Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Yanga imefunga dirisha la usajili wa dirisha dogo

$
0
0

img_0189

Ikiwa dirisha dogo linafungwa usiku wa December 15, klabu ya Yanga imeweka wazi wachezaji iliowasajili kuingia katika klabu hiyo pamoja na waliotoka ndani ya klabu hiyo inayopambana kutetea mataji yake ya VPL na FA.

Walioingia 

Yanga imetumia dirisha dogo kuwasajiliwa wachezaji wawili, waliosajiliwa ni Justine Zulu kutoka Zambia na Emanuel Martin kutoka JKU ya Zanzibar.

Waliotoka

Mbuyu Twite ni mchezaji pekee aliyeondoka Yanga katika kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili. Kwa mujibu wa Makamu Katibu Mkuu wa Yanga Baraka Deusdedith, Twite alimaliza mkataba wake na klabu ikaamua kumwacha aondoke kama mchezaji huru.

Hakuna mchezaji yeyote aliyetolewa kwa mkopo na klabu ya Yanga na klabu hiyo imeshafunga usajili wake wa dirisha dogo.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 9000

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>