Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GOLIKIPA MTANZANIA ANAYECHEZA LIGI KUU MSUMBIJI AVUNJIKA MKONO

Na Baraka Mbolembole MLINDA mlango wa zamani wa JKT Oljoro, Bady Abdul ambaye kwa sasa anacheza soka la kulipwa katika timu ya Chingari de Tete ya ligi kuu Msumbiji amevunjika mkono wake wa kulia na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HODI JANGWANI

Na Isack Makundi, Babati-Manyara Napenda kumshukuru Mungu kwa wema wake mkubwa kwa amani ambayo ameendelea kutupa Tanzania wengine wanaitamani lakini hawaipati. Napenda kutoa pongezi  zangu za dhati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJIO WA POGBA NA KUREJEA KWA HESHIMA YA MANCHESTER UNITED ULAYA

Na Mahmoud Rajab Katika hali yoyote ile mtu kupata mafanikio kila wakati hujisikia vibaya pale anapopita  kwenye changamoto kubwa ya kutopata ile raha aliyozoea kwa muda mrefu. Katika mchezo wa soka,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKONDA AFAFANUA POST YAKE KUHUSU YANGA ILIYOZUA UTATA INSTAGRAM

Siku za hivi karibuni, habari ya town katika michezo ni uamuzi wa wanachama wa Yanga kuamua kuikodisha timu yao pamoja na nembo kwa Yusuf Manji ambaye pia ni Mwenyekiti wa klabu hiyo kongwe zaidi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

 HISTORIA YA JEZI NAMBA ‘6’ MANCHESTER UNITED KATIKA EPL

Mnamo msimu wa mwaka 1992-1993 ligi kuu ya nchini England ilianza kutambulika kama ‘ENGLISH PREMIER LEAGUE (EPL) ‘ Ni ligi inayohusisha Club 20, Manchester ikiwa ni moja ya timu ya mpira inayoshiriki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUMUD AFUATA NYAYO ZA NGASSA, UHURU, ASAINI AFRIKA KUSINI

Na Baraka Mbolembole KIUNGO  wa zamani wa Ashanti United, Mtibwa Sugar, Simba SC na Azam FC amesaini mkataba wa mwaka mmoja katika timu ya Real Kings FC. Humud ambaye alikuwa nahodha wa Coastal Union...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHANGO WA YEO POGBA NYUMA YA MAFANIKIO YA PAUL POGBA

Paul Pogba ni jina ambalo limegonga vichwa vya habari kwa muda mrefu sana, lakini jana likashika zaidi baada ya kusajiliwa rasmi na klabu ya Manchester United. Safari ya soka ya Paul Pogba imeanzia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FIESTA IMOOOOO YAFANYA USAJIRI RASMI WA WASANII WATAKAO TUMBUIZA.

Kampuni ya clouds media leo imesajiri rasmi wasanii mbalimbali wa bongo flava na hip hop kwa ajiri ya kutumbuiza katika takribani mikoa 15 ya Tanzania bara tamasha hilo litakapopita.nimekusogezea hapa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIST MPYA YA WANASOKA 10 WANAOLIPWA MKWANJA MREFU DUNIANI

Kwa mujibu wa mtatndao wa sokkaa.com, wachezaji wawili bora duniani Cristiano Ronaldo na Lionel Messi wamewaacha wengine mbali katika kuvuta mkwanja mrefu kwa upande wa wacheza soka. Ronaldo, ambaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HENRY, NEVILLE, CARAGHER WATABIRI BINGWA WA EPL, TOP FOUR

Kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa ligi, wachambuzi wa soka katika kituo cha runinga cha Sky Sports wametoa utabiri wao timu itakayotwaa ubingwa na zile zitakazomaliza katika nafasi nne za juu. Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HILI NDIYO TAIFA LILILOZOA MEDALI 32 HADI SASA OLYMPIC 2016

Mashindano ya Olimpiki ya Rio 2016 yanazidi kutimua vumbi mjini Rio de Janeiro nchini Brazil. Mataifa mbalimbali yameendelea kushinda medali mbalimbali za Dhahabu, Fedha na Shaba. Marekani wanaongoza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Exclusive: HIMID MAO AMEZUNGUMZIA OFFER TATU ALIZOWAHI KUPATA NJE YA TANZANIA

Na Baraka Mbolembole KUELEKEA game ya Ngao ya Jamii siku ya Jumatano ijayo na msimu mpya wa ligi kuu Tanzania inayotaraji kuanza mwishoni mwa wiki ijayo www.shaffihdauda.co.tz imefanya mahojiano na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARSENE WENGER: NAOGOPA KUSTAAFU

Arsene Wenger amesema kwamba mustakabli wake ndani ya Arsenal unategemea na matokeo ya timu hiyo baada ya msimu huu wa ligi kukamlizika, lakini akasisitiza kwamba ataendelea kubaki kwenye soka bila...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOSI ASTAAFU SOKA

MSHAMBULIAJI mkongwe na nahodha wa Simba SC, Mussa Hassan Mgosi amestaafu rasmi soka na sasa anakuwa Meneja wa timu hiyo. Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba SC, Hajji Manara amethibitisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAPOMBE AIOTA YANGA NGAO YA JAMII

Mtanandao rasmi wa klabu ya Azam FC umeripoti kwamba, beki wa kulia waklabu hiyo, Shomari Kapombe, ameweka wazi kuwa afya yake inaendelea vizuri baada ya kufanikiwa kurejea dimbani huku akidai kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNAHITAJI USHINDI WA KWANZA NYUMBANI-MWAMBUSI

Kocha msaidizi wa Yanga Juma Mwambusi amesema kikosi chao kinahitaji ushindi kwenye mchezo wao wa kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya MO Bejaia unatarajiwa kuchezwa Jumamosi August 13 kwenye uwanja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA V BEJAIA NI NAFASI YA MWISHO KWA MABINGWA WA BARA

Na Baraka Mbolembole MABINGWA na wawakilishi pekee wa Tanzania Bara katika Caf Confederation Cup 2016, timu ya Yanga SC kesho Jumamosi wataikabili MO Bejaia ya Algeria katika mchezo wa kundi la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIYO KAULI YA JUMA NDANDA LIUZIO KUELEKEA AL AHLY V ZESCO

Na Baraka Mbolembole MSHAMBULIZI wa Tanzania, Juma Ndanda Liuzio amekata tamaa ya kucheza michuano inayoendelea ya Caf Champions League 2016. Jina la Liuzio lilichelewa kutumwa kwa Shirikisho la soka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJUMBE WA SCHWEINSTEIGER KWENDA KWA MASHABIKI WA UNITED

Bastian Schweinsteiger amesisitiza kwamba bado ana furaha kuishi jijini Manchester licha ya kutojumuishwa kwenye kikosi cha timu hiyo na kocha Jose Mourinho. Mjerumani huyo ameondolewa na kuwekwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sababu kwanini Paul Pogba amefungiwa kucheza vs Bournemouth 

​Kiungo mpya wa Manchester United Paul Pogba amesimamishwa kuitumikia timu yake kwa mchezo wa kwanza wa Premier League,  chama cha soka cha England kimethibitisha.  Pogba, 23, alirejea Old Trafford...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>