Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO- COSTA ANG’AA HISPANIA IKISHINDA 8-0 NYUMBANI

Uhispania wamefungua kampeni yao ya harakati za kufuzu fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 kwa ushindi wa kishindo wa mabao 8-0 dhidi ya Liechtenstein usiku wa kuamkia leo. Diego Costa alifungua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO- BALE APIGA MBILI WALES IKIICHAPA MOLDOVA 4-0 CARDIFF

Wales wameendeleza mwenendo wao mzuri baada ya Michuano ya Euro kufuatia kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Moldova, mchezo wa kufuzu fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 uliofanyika Uwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CLATTENBURG KUAMUA MANCHESTER DERBY

Mark Clattenburg ametangazwa kuwa mwamuzi ambaye atachezesha pambano la wikiendi kati ya mahasimu wawili wa jiji la Manchester, Manchester United na City. Pep Guardiola na Mourinho wanakutana kwa mara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOURINHO NA GUARDIOLA WAZUA HOFU JESHI LA POLISI ENGLAND, MAAFISA 400 KULINDA...

Uhasama mkubwa uliopo kati ya Jose Mourinho na Pep Guardiola na ongezeko la hofu kutokana ukubwa wa mchezo wa Manchester United na City umefanya jeshi la polisi kujipanga namna kuweka ulinzi thabiti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JULIO KATANGAZA SABABU ZA KUSTAAFU KUFUNDISHA SOKA

Jamhuri Kihwelu ‘Julio’-Kocha Mwadui FC Kocha wa Mwadui FC Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amesema ataamua kustaafu kufundisha soka endapo baadhi ya matukio yataendelea kujitokeza katika ligi kuu ya Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA VPL JUMATANO SEPTEMBER 7

Baada ya ligi kuu Tanzania bara kupigwa mwishoni mwa juma lililopita, ligi hiyo itaendelea tena katikati ya juma hili (Jumatano September 7) kwa mechi tatu katika viwanja vya miji tofauti. Mabingwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDANDA VS YANGA – KULINDA REKODI VS KUVUNJA REKODI

Ligi kuu Tanzania bara itaendelea tena Jumatano ya September 7 kwa mechi tatu kuchezwa kwenye viwanja tofauti, game ya Ndanda FC vs Yanga ni miongoni mwa mechi kali inayosubiriwa kwa hamu na wadau wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Canada na Honduras kwenye kashfa ya kuwahonga El Salvador ili kufuzu kombe la...

Timu ya taifa ya El Salvador imedai kwamba wamekataa rushwa ya fedha waliyoahidiwa ili wapoteze mchezo wa leo jumanne wa kugombea kufuzu kucheza kombe la dunia 2018 vs Canada.  Katika mkutano wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO-RASHFORD APIGA HAT-TRICK ENGLAND U21 IKIIFUMUA NORWAY 6-1

Kinda wa Manchester United na timu ya taifa ya vijana U21 Marcus Rashford ameng’ara kwenye mchezo wa Kundi la 9 kuwania kufuzu mucheza michuano ya Euro kwa vijana baada ya kupiga hat-trick dhidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UFARANSA YASHINDWA KUTAMBA MBELE YA BELARUS

Ufaransa imeanza kampeni za kufuzu fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 kwa kusuasua baada ya kulazimishwa suluhu na Belarus, mchezo uliopigwa jijini Barysaw. Olivier Giroud, Antoine Griezmann na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

URENO BILA YA RONALDO YALALA 2-0 MBELE YA USWISI

Mabingwa wa Ulaya Ureno jana wameanza kampeni yao ya kusaka ushiriki wa Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Russia vibaya baada ya kuchapwa mabao 2-0 dhidi ya Uswisi kwenye mchezo wa Kundi B uliofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DONDOO MUHIMU KUELEKEA MANCHESTER DERBY

Na Athumani Adam Kwenye El Classico Barcelona ya Pep Guardiola ilikua na rekodi nzuri dhidi ya Madrid ya Jose Mourinho. Sasa makocha hawa wapo nchini Uingereza, Guardiola akifundisha Manchester City...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO- NEYMAR APIGA MOJA BRAZIL IKISHINDA 2-1, ARGENTINA YAKALIWA KOONI

Mechi 5 za Kanda ya nchi za Amerika ya Kusini chini ya usimamizi wa Shirikisho la Soka kwa Nchi za Amerika ya Kusini (CONMEBOL) kusaka mataifa manne yatakayofuzu moja kwa moja kucheza World Cup mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GUARDIOLA VS MOURINHO, TUMEWAACHA MUIVUNJE SAHANI.

Dunia katika soka inaweza kuwa imetekwa na majiji mawili maarufu yaani Real Madrid na Barcelona. Hawa wanafanya wanachotaka na wanashinda wanavyojisikia huku pia wakiwa wamebeba wachezaji wawili bora...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMEMKARIRI JORGE MENDES? HUYU NDIYE ANAYEAMUA MAISHA YA CRISTIANO RONALDO NA...

Wengi wanaweza kuwa wanamfahamu na kufurahishwa na kazi ya wakala Jorge Mendes katika kila linapokuja suala la biashara za wateja wake kwani ni wakala wa wachezaji na makocha maarufu duniani kuanzia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO- ZLATAN AMEMUONYA KIPA WA MAN CITY CLAUDIO BRAVO

Mshambuliaji wa Manchester United Zlatan Ibrahimovic haachi vituko, licha kuwa mjivuni mkubwa lakini pia ni mtu mwenye dhihaka sana. Mshambuliaji huyo ambaye mpaka sasa msimu huu ndiye kinara wa mabao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YASHINDWA KUTOBOA REKODI MTWARA

Uwanja wa Nangwanda Sijaona umeendelea kuwa mgumu kwa Yanga baada ya kushindwa kupata ushindi kwa mara nyingine kufuatia kulazimishwa suluhu na Ndanda kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania. Mchezo wao wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJIB, MAVUGO, WAIPA SIMBA POINTI 3 MBELE YA RUVU SHTOOTING

Mgoli ya Ibrahim Ajib na Laudit Mavugo yameipa Simba pointi tatu dhidi ya Ruvu Shooting kwenye mchezo uliomalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa magoli 2-1. Ruvu Shooting ambao ndio wamepoteza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM MWENDO MDUNDO, WAINYUKA PRISONS 1-0 SOKOINE

AZAM FC leo wameendeleza wimbi la ushindi baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 mbele ya Tanzania Prisons, mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Katika mchezo huo ambao ulikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI YA HAJI MANARA KUHUSU MASAU BWIRE BAADA YA USHINDI YA RUVU SHOOTING JANA

Haji Sunday Manara, Afisa habari wa Simba SC Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba Haji Sunday Manara amesema kwamba, ushindi waliopata jana dhidi ya Ruvu Shooting ni ishara ya...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>