Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMBWE: “NIMEFURAHI SANA KUIFUNGA SIMBA”

Amis Tambwe mshambuliaji wa Yanga aliyefunga goli la kwanza wakati wa mchezo kati ya Simba na Yanga, Yanga ilishinda kwa goli 2-0 Mshambuliaji wa Yanga aliyetemwa Simba misimu miwili iliyopita Amis...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUSUNGU AFICHUA ALICHOAMBIWA NA PLUIJM KABLA YA KUCHUKUA NAFASI YA MSUVA

Malimi Busungu mshambuliaji wa Yanga aliyefunga goli la pili wakati timu yake ikicheza na Simba na kutengeneza goli lililofungwa na Amis Tambwe Malimi Busungu ni mchezaji mpya kwenye kikosi cha Yanga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: MATUKIO MBALIMBALI YALIYOJIRI SIMBA VS YANGA

Mshambuliaji wa Yanga Amis Tambwe akimtoka beki wa Simba Hassan Isihaka Donald Ngoma wa Yanga (kulia) akikimbia na mpira kumuacha beki wa Simba Hassan Isihaka Manahodha wa timu zote mbili Mussa Mgosi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RONALDO ATAKA KUCHEZA TENA NA WAYNE ROONEY

Mchezaji Cristiano Ronaldo wa Real Madrid, amefunguka na kudai kuwa amemiss kucheza na nahodha wa Manchester United Wayne Rooney. Ronaldo ameyasema hayo weekend hii katika documentary yake ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: MOURINHO AIPONDA NEWCASTLE

“Nadhani moja ya sababu kwa nini kwa miaka mingi Newcastle huwa hawapati nafasi nzuri katika msimamo wa ligi ni kwa sababu ya mtazamo huu waliojijengea. Ni kwa sababu wanachagua baadhi ya mechi za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA: KOCHA WA YANGA AFIWA

Uongozi wa Yanga kupitia kwa afisa habari wao Jerry Muro umetoa taarifa za msiba wa mama mkwe wa kocha msaidizi wa klabu ya Yanga Charles Boniface (mama mzazi wa mkewake Betty Mkwasa) na kocha huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MURO ‘AMPACHIKA’ JINA JIPYA MWENYEKITI WA USAJILI SIMBA

Jerry Muro afisa habari wa klabu ya Yanga wakati akiongea na waandishi wa habari Baada ya Yanga jana kuibuka na ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Simba kwenye uwanja wa Taifa, afisa habari wa klabu ya hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM YAENDELEA KUGAWA DOZI

Mfungaji wa goli la kwanza la Azam FC Mudathir Yahya (kushoto) akishangilia goli lake na mchezaji mwenzake Farid Mussa Kikosi cha Azam kimeendelea kushinda mechi zake mfululizo kwenye ligi kuu Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOKEO MENGINE YA VPL

Hatimaye timu ya African Sports ya jijini Tanga leo imeonja ushindi wa ligi kuu Tanzania bara baada ya kuifunga timu ya Ndanda FC kwa goli 1-0 kwenye mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARSENE WENGER AMPOTEZEA MOURINHO

Hatimaye kocha Arsene Wenger wa Arsenal ameamua kuacha kumjibu kocha mwenye maneno mengi Jose Mourinho na badala yake kuitengeneza Arsenal ishinde michezo yake. Jose Mourinho aliongea kabla ya michezo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENCHI LA UFUNDI LATANGAZA KIKOSI CHA STARS KITAKACHOIVAA STARS, AISHI MANULA...

Kocha msaidizi wa Taifa Stars Hemed Morocco (kushoto) akiwa na mshauri wa benchi la ufundi la timu hiyo Abdallah ‘King’ Kibaden wakati wanatangaza kikosi cha Stars kitakachoingia kambini Kocha msaidizi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IVO MAPUNDA ASHINDWA KUJIZUIA JUU YA NYOSSO, HIKI NDICHO ALICHOKIANDIKA...

Kipa wa zamani wa klabu za Tanzania Prisons, Moro United, Yanga SC, St.George ya Ethiopia, African Lyon, Bandari FC na  Gor Mahia FC za Kenya, Simba SC na timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Ivo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMA ULIPITWA NA MAGOLI YA SIMBA NA YANGA HAYA HAPA KWA AJILI YAKO

Kama ulipitwa na magoli ya mechi ya Simba na Yanga basi haya hapa kwa ajili yako kupitia Dauda TV.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONI YA MASHABIKI NA WALIVYOKUA WANASHANGILIA KABLA YA MECHI YA SIMBA VS YANGA

Dauda TV iliwapa nafasi mashabiki kutoa maoni yao mara baada ya mechi na pia camera yake ikaweza kukamata matukio yote yaliyokua yanatokea nje ya uwanja

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vitu 4 vinavyoiangusha Liverpool chini ya Brendan Rogers

 Siku za utawala wa kocha Brendan Rogers ndani ya klabu ya Liverpool zimeanza kuhesabika baada ya mfululizo wa matokeo wanayopata Liverpool katika siku za hivi karibuni . Liverpool mabingwa wa mara 18...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARA BAADA YA MECHI…KOCHA WA SIMBA ALISEMA HAYA

Kocha wa Simba alizungumza mbele ya kipanza cha Dauda TV na kutoa maoni yake juu ya mchezo ambao ulikua mgumu na kushuhudia timu yake ikifungwa kwa magoli 2-o dhidi ya watani wao wa jadi.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKI TRAILER YA MOVIE YA CRISTIANO RONALDO INAYOTOKA MWEZI WA 11

Cristiano Ronaldo anatarajia kutoa movie yake ifikapo November 9 akiwa  amefanya kazi na Univcrsal studios. Movie hii imeandaliwa kwa musa wa miezi 14 na imeonyesha video mbalimbali ambazo hazijawai...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STURRIDGE JUU ZAIDI YA TORRES NA SUAREZ LIVERPOOL

Mshambuliaji Daniel Sturridge wa Liverpool ameweka rekodi ya kuwa na wastani mzuri wa kufunga katika ligi kuu England ndani ya klabu ya Liverpool baada ya kufunga mara mbili dhidi ya Aston Villa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barca na tatizo la kodi: Baada ya Neymar, Messi, huyu mchezaji mwingine na...

Klabu bingwa ya soka nchini Hispania na mabingwa wa ulaya, klabu ya FC Barcelona imeendelea kukumbwa na mzuka wa kesi wa ukwepaji kodi kwa mara nyingine tena.   Siku mbili baada ya taarifa kusambaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM YAMSHITAKI RASMI NYOSSO

Uongozi wa club ya Azam FC leo umewasilisha barua ya malalamiko yao kuhusu tukio la udhalilishaji alilofanyiwa mchezaji wao John Bocco na Juma Nyosso wa Mbeya City wakati wa mechi ya ligi kuu ya...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>