Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAMBUZI WA JOSE MOURINHO KWA NAMBA

Jose Mourinho ni kama tayari vile amemalizana na Manchester United isipokuwa ni suala la wakati kufika na kutangazwa tu kuwa kocha mpya wa ‘Mashetani Wekundu’. Licha ya Van Gaal kuwapa United kombe la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA WILAYA AMEUVUNJA UONGOZI WA STAND UNITED, HAYA NDIYO MAAMUZI YA BODI...

Mgogoro wa unaoendelea katika klabu ya Stand United umechukua sura mpya baada ya Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga kuuvunja uongozi wa klabu hiyo na kutanga uongozi wa mpito. Ungozi wa Stand United umepinga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF YATANGAZA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA FAINALI YA FA CUP AZAM VS YANGA

Mwamuzi mahiri nchini, Israel Mujuni Nkongo wa Dar es Salaam, Jumatano Mei 25, 2016 ameteuliwa kuwa mwamuzi atakayechezesha mchezo wa fainali za Kombe la Shirikisho maarufu kama Azam Sports Federation...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF IMETAJA WAAMUZI 40 WATAKAOCHEZESHA LIGI YA MABINGWA MIKOA

Kamati ya Waamuzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limeteua waamuzi 40 watakaochezesha Ligi ya Mabingwa Mikoa (RCL) inayoanza leo Mei 23 katika vituo vinne tofauti hapa nchini. Ligi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa rasmi ya Man Utd kumfukuza kazi Louis Van Gaal

Hatimaye klabu ya Manchester United imethibitisha rasmi kumfukuza kazi Kocha Louis Van Gaal, taarifa rasmi ya klabu hiyo imeeleza.   Taarifa ya United kupitia CEO Ed Woodward alisema: ‘Ningependa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Van Gaal ameyasema haya – Amemtaja Ferguson na Charlton

Baada ya Manchester United kuthibitisha kwamba ajira ya Louis Van Gaal imefikia ukingoni, kocha huyo wa kidachi nae ametoa taarifa rasmi ya kuthibitisha ajira yake imefikia mwisho.   Taarifa ya Van...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mourinho: Mambo 10 ya kufanya kuelekea kwenye mafanikio Man Utd – Part 2

Hatimaye Louis van Gaal amesitishiwa mkataba wake na Manchester United na dakili zite zinaonyesha kwamba Jose Mourinho atamrithi Mdachi huyo. Jose anakuja Man United akiwa anategemea kuinasua klabu...

View Article

VIDEO: BAADA YA TIMU TATU ZA TANGA KUSHUKA LIGI KUU, HAYA NI MAONI YA WADAU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJIO WA JOSE MOURINHO MAN UNITED NA MAMBO SABA YA KUZINGATIA ILI KUFANIKIWA

Hapana shaka yoyote kwamba Jose Mourinho ndiye kocha mtarajiwa wa Manchester United licha kutotangazwa. Hali hiyo inatokana na tetesi nyingi zinazoripotiwa huku zikichagiwa na kutimuliwa kwa aliyekuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUELEKEA DRAW YA MAKUNDI MICHUANO YA AFRIKA, CAF YAIPIGA CHINI CLUB MOJA YA...

Kamati ya mashindano ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ambayo imekutana leo May 24 kusikiliza malalamiko ya klabu ya Stade Malien ya Bamako (Mali) juu ya klabu ya AS Vita Club ya Kinshasa (DR Congo)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUENDA RONALDO AKAIKOSA FAINALI YA CHAMPIONS LEAGUE

Huenda mashabiki wa Real Madrid wakaamua kufanya maombi na dua kwa ajili ya Cristiano Ronaldo ambaye alishindwa kumaliza mazoezi pamoja na timu yake leo asubuhi kutokana na majeraha. Akiwa leo ndiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

#UCL: Ronaldo amezungumza haya juu ya afya yake kuelekea Milan

Baada ya leo mchana kutoka taarifa kwamba Cristiano Ronaldo ameumia na huenda angeikosa fainali ya Champions League dhidi ya Atletico Madrid wikiendi hii, hatimaye Ronaldo ameongea na waandishi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CAF IMEIPA YANGA MWARABU MMOJA

Draw ya kupanga makundi mawili ya timu zitakazo chuana kuwania kufuzu hatua ya nusu fainali ya kombe la shirikisho Afrika imekamilika na kila timu imeshajua itachuana na klabu gani katika hatua hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 10: AZAM YAFUATA NYAYO ZA SIMBA, YAZINDUA RASMI DUKA LA VIFAA VYA MICHEZO

Klabu ya Azam FC, leo imezindua rasmi duka lake la vifaa vya michezo ‘Azam Sports Shop’ lililopo Mtaa wa Swahili na Mkunguni, Kariakoo, Dar es Salaam, litakalokuwa likiuza vifaa mbalimbali vya timu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPA MWANZA MABINGWA SPORTS EXTRA BONANZA

Mamlaka ya Bandari TPA Mwanza wameibuka wa Sports Extra Day Bonanza baada ya kuifunga Fastjet kwa penati 2-0 baada ya kumaliza dakika za kawaida kwa sare. Huu ni mwaka wa 3 kufanyika bonanza la Sports...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBEYA CITY HAKUNA KULALA, YAANZA KUSAKA NYOTA WAPYA

SIKU  chache baada ya pazia  la ligi kuu ya soka Tanzania  bara kufungwa,Kocha mkuu wa Mbeya  City FC  Kinnah Phiri ameanza zoezi maalumu la kusaka nyota wapya ambao atawajumuisha  moja kwa moja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utajiri wa EPL: Hivi ndivyo Arsenal walivyoingiza Mkwanja kuwazidi mabingwa...

Ubingwa usiotarajiwa wa Leicester City unaweza kuwa umewafanya wawe maarufu zaidi duniani lakini Arsenal ndio timu iliyopata fedha nyingi zaidi msimu huu kwenye EPL.  Takwimu rasmi zilizochapishwa leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOURINHO NI MTU SAHIHI WA KUIRUDISHA MANCHESTER UNITED KWENYE UBORA WAKE?

Na Mahmoud Rajab Muda na wakati wowote kutoka sasa Manchester United watamtangaza Jose Mourinho kama kocha mpya wa timu hiyo. Watu wengi wanaamini ujio wa Mourinho kwenye klabu ya Manchester United si...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUELEKEA FAINALI YA UEFA CHAMPIONS LEAGUE: REKODI KALI ZINAZONYATIWA KUVUNJWA...

Na Eusebius Paul Kuweka rekodi mpya au kuifikia rekodi iliyowahi kuwekwa zamani na kuivunja kabisa ni jambo lenye furaha na fahari kubwa katika nyanja yoyote kimaisha. Lakini endapo kama utafanikiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO MATANO NILIYOJIFUNZA UEFA CHAMPIONS LEAGUE KUELEKEA SAN SIRO

Na Brian Marian Mrope(Gascoigne Brian) Diego Simeone mmoja kati ya viumbe wachache sana dunianiambao wanaweza kuwahi kuuona ufalme wa mbingu kwa hikianachotupa. Anajua sana kucheza na wakati wa...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>