Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

PICHA 2: Omog na Mingange Before and After Prisons vs Simba

$
0
0

Kamera ya shaffihdauda.co.tz ilifanikiwa kuzinasa picha mbili za makocha Joseph Omog na Meja Mingange kabla na baada (before and after) ya mchezo wa Tanzania Prisons na Simba uliochezwa kwenye uwanja wa Sokoine, Mbeya.

Kocha wa Simba Joseph Omog anaonekana mwenye furaha na amani kabla ya kuanza kwa mchezo wakati anasalimiana na kocha wa Tanzania Prisons Meja mstaafu Abdul Mingange.

Kocha wa Simba Joseph Omog (kuli) akiwa na tabasam na bashasha usoni wakati akisalimiana na kocha wa Tanzania Prisons Meja mstaafu Abdul Mingange
Kocha wa Simba Joseph Omog (kuli) akiwa na tabasam na bashasha usoni wakati akisalimiana na kocha wa Tanzania Prisons Meja mstaafu Abdul Mingange
Kocha wa makipa wa Simba Adam Meja akisalimiana kwa furaha na kocha wa Tanzania Prisons Abdul Mingange kabla ya mchezo wa Prisons vs Simba
Kocha wa makipa wa Simba Adam Meja akisalimiana kwa furaha na kocha wa Tanzania Prisons Abdul Mingange kabla ya mchezo wa Prisons vs Simba

Baada ya mchezo Omog anaonekana aliyepoteza furaha yake ya awali baada ya kupoteza game ya pili mfululizo kwa kufungwa na Tanzania Prisons.

Kocha wa Tanzania Prisons Meja Mingange (kushoto) na Joseph Omog wa Simba wakitakiana kila la heri baada ya kumalizika kwa mchezo wao. Kocha wa Simba anaonekana mwenye huzuni ukilinganisha na picha ya kwanza kabla ya kuanza kwa mchezo
Kocha wa Tanzania Prisons Meja Mingange (kushoto) na Joseph Omog wa Simba wakitakiana kila la heri baada ya kumalizika kwa mchezo wao. Kocha wa Simba anaonekana mwenye huzuni ukilinganisha na picha ya kwanza kabla ya kuanza kwa mchezo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles