Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Simba imemnasa mshambuliaji kutoka Stand United

$
0
0

img-20161213-wa0017

Kupitia ukurasa wa Instagram ya afisa habari wa Simba Haji Manara, kuna picha ambayo inasambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha rais wa klabu hiyo akikabidhi mkataba wa usajili kwa mshambuliaji wa Stand United Pastory Athanas.

Bado haijafahamika striker huyo amesajiliwa kwa kiasi gani na amepewa mkataba wa muda gani kuitumikia Simba SC.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>