Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VAN PLUIJM: YANGA SIYO NGOMA

Licha ya Yanga kupata ushindi kwenye mchezo wake wa kimataifa wa kombe la shirikisho barani Africa dhidi ya Esparanca ya Angola, kuna baaddi ya watu wamekuwa wakise, kukosekana kwa wachezaji wawili wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOCHA WA ESPARANCA AIWASHIA YANGA TAA YA KIJANI MAKUNDI CAF

Kocha mkuu wa Esparanca Zoram Manojlovec (kulia) amesema timu yake inanafasi ndogo ya kufuzu hatua ya makundi kombe la shirikisho ukilinganisha na Yanga Kocha wa GD Sagrada Esperanca Zoram Manojlovec...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBINGWA WA LEICESTER ILIKUWA NI HABARI MBAYA KWA STAR WA MISRI

Habari za Leicester kutwaa ndoo ya EPL zilikuwa mbaya kwa Mido ambaye ni mchezaji wa zamani wa  Tottenham. Mido ambaye jina lake halisi ni Ahmed Hossam, alikuwa mchezaji wa Tottenham kuanzia mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWADUI YAPELEKA JANGWANI KOMBE LA VPL

Kocha wa Mwadui FC ametangaza kuikabidhi rasmi Yanga kombe la VPL baada ya kuichapa Simba kwa bao 1-0 kwenye mchezo wa ligi kuu uliochezwa kwenye uwanja wa taifa jioni ya leo. Simba watajilaumu kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 17: JULIO NA MWADUI YAKE WALIVYOIPA YANGA KOMBE LA VPL

Jumapili ya May 8, 2016, kikosi cha Mwadui FC kiliichapa Simba SC bao 1-0 kwenye uwanja wa taifa na kuchochea zaidi moto wa Yanga kutwaa ubingwa wa VPL msimu huu. Kocha wa Mwadui, Jamhuri Kihwelo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJIB NDO BASI TENA VPL 2015-16

Mwamuzi Anthony Kayombo aliyechezesha mchezo kati ya Simba dhidi ya Mwadui FC akiuonesha kadi nyekundu Ibrahim Ajib Kadi nyekundu aliyooneshwa mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib inamfanya kukosa mechi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JULIO: SIMBA INALAANA!!

Kocha mkuu wa Mwadui FC Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ameiambia timu ya Simba kwamba inalaana ndiyo sababu ya kushindwa kufanya vizuri kwenye michuano ya ligi kuu Tanzania bara kwa muda mrefu. Julio anadai...

View Article

UCHAGUZI WA KIFA WAVURUGIKA VURUGU YATOKEA

Uchaguzi wa chama cha mpira wa miguu Kinondoni KIFA ulifanyika jana .uchaguzi huo uligubikwa na dosari mbalimbali ambazo zilipelekea vurugu na uchaguzi huo kuvunjika bila kupata matokeo ya mwisho ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOSI: WACHEZAJI WA SIMBA TUNASTAHILI KUUAWA

Mshambuliji na nahodha wa kikosi cha Simba SC Mussa Hassan Mgosi Mshambuliaji mkongwe na nahodha wa kikosi cha Simba SC Musa Hassan ‘Mgosi’ ameshindwa kujizuia kuonesha kusikitishwa na matokeo mabaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RASMI: KESSY ATIA DOLEGUMBA YANGA

Beki wa kulia wa Simba SC, Hassan Ramadhani Kessy (katikati) akitia dole gumba kwenye fomu za mkataba wa kujiunga na Yanga Kuna msemo wa Kiswahili unasema ‘ukisusa wenzio wala’, msemo huu umetimia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA AZAM FC WAKICHUKUA NAFASI YAO YA PILI KWA KUITUNGUA KAGERA SUGAR

Azam FC imerejea nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) baada ya kuichapa Kagera Sugar mabao 2-1 katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Kambarage, Shinyanga Click hapa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: SIMBA WALIVYOPELEKA SUKARI JANGWANI, WALALA KWA MWADUI

Goli pekee lililofungwa na Jamal Mnyate kwenye mchezo wa Simba vs Mwadui lilitosha kupeleka shangwe na nderemo mitaa ya Jangwani kwa kuwa mabingwa kwa mara nyingine tena wa ligi ya Vodacom Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO WA MCHEZAJI WA ZAMANI WA SIMBA ASAJILIWA VILLARREAL

Kinda wa kitanzania Akram Afif mwenye uraia wa Qatar amekuwa mchezaji wa kwanza kutoka Qatar kusajiliwa na klabu ya Hispania. Mtoto huyo wa mchezaji wa zamani wa klabu ya Simba SC Hassan Afif...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutoka Lisbon mpaka Milan: Mabadiliko yaliyotokea kwa Atletico Madrid na Real...

Real Madrid na Atletico madrid kwa mara nyingine tena watakutana katika mchezo wa kuamua yupo ni bora barani ulaya, hata hivyo mengi yamebadilika tangu mara ya mwisho timu hizi zilipokutqna katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI 5000 TU, DAKIKA 90 ZA CITY VS YANGA KESHO

Maandalizi ya mchezo namba 218 wa ligi kuu ya soka Tanzania  bara  kati ya Mbeya City fc na Yanga ya Dar es Salaam uliopagwa  kuchezwa kesho kwenye uwanja wa Sokoine  jijini hapa yamekamilika  na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

La Liga: Barca kubeba ubingwa siku ya mwisho ya ligi kwa mara 10 au Madrid...

Katika makombe 23 waliyoshinda FC Barcelona ya La Liga, tisa kati ya hayo walishinda siku ya mwisho ya ligi. Jumamosi wiki hii, wanaweza kushinda kombe lao la 10 katika siku ya mwisho ya ligi. Karibia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESSY ANAONDOKA SIMBA ‘WAKIUNGUA’ MOYONI, TABASAMU USONI

Beki wa kulia wa Simba SC, Hassan Ramadhani Kessy (katikati) akitia dole gumba kwenye fomu za mkataba wa kujiunga na Yanga Na Baraka Mbolembole Hassan Kessy Ramadhani atakuwa mchezaji wa Yanga SC...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMA HAKUNA ‘MKUBWA KULIKO SIMBA’, BASI NA UONGOZI HUU UONDOKE MADARAKANI

Na Baraka Mbolembole Johann Pestalozzi alizaliwa katika mji wa Zurich, Uswisi yapata mwaka 1746. Wazazi wake walikuwa wa asili ya Kiitalia waliohamia Uswisi. Baada ya kufuzu shahada ya sheria katika...

View Article

SERENGETI BOYS HAOOO INDIA.

Timu ya taifa ya vijana Serengeti boys wanatarajiwa kuondoka kesho kuelekea nchini INDIA ambako wataenda  kushiriki mashindano hayo maalumu ya soka ya kimataifa kwa vijana (AIFF Youth Cup 2016 U-16)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA HAIKAMATIKI

Mabingwa wa ligi ya kuu ya Vodacom Tanzania bara Yanga wameendelea kushinda mechi zao za ligi licha ya kutangaza ubingwa kabla ya mechi za ligi kumalizika. Yanga wameichapa Mbeya City kwa bao 2-0...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>