Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

BAADA YA SARE NA HARAMBEE STARS,KOCHA MKWASA ANENA HAYA.

$
0
0

Timu ya taifa ya Tanzania imerejea leo asubuhi kutoka nchini kenya walikokwenda kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Harambee Stars.Mchezo huo ambao uliisha kwa sare ya goli 1-1.Mchezo huo ulikua ni sehemu ya maandalizi ya timu hiyo kuelekea mchezo wake dhidi ya Misri.

Tazama hapa kuona mahojiano hayo.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>