Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJABVI AKUBALI YAISHE SIMBA

Kiungo wa Simba SC Justice Majabvi Klabu ya Simba inapenda kuufahamisha umma kuwa mchezaji wake toka Zimbabwe Justice Majabvi ameomba kurejea  kwenye timu baada ya kutafakari upya uamuzi wake wa awali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHEZAJI MWENYE MKONO MMOJA AFUNGA KIKAPU CHAKE CHA KWANZA KWENYE MASHINDANO...

Mungu ndiye mwamuzi ya yote, Mungu ndiye mpangaji na yeye ndiye mpaji. Kijana anayesoma katika chuo cha Florida Zach Hodskins lazima anauishi usemi huu. Ni kijana aliyezaliwa na tatizo la kuwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOKEO YA JUMLA YA NBA DEC 22

FINAL MEM 104 PHI 90 1 2 3 4 T 31 22 24 27 104 23 24 19 24 90 FINAL DET 93 MIA 92 1 2 3 4 T 18 36 18 21 93 34 18 23 17 92 FINAL DAL 99 TOR 103 1 2 3 4 T 16 20 31 32 99 32 17 23 31 103 FINAL LAL 111...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE NNAUYE AIPIGA CHINI KAMATI YA ‘MAGUMASHI’ STAND UNITED

Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Nape Nnauye ameingilia kati mgogoro wa klabu ya Stand United ya Shinyanga na kuivunja kamati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZANZIBAR SAND HEROES YAFANYA KWELI KIMATAIFA

Na Abubakar Khatib (Kisandu), Zanzibar Kikosi cha timu ya Taifa ya Zanzibar kwa soka la ufukweni (Sand Heroes) kimerejea visiwani Zanzibar na kombe la ushindi wa pili kwenye mashindano ya Afrika ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUNANI SOKA LA ZANZIBAR?

Na Abubakar Khatib (Kisandu), Zanzibar Baada ya Jumannne kutangazwa  tarehe ya kufanyika mkutano mkuu wa dharura wa ZFA hatimae jana (Jumatano) yameibuka mengine mapya. Makamu wa Rais wa chama cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 10 SIMBA WANAVYOIANDALIA DOZI MWADUI YA JULIO

Wekundu wa Msimbazi Simba wameendelea kujifua kwenye uwanja wa chuo cha DIT jijini Mwanza kuelekea kwenye mchezo wake wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara dhidi ya Mwadui FC utakaochezwa December 26...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR. TIBOROHA NA STORY MPYA KUHUSU HARUNA NIYONZIMA

Dkt. Jonas Tiboroha katibu mkuu wa klabu ya Yanga Kiungo wa Yanga Haruna Niyonzima amekuwa kwenye vichwa vya habari vya vyombo vya habari nchini kwa siku kadhaa sasa baada ya uongozi wa klabu yake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: RONALDO APATA MAPOKEZI BABKUBWA NBA

Mshambuliaji Cristiano Ronaldo wa miamba ya soka ya nchini Hispania Real Madrid ametumia fursa ya mapumziko ya sikukuu za krismasi kutembelea nchini Marekani ambapo alitokea katika mechi ya mpira wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIGI YA UFARANSA BALAA, MONACO HATARINI KUSHUKA DARAJA PAMOJA NA KUWA YA PILI

Waswahili wana misemo yao, lakini hii ya ligi kuu nchini Ufaransa ni balaa. Klabu ya soka ya Monaco iko katika nafasi ya pili ya msimamo wa ligi hiyo ikiwa na points 32 lakini imeachwa kwa points 19...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLE MOURINHO, LABDA ANGEKUWEPO TRUMAN..

Nilikuwa natizama mchezo wa Chelsea dhidi ya Sunderland,  huu ulitoa picha kamili ya nini kimeendelea pale katika klabu ya Chelsea. Mashabiki walitoa ya moyoni,  wachezaji wakaonyesha walichokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAN ANTONIO SPURS HAWASEMWI LAKINI HAWASHIKIKI, WAMWANGUSHIA DOZI MINNESOTA...

Spurs hawasemwi sana na ndicho wanachokifurahia kwa sasa. Naamini hata kocha wao Gregg Popovich anapenda kuona namna ambavyo Golden State Warriors wamekamata vyombo vya habari na kutawala vinywa vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USAJILI DIRISHA DOGO: HAWA NDIYO WACHEZAJI WALIOPITISHWA NA WALIOKWAMA

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji chini ya Mwenyekiti wake Richard Sinamtwa, jana Jumatano ilikaa na kupitia malalamiko/pingamizi za usajili wa wachezaji yaliyokuwa yamewasilishwa TFF mara tu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBWANA SAMATTA ATUA UBELGIJI KUKAMILISHA USAJILI

Taarifa kutoka nchini Ubelgiji zinasema kwamba, mchezaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga kwenye klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DR Mbwana Samatta muda wowote anaweza kujiunga na klabu ya Genk...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEKA,MASHALI, KUMALIZA UBISHI LEO? NI KATIKA PAMBANO LA UBABE VS KISASI

Mabondia wakitunishiana mshuli (kulia) Francis Cheka na (kushoto) ni Thomas Mashali Mabondia Francis Cheka wa Morogoro ambaye ni bingwa wa ngumi za kulipwa duniani wa uzito wa kati (WBF) pamoja na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIYONZIMA ATOA NENO KWA YANGA PAMOJA NA MASHABIKI

Haruna Niyonzima amewataka mashabiki wake kuwa wavumilivu kwani suala lake linatarajiwa kupatiwa ufumbuzi hivi karibuni baada ya kuwasilisha maelezo kwa uongozi wa timu yake. Niyonzima pia ameitakia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO SAMATTA, ULIMWENGU, WANAVYOKUTAKIA MERRY CHRISTMAS

Leo wakristu duniani kote wanasherekea sikukuu ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo siku ambayo ni maarufu kwa jiana la ‘Christmas’ ambayo huadhimishwa kila mwaka inapofika December 25. Mwaka huu wachezaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSEMAJI WA AFRICAN SPORTS AJIUZULU AKIDAI TIMU IMEJAA ‘VIHIYO’

Baada ya kujiuzulu mwenyekiti wa klabu ya African Sports ya Tanga, mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu hiyo Muhasham Hatibu ameibuka na kukiri klabu yao inamatatizo mengi ya kiutawala na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOBE AENDELEA KUTELEZA NA MASHABIKI, AMKATA CURRY, LEBRON NA DURANT KURA ZA...

Mashabiki wa mchezo wa kikapu duniani kote wameendelea kumuaga Kobe Bryant kwa staili ya aina yake. Ukiachilia mbali katika viwanja tofauti anakoenda, sasa wamehamia katika upigaji kura wa kuchagua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EXLUSIVE INTERVIEW: UNATAKA KUJUA KWANINI SAMATTA ANAKWEDA KUCHEZA UBELGIJI,...

Mshambuliaji wa TP Mazembe Mbwana Samatta (katikati) akiwatoka wachezaji wa Club America wakati wa michuano ya FIFA Club World Cup iliyomalizika hivi karibuni nchini Japan Safari ya  nyota wa Tanzania...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live