Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

PICHA: MATUKIO 18 YALIYOBAMBA TUZO ZA VPL 2015/16

$
0
0
Wachezaji wote walioshinda tuzo za ligi kuu Tanzania bara wakiwa kwenye picha ya pamoja
Wachezaji wote walioshinda tuzo za ligi kuu Tanzania bara wakiwa kwenye picha ya pamoja

Wadau wa soka la Bongo walikusanyika usiku wa Julai 16 kwa ajili ya kushuhudia ugawaji wa tuzo mbalimbali kwa wachezaji, makocha na vilabu vilivyofanya vizuri katika ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/16.

Tuzo hizo zilikwenda kwa walengwa na hatimaye kukamilisha zoezi hilo ambalo lilikuwa likisubiriwa kwa hamu baada ya kuchelewa kutokana na sababu za hapa na pale.

Kuna matukio mengi yalijiri katika ugawaji wa tuzo hizo, lakini hapa nakupa picha kadhaa ushuhudie mambo muhimu yalivyokuwa.

Thaban Kamusoko akifurahi na familia yake kwenye usiku wa tuzo za VPL 215/16
Thaban Kamusoko akifurahi na familia yake kwenye usiku wa tuzo za VPL 215/16
Golikipa wa Yanga Deogratius Munish 'Dida' nae pia alikuwa na mama watoto wake
Golikipa wa Yanga Deogratius Munish ‘Dida’ nae pia alikuwa na mama watoto wake
Kocha bora wa msimu Hans van Pluijm akiteta jambo na mama watoto wake
Kocha bora wa msimu Hans van Pluijm akiteta jambo na mama watoto wake
Ibrahim Ajib alitwaa tuzo ya goli bora la msimu (kushoto) akiwa na sambamba na golikipa wake Vicent Agban ambaye alikuwa anawania tuzo ya mchezaji bora wa kigeni tuzo iliyokwenda kwa Thaban Kamusoko wa Yanga.
Ibrahim Ajib alitwaa tuzo ya goli bora la msimu (kushoto) akiwa na sambamba na golikipa wake Vicent Agban ambaye alikuwa anawania tuzo ya mchezaji bora wa kigeni tuzo iliyokwenda kwa Thaban Kamusoko wa Yanga.
Wachezaji wa Azam FC Aishi Manula (golikipa bora) na Farid Musa (alikuwa akiwania tuzo ya mchezaji bora chipukizi) wakiwa makini kufatilia tuzo hizo
Wachezaji wa Azam FC Aishi Manula (golikipa bora) na Farid Musa (alikuwa akiwania tuzo ya mchezaji bora chipukizi) wakiwa makini kufatilia tuzo hizo
Dida akifurahi kwa kumkumbatia kocha wake baada ya kutangazwa kuwa kocha bora wa ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/16
Dida akifurahi kwa kumkumbatia kocha wake baada ya kutangazwa kuwa kocha bora wa ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/16
Kutoka kushoto: Mohamed Hussein 'Tshabalala, Ibrahim Ajib na Farid Musa katika picha ya pamoja
Kutoka kushoto: Mohamed Hussein ‘Tshabalala, Ibrahim Ajib na Farid Musa katika picha ya pamoja
Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa msimu Juma Abdul (Yanga) alikuwa ni miongoni mwa watu waliopendeza kutokana na kutupia suti iliyomkaa sawia mwilini
Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa msimu Juma Abdul (Yanga) alikuwa ni miongoni mwa watu waliopendeza kutokana na kutupia suti iliyomkaa sawia mwilini
Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib akifurahia jambo na mshambuliaji wa Yanga Amis Tambwe
Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib akifurahia jambo na mshambuliaji wa Yanga Amis Tambwe
Picha ya ukumbusho. Wawili hawa walikuwa ni wenye furaha isiyo kifani na hii ilitokana na kushinda tuzo walizokuwa wakiwania
Picha ya ukumbusho. Wawili hawa walikuwa ni wenye furaha isiyo kifani na hii ilitokana na kushinda tuzo walizokuwa wakiwania
Amis Tambwe na Ibrahim Ajib hawa jamaa inaonekana ni washkaji sana, walitumia muda mwingi sana kupiga story baada ya zoezi la ugawaji tuzo kumalizika. Walishawahi kucheza pamoja kwenye klabu ya Simba kabla ya Tambwe kutemwa na klabu hiyo kisha kujiunga na Yanga
Amis Tambwe na Ibrahim Ajib hawa jamaa inaonekana ni washkaji sana, walitumia muda mwingi sana kupiga story baada ya zoezi la ugawaji tuzo kumalizika. Walishawahi kucheza pamoja kwenye klabu ya Simba kabla ya Tambwe kutemwa na klabu hiyo kisha kujiunga na Yanga
Juma Abdul akitoa neno mara baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa ligi kuu Tanzania bara msimu 2015/16
Juma Abdul akitoa neno mara baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa ligi kuu Tanzania bara msimu 2015/16
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mh. Mwigulu Nchemba ambaye alikuwa mgeni rasmi katika sherehe za tuzo za ligi kuu Tanzania bara, akimpongeza Mohamed Hussein 'Tshabalala' kwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora chipukizi
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mh. Mwigulu Nchemba ambaye alikuwa mgeni rasmi katika sherehe za tuzo za ligi kuu Tanzania bara, akimpongeza Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ kwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora chipukizi
Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa msimu Juma Abdul akiwa kwenye picha ya pamoja na wageni wa meza kuu
Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa msimu Juma Abdul akiwa kwenye picha ya pamoja na wageni wa meza kuu

IMG_0431

Baada ya kushinda tuzo sasa ni wakati wa selfie, hawa jamaa kila mmoja alishinda tuzo. Tshabalala alitwaa tuzo ya mchezaji bora chipukizi wakati Juma Abdul yeye alikuwa mchezaji bora wa msimu
Baada ya kushinda tuzo sasa ni wakati wa selfie, hawa jamaa kila mmoja alishinda tuzo. Tshabalala alitwaa tuzo ya mchezaji bora chipukizi wakati Juma Abdul yeye alikuwa mchezaji bora wa msimu
Wachezaji wote walioshinda tuzo za ligi kuu Tanzania bara wakiwa kwenye picha ya pamoja
Wachezaji wote walioshinda tuzo za ligi kuu Tanzania bara wakiwa kwenye picha ya pamoja
Kocha wa zamani wa Mibwa Sugar (sasa hivi Kagera Sugar) akimpongeza Thaban Kamusoko baada ya kushinda tuzo ya mchezaji bora wa kigeni
Kocha wa zamani wa Mibwa Sugar (sasa hivi Kagera Sugar) akimpongeza Thaban Kamusoko baada ya kushinda tuzo ya mchezaji bora wa kigeni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>