Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Masikini Rooney!

Wayne Rooney kwasasa anapitia katika kipindi kigumu kwenye maisha yake ya soka. Tayari ameshapoteza nafasi ya kuanza katika kikosi cha Manchester United sasahivi anapanda mlima mwingine kuhakikisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miezi 12, Mechi 54 michuano yote, kupoteza 7, Yanga haihitaji kocha mwingine...

Na Baraka Mbolembole MABINGWA mara mbili mfululizo wa ligi kuu Tanzania Bara watalazimika kuishinda Mtibwa Sugar siku ya Jumatano hii ili ‘kuwaziba’ midomo wale wote wanaibeza timu hiyo msimu huu....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nje ya pitch- SAFA waliitumia BANYANA BANYANA, TFF itumieni Kill Queens

Na Athumani Adam Kabla ya ligi ya wanawake nchini Afrika Kusini, kampuni ya masuala ya petroli iitwayo Sasol walikuwa wadhamini wakuu (official sponsor) wa timu ya taifa ya wanawake wa nchi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Ronaldo alivyofurahia selfie na shabiki

Kabla ya kipindi cha pili kuanza mchezo kati ya Faroe Islands na Ureno, shabiki alikimbia na kuingia uwanjani akitaka kupiga picha (selfie) na star wa Real Madrid Cristiano Ronaldo katika mchezo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Rooney akubali kupigwa chini England

Kuna story zilivuja kwamba Gareth Southgate amepanga kumtema Wayne Rooney kwenye mchezo wa England dhidi ya Slovenia, kocha huyo wa muda wa kikosi cha ‘Simba watatu’ amethibitisha uvumi huo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Goli la Benteke lililovunja rekodi ya Dunia kuwania kufuzu World Cup 2018

Striker wa Crystal Palace Christian Benteke ameweka historia usiku wa October 10 kwa kufunga goli sekunde ya 7 baada mchezo kuanza wakati Ubelgiji ikicheza dhidi ya Gibraltar. Romelu Lukaku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Goli la Pogba la mita 30 lilivyoipa ushindi Ufaransa dhidi ya Uholanzi

Tayari yalishaanza maneno kwa kocha wa Ufaransa Didier Deschamps kwamba ampige chini kiungo wa Manchester United Paul Pogba kwenye kikosi cha Ufaransa kilichocheza dhidi ya Uholanzi. Nyota huyo mwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siri ya kiwango cha CR7 kwa sasa…

Na Victor Mengi Huwezi ukawa unampenda mchezaji na hujui kwanini unampenda mchezaji huyo, mimi ni mpenzi sana wa mchezaji Criastiano Ronaldo. Ninasababu mia kwanini ninampenda mchezaji huyu, Cristiano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘Guardiola ana majivuno zaidi ya Mourinho’

Kocha wa klabu ya Zenit St Petersburg Mircea Lucescu amesema kwamba, kocha waManchester City Pep Guardiola ana maringo zaidi ya hasimu wake mkubwa kocha wa Manchester United Jose Mourinho. Kocha huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VPL: Yanga SC v Mtibwa Sugar, Mabingwa watetezi wataendelea kuwanyanyasa Mtibwa?

Na Baraka Mbolembole MECHI 7 za ligi kuu ya kandanda Tanzania Bara ( VPL) zinataraji kuchezwa Jumatano hii. Mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Yanga SC wataikaribisha Mtibwa Sugar FC ya Turiani, Morogoro...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Neno la Dauda kwa mkewe na mwanae wakisherekea birthday yao

October 11 ni siku ambayo Solskjaer na mama yake wanaadhimisha siku za kuzaliwa kwao, ni furaha ya aina yake ambapo siku ya kuzaliwa (Birthday) ya mama na mtoto zimeangukia siku moja. “Leo ni siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msimamo wa TFF kuhusu Yanga kukodishwa kwa kampuni ya Yanga Yetu Limited

Siku chache baada ya Baraza la Michezo Tanzania (BMT) kutangaza kutotambua mabadiliko ya klabu ya Yanga kukodishwa na kampuni ya Yanga Yetu Limited, leo October 11 shirikisho la soka nchini TFF...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ubovu wa Theo Walcott na ubinafsi wa Sturridge wainyima ushindi England

Haijalishi ni ubovu kiasi gani waliouonesha kwenye michuano ya Euro 2016, ni ngumu kuamini England wangetoka uwanjani vichwa chini baada ya pambano dhidi ya Slovenia. Wakiwa chini ya kocha wa muda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sababu za legend wa Man United Eric Cantona kuwa shabiki wa Sporting Club de...

Ni muda mrefu umepita tangu Eric Cantona alivyostaafu soka lakini bado anamapenzi ya dhati na mchezo huu. Mfararansa huyo aliamua kustaafu mapema akiwa na umri wa miaka 30 na kukimbilia kwenye tasnia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: Style mpya ya dabbing imeanzishwa Free State Stsrs Afrika Kusini

Style ya dab kwenye soka Style ya Dap ialanza kupata umaarufu kwenye mchezo wa soka kuanzia mwaka uliopita, baada ya kuwa maarufu kutokana na kutumiwa na Cam Newton star wa NFL na Carolina Panthers....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya kuchinja kondoo, Iraq yapata ushindi wa kwanza kufuzu Kombe la Dunia...

Hii ni katika harakati za kuhakikisha Iraq inafuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 zitakazofanyika Urusi. Hadi sasa Iraq bado hiana ponti katika mchakato wa kuwania kufuzu fainali hizo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Courtois ‘amwakia’ Hazard Ubelgiji

Thibaut Courtois alichukizwa na kitendo cha mchezaji mwenza wa Chelsea Eden Hazard kufanya masihara ambayo yangepelekea kuruhusu goli na kuharibu clean sheet katika mchezo ambao Ubelgiji walishinda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSG wako tayari kutoa €222 m kuinasa saini ya Neymar Jr

Paris Saint-Germain wameamua lengo lao kuu ni kumnasa mshambuliaji wa Brcelona Neymar Jr katika kipindi cha dirisha lijalo la usajili wa majira ya kiazi. Mabingwa hao wa Ligue 1 wako tayari kuweka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

 Mchezaji kushuka kiwango si sababu ya yeye kuzomewa

Kushuka kwa kiwango cha mchezaji si sababu ya yeye kuzomewa, washabiki tumekuwa na tabia zisizo na aibu na naziita tabia za kinafiki kwa sababu humpenda sana mchezaji anapokuwa ‘ona fire’ na kosa tu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nusu karne ya England bila Kombe la Dunia

Na Rashid Seif Maisha yanaenda kasi sana,  matukio mbalimbali yanatokea kilasiku, historia zinaandikwa, moja katika jambo ambalo pengine litakaa kwenye vichwa vya habari kwa muda mwingi ni mwaka ambao...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>