Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVERPOOL YAPATA POINTI 3 UGENINI, LAKINI YAKIONA CHA MOTO

Adam Lalana amewatoa Liverpool kimasomaso baada ya kuifungia timu hiyo bao la ushindi dakika za lala salama kwenye mechi ya ligi kuu England kati ya Norwich City dhidi ya Liverpool iliyomalizika kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAUNGURUMA MOROGORO

Wekundu wa Msimbazi Simba wameunguruma Mkoani Morogoro kwa kuitungua timu ya Burkina Faso kwa bao 3-0 kwenye mchezo wa Azam Sports Federation Cup (FA) mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Jamhuri mjini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAN UTD YAKWAMA TENA OLD TRAFFORD

Klabu ya Manchester United imeshindwa kutamba kwenye uwanja wake wa nyumbani baada ya kujikuta ikigaragazwa kwa bao 1-0 dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa ligi kuu England uliochezwa kwenye uwanja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA: KOCHA WA VPL AFIWA NA MKEWE

 Bi. Fatuma Juma aliyekuwa mke wa kocha wa timu ya Mbeya City Meja mstaafu Abdul Mingange Kocha mkuu wa Mbeya City FC Meja mstaafu Abdul Mingange amefiwa na mkewe Bi. Fatuma Juma mapema leo, mazishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOURINHO AIANDIKIA BARUA BODI YA MAN UNITED

Gazeti la Independent la nchini England Jumapili hii limeripoti kuwa kocha Jose Mourinho ameiandikia barua bodi ya klabu ya Manchester United kuelezea mipango yake na jinsi atakavyofanya kama atapata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KLOPP AVUNJA MIWANI AKISHANGILIA USHINDI WA LIVERPOOL

Kocha Jurgen Klopp wa Liverpool jana alijikuta akiharibu miwani yake mara baada ya kujumuika pamoja na wachezaji wake kushangilia goli la ushindi katika dakika za mwisho za mchezo wao dhidi ya Norwich...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADEE: ARSENAL IKIFUNGWA NA CHELSEA, GARI YANGU MOJA NAICHOMA MOTO

Kama ulikuwa hujui basi leo nakufanya ujue kwamba mbali na masuala ya music, msanii Madee ni shabiki wa kutupwa wa Arsenal The Gunners wale watoto wa jiji la London pale England. Leo Arsenal watakuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAIFUATA SIMBA FA CUP

Simon Msuva wakishangilia na Paul Nonga moja ya magoli ya leo dhidi ya Friends Rangers Yanga imefanikiwa kutinga raundi ya 16 bora ya michuano ya Azam Sports Federation Cup kufuatia ushindi wa goli 3-0...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya Mtoto wa Jorge Mendes – Ronaldo sasa Ahusishwa kutoka na Mdogo wake...

Takribani mwaka mmoja tangu kuachana na girlfriend wake, mwanamitindo wa kirusi Irina Shayk – Cristiano Ronaldo ameendelea kuhusishwa na mahusiano na wasichana mbalimbali duniani.   Baada ya kuhusishwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA CHELSEA KUILIZA ARSENAL, HIZI NDIYO REKODI MPYA ZILIZOWEKWA

Arsena ikiwa na wachezaji 10 imeshindwa kukaa kileleni mwa ligi kuu ya England baada ya Diego Costa kufunga goli na kuipa ushindi Chelsea kwenye dimba la Emirates. Beki wa kutumainiwa wa The Gunners...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wayne Rooney Apiga Hat Trick – Hili Ndio Jina Alilompa Mtoto Wake Mpya

Wanandoa Coleen na Wayne Rooney wametangaza kupata mtoto wao wa 3 leo jumapili.     Rooney na Coleen kwa pamoja walitumia akaunti zao za mtandao wa Twitter kuwaambia mashabiki wao juu ya taarifa hiyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANJI ATAJA SABABU ZILIZOMNG’OA DR. TIBOROHA JANGWANI

Yusuf Manji-Mwenyekiti Yanga SC Baada ya Katibu Mkuu wa Klabu ya Yanga Dr. Jonas Tiboroha kujiuzulu, yaliibuka mambo mengi na mijadala mingi ikihoji ni kwanini mtendaji huyo mkuu wa Jangwani ameamua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii Ndio Rekodi Muhimu ya Flamini Iliyovunjwa na Diego Costa 

Mathieu Flamini alikuwa ni mmoja ya wachezaji waliochezea Arsenal leo wakati Gunners walipofungwa 1-0 na Chelsea katika mchezo wa raundi ya pili ya English Premier League katika dimba la Emirates....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘PANGA-PANGUA’ YAPITA YANGA, DR. TIBOROHA APATA MRITHI

Baraka Deusdedit anashikilia nafasi ya Katibu-Yanga SC Uongozi wa klabu ya Yanga umefanya mabadiliko ya nafasi za uongozi kwenye klabu hiyo mara baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Yanga kubwaga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GOLI LA MATHEO ANTHONY LAWEKA RECORD MPYA YANGA

Matheo Anthony (kushto) akipongezwa na beki wa timu hiyo Pato Ngonyani (kulia) baada ya kufunga goli lake la kwanza Yanga Mshambuliaji wa Yanga Matheo Anthony ajana aliandika rekodi mpya kwenye klabu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJIBU YA MADEE KUHUSU KUCHOMA GARI BAADA YA ARSENAL KUTULIZWA NA CHELSEA

Star wa Bongo Flavor Madee jana aliahidi kuchoma moja ya gari lake endapo timu ya Chelsea ingeifunga Arsenal kwenye mchezo wa Premier League jana January 24 kwenye uwanja wa Emirates. Mchezo huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TETESI: DR. TIBOROHA ANUKIA TFF

Taarifa za ndani kutoka TFF zinasema kwamba aliyekuwa Katibu Mkuu wa Yanga Dr. Jonas Tiboroha anasubiri kuchukua nafasi ya Katibu Mkuu wa sasa wa TFF Mwesigwa Selestine. Chanzo hicho kimesema kwamba,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WARAKA WA KERR WAIBUA MAZITO YALIYOFICHIKA SIMBA

Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu tangu alipotimuliwa, aliyekuwa kocha mkuu wa Simba Dylan Kerr ameandika barua kwa mashabiki akiwaeleza mambo kadhaa ambayo ylikuwa yamefichika nyuma ya pazia wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENGER ALICHEMKA KUMTOA GIROUD DHIDI YA CHELSEA?

Kocha Arsene Wenger alimtoa mshambuliaji wake Oliver Giroud katika dakika ya 22 ya mchezo na kumuingiza beki Gabriel Paulista ili kuziba nafasi sehemu iliyoachwa wazi na beki Paul Mertesacker ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Van Gaal Aripotiwa Kutaka Kujiuzulu – Aondoka England, Mazoezi Yasimamishwa

LOUIS VAN GAAL anaripotiwa kuwa karibuni kujiuzulu kuitumikia Manchester United baada ya kukiri kwamba amewaangusha mashabiki zake. Kocha huyo wa kidachi alizmewa sana katika dimba la Old Trafford...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>