Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

PICHA 17: JULIO NA MWADUI YAKE WALIVYOIPA YANGA KOMBE LA VPL

$
0
0

Julio

Jumapili ya May 8, 2016, kikosi cha Mwadui FC kiliichapa Simba SC bao 1-0 kwenye uwanja wa taifa na kuchochea zaidi moto wa Yanga kutwaa ubingwa wa VPL msimu huu.

Kocha wa Mwadui, Jamhuri Kihwelo alichukua mfano wa kombe na kuitangaza Yanga kuwa ndiyo mabingwa rasmi wa ligi kwa msimu huu mara baada ya mchezo kumalizika.

DSC_0026

DSC_0024

DSC_0061

DSC_0013

DSC_0005

Kocha msaidi wa Simba anayekiongoza kikosi cha Msimbazi tangu Mayanja alipotolewa kwenye benchi la ufundi kwenye mchezo wa Simba na Toto Africans
Kocha msaidi wa Simba anayekiongoza kikosi cha Msimbazi tangu Mayanja alipotolewa kwenye benchi la ufundi kwenye mchezo wa Simba na Toto Africans
Wachezaji wa akiba wa Simba
Wachezaji wa akiba wa Simba
Musa Hassan 'Mgosi' akiwa sehemu ya benchi la ufundi la Simba
Musa Hassan ‘Mgosi’ akiwa sehemu ya benchi la ufundi la Simba
Kikosi cha Simba SC kilichoanza kwenye mchezo dhidi ya Mwadui FC
Kikosi cha Simba SC kilichoanza kwenye mchezo dhidi ya Mwadui FC
Ibrahim Ajib akielekea kwenye vyumba vya kubadilishia nguo baada ya kuoneshwa kadi nyekundu
Ibrahim Ajib akielekea kwenye vyumba vya kubadilishia nguo baada ya kuoneshwa kadi nyekundu
Mashabiki wa Yanga wakichangilia kwa kupeperusha bendera ya Mwadui baada ya timu hiyo kumchapa mtani wao kwenye mchezo wa VPL
Mashabiki wa Yanga wakichangilia kwa kupeperusha bendera ya Mwadui baada ya timu hiyo kumchapa mtani wao kwenye mchezo wa VPL
Mchezaji wa Mwadui akitolewa nje ya uwanja baada ya kuumia wakati wa mchezo dhidi ya Simba
Jamal Mnyate mfungaji wa bao pekee la Mwadui akitolewa nje ya uwanja baada ya kuumia wakati wa mchezo dhidi ya Simba
Mohamed Hussein 'Tshabalala' akichuana na Joram Mgeveke
Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ akichuana na Jamal Mnyate
Kocha mkuu wa Mwadui FC Jamhuri Kihwelo akitoa maelekezo kwa wachezaji wake
Kocha mkuu wa Mwadui FC Jamhuri Kihwelo akitoa maelekezo kwa wachezaji wake
Golikipa wa Mwadui FC Shabani Kado akitolewa uwanjani kwa machela baada ya kuumia wakati wa mchezo
Golikipa wa Mwadui FC Shabani Kado akitolewa uwanjani kwa machela baada ya kuumia wakati wa mchezo
Kikosi cha Mwadui FC kilichoanza dhidi ya Simba SC
Kikosi cha Mwadui FC kilichoanza dhidi ya Simba SC

Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>