambwe ameibuka shujaa kwenye mchezo wa Yanga vs Majimaji baada ya kutupia kambani goli tatu (hat-trick) wakati Yanga ikiibuka na ushindi wa bao 5-0 na kupaa tena hadi kileleni mwa ligi kuu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA NDIYO MAAMUZI YA TFF BAADA YA DRFA KUWASIMAMISHA VIONGOZI WA TEFA

  Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linapenda kutoa taarifa kuhusu uamuzi Kamati ya Maadili ya Chama cha Mpira wa Miguu cha Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) wa kuwasimamisha kwa muda wa miaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVERPOOL YAHAHA KUMNASA MSHAMBULIAJI WA BRAZIL

Liverpool wanataka kumsajili mshambuliaji wa Shakhtar Donetsk Alex Teixeira mwenye asili ya kibrazil na kama dili hilo litafanikiwa huo utakuwa ni usajili mkubwa wa kwanza kufanywa na kocha Jurgen...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NI STORY MPYA KUHUSU MANCHESTER UNITED NA PEP GUADIOLA

Manchester United wamekanusha kwamba walikutana na boss wa Bayern Munich Pep Guardiola kuhusu uwezekano wa kuchukua mikoba ya bosi sasa Louis van Gaal, baada ya soka Ufaransa kusema kuwa mkutano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUSIMWAMINI MUONGO HATA AKIONGEA UKWELI

Na Athumani Adam Msanii wa mtindo wa Hip Hop hapa nchini Tanzania, kwenye moja ya nyimbo zake aliwahi kutumia maneno yasemayo “Hupaswi kumuamini muongo hata kama akiongea ukweli”, FID Q alitumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMBWE APEWA MPIRA WA ‘KICHINA’

Amisi Tambwe akikabidhiwa mpira ambao haukuwa miongoni mwa ile iliyotumika kwenye mchezo wa Yanga vs Majimaji baada ya mschezaji huyo kufunga magoli matatu kwenye mechi hiyo Katika hali isiyo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIYONZIMA AANZA RASMI MAKAMUZI YANGA, HII NDIYO KAULI YAKE YA KWANZA

Haruna Niyozima wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza mazoezi na klabu yake Kiungo wa Yanga Haruna Niyonzima ambaye mkataba wake na klabu hiyo ulivunjwa kutokana na makosa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA ISITARAJIE MTEREMKO-RANGERS

Uongozi wa klabu ya Friends Rangers, umesema klabu ya Yanga isitarajie mteremko katika mchezo wao wa kutania kombe la FA, utakaofanyika kesho kutwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Ofisa habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FA CUP MAMBO YAMEIVA, YANGA, SIMBA, VIWANJANI WEEKEND HII

Mzunguko wa tatu wa michuano wa Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) unatarajiwa kuendelea wikiendi hii mpaka katikati ya juma lijalo kwa michezo 13 kuchezwa katika viwanja mbalimbali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF YAMLILIA HASSAN MLILO

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ametuma salamu za rambi rambi kwa klabu ya Tanzania Prisons inayoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom kufuatia kifo cha Mwenyekiti wake Hassan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

COASTAL UNION HAPAKALIKI, WANACHAMA WASHINIKIZA UONGOZI KUCHUKUA UAMUZI MGUMU

Said Karsandas Pandram, Tanga Kutokana na matoke omabayo yanayoikumba klabu ya Coastal Union ya Tanga, wanachama wa klabu hiyo wameutaka uongozi wa timu hiyo kujiuzulu kwa kuwa wameshindwa kuiendesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJIBU YA PASCAL WAWA KUHUSU KUCHEZA KLABU NYINGINE YA VPL

BEKI kisiki wa Azam FC, Pascal Wawa, ameweka wazi kuwa hakuna timu nyingine atakayoichezea Tanzania zaidi ya klabu hiyo Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, anayokipiga kwa sasa. Akifanya mahojiano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FABREGAS AMFUKUZISHA KAZI MFANYAKAZI WA CHELSEA

Uongozi wa klabu ya Chelsea umemfukuza kazi mfanyakazi wa uwanja wao baada ya mfanyakazi huyo kumkejeli nahodha wa zamani wa klabu ya Arsenal Cesc Fabregas kwa kumwita ‘snake’. Video ya tukio hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMUSOKO AKIWA NA FAMILIA YAKE ANAUJUMBE HUU KWAKO WEEKEND HII

Kiungo wa Yanga Thabani Kamusoko akiwa na familia yake Kikungo wa Yanga mzimbabwe Thabani Kamusoko ni miongoni mwa wachezaji wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara ambao wako active sana kwenye mitandao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIMENUKA YANGA, KATIBU MKUU ABWAGA MANYANGA

Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga Dr. Jonas Tiboroha ametangaza kujiuzulu wadhifa wake ndani ya klabu hiyo ya Jangwani kutokana na fukuto kubwa lililopo kwenye uongozi wa juu wa klabu hiyo. Mtandao huu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR. TIBOROHA AZUA ‘TIMBWILI’ YANGA

Wanachama wa klabu ya Yanga wameibuka makao makuu ya klabu yao kupinga kujiuzulu kwa aliyekuwa katibu mkuu wa klabu hiyo Dr. Jonas Tiboroha ambaye inaelezwa amechukua uamuzi huo kutokana na shinikizo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACACIA YAMWAGA MAMILIONI YA PESA KWA TIMU YA DARAJA LA PILI

Meneja wa Buzwagi Assa Mwaipopo (kushoto) akimpa hundi katibu wa Ambasador Na. Philipo Chimi, Kahama Timu ya Ambasador FC kutoka wilayani Kahama mkoani Shinyanga inayoshiriki lig daraja la pili ngazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘UJANJA-UJANJA’ WAIPONZA ASHANTI UNITED FA CUP

Kikao cha Kamati ya Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kilichoketi jana na kupitia taarifa mbalimbali za michezo ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) mzunguko wa...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>