Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBAGUZI WA RANGI WAAHIRISHA MECHI SERIE A

Mechi ya Serie A kati ya Lazio dhidi ya Napoli iliahirishwa baada ya kutokea vitendo vya ubaguzi wa rangi vlivyokuwa vikifanywa na mashabiki wa Lazio kwa beki wa kati wa Napoli half Kalidou Koulibaly....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JULIO: HATA TUNGECHEZA DAKIKA 600 TUSINGESHINDA

Kocha wa Mwadui FC ya mkoani Shinyanga Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ amewageukia waamuzi wa mchezo wa African Sports vs Mwadui FC na kuwatuppia mzigo wa lawama mara baada ya timu yake kukalishwa kwa bao 1-0...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIJIUZULU NG’O-NEVILLE

Baada ya kupokea kipigo cha mbwa mwizi cha goli 7-0 kutoka kwa FC Barcelona kocha wa Valencia Garry Neville amewaambia waandishi wa Habari kuwa hafikirii kujiuzuru na ataendelea kuwa kocha wa Valencia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIGI YA CHINA TISHIO KWA VILABU VIKUBWA BARANI ULAYA

Kutokana na wimbi la mastaa wengi barani Ulaya kukimbnilia ligi kuu ya nchini China haili hiyo inaonesha kutishia mustakabali wa vilabu vikubwa barani Ulaya kutokana na wachezaji wengi kuvutiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU NDIYE STAR MWINGINE ANAYEONDOKA CHELSEA

Inaelezwa kuwa huenda mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa akaondoka mwishoni mwa msimu huu kuelekea Atletico Madrid mara baada ya klabu hiyo ya nchini Hispania,  kumuuza mshambuliaji wao Jackson...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENGER ASALIMU AMRI

Kocha wa Arsenal Mfaransa Arsene Wenger amekubali kuwa klabu yake ipo katika wakati mgumu katika mbio za kunyakua ubingwa wa England. Kwa mujibu wa mahojiano aliyofanya na gazeti la Daily mail la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIYO KAULI YA GARY NEVILLE INAYOMUHUKUMU MWENYEWE

Garry Neville ambaye ni kocha wa timu ya Valencia yuko katika wakati mgumu baada ya timu yake kupokea kipigo cha magoli 7-0 kwa kutoka kwa Barcelona, katika mchezo wa kuwania kombe mfalme almaarufu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YATUA ‘MJENGONI’ KUTOA 5 KWA WABUNGE

Simba imesimama kwa muda mjini Dodoma na kuzungumza na baadhi ya wabunge wakiwemo Azzan Zungu, Juma Nkamia na wengine wenye mapenzi na kikosi cha Mnyama. Simba ilisimama kwa muda ikiwa njiani kwenda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIDDINK ANAIBORESHA CHELSEA LAKINI…

Kocha wa muda wa Chelsea Mholanzi Guss Hiddink anafanya kazi ya kipekee tangu achukue mikoba ya Mreno Jose Mourinho aliyetimuliwa mnamo Desemba mwaka jana ambapo mpaka Mourinho anaondoka tayari klabu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STORY MPYA KUHUSU CHANONGO NA UBWA NDANI YA TP MAZEMBE

Kimya kimetanda tangu wachezaji wa Stand United Haruna Chanongo na Abuu Ubwa walipokwenda kufanya majaribio kwenye klabu ya TP Mazembe ya nchini Congo DR na hatimaye kurejea nchini kimyakimya bila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNAJUA KINACHOMUWEKA BENCHI MAGURI? MWENYEKITI WA STAND ATUMBUA JIPU

Elius Maguri, amejikuta akichezea mkeka ndani ya kikosi cha Stand United licha ya kuwa kwenye kiwango bora kwa sasa Mshambuliaji wa Stand United Elius Maguli siku za hivi karibuni amekuwa haonekani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EXCLUSIVE: JUMA MGUNDA MFUNGAJI ALIYESAHAULIKA AKAWAJERUHI YANGA

Ukimsifia anayekimbia usiache kumsifia anayemkimbiza, sasahivi mambo yamekuwa matamu kwenye mchuano wa kuwania ufungaji bora kwenye ligi ya Vodacom Tanzania bara kwasababu mbiyo zimepamba moto hasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA WA NEYMAR AFICHUA DAU LILILOTENGWA NA MAN UTD KWA AJILI YA MWANAE

Baba mzazi wa mchezaji wa Barcelona, Neymar Jr wiki hii amefichua siri juu pesa ya ambayo klabu ya Manchester United waliyoitenga msimu uliopita kutaka kumsajili mtoto wake kutoka Barcelona,  huku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PEP GUARDIOLA YUPO CITY KWENYE MBUYU WAKE

Na Athumani Adam Ni hulka ya binadamu kuhama kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwenye maisha. Ndiyo kitu ambacho kimetokea kwa kocha mkuu wa Bayern Munich anayelamalizia mkataba wake pale Allianz...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RONALDO ASHEREKEA BIRTHDAY KWA STYLE YA AINA YAKE

Ronaldo alitupia picha kwenye account yake ya instagram kuonesha alivyoitumia sikuyake ya kuzaliwa kwa kuamua kufanya mazoezi ya boxing na motto wake Cristiano Jnr. Real Madrid pia kupitia account ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF YATANGAZA VITA NA WAPANGA MATOKEO

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limewaonya viongozi wa vilabu, wachezaji, waamuzi na wasimamizi wa mchezo kutojihusisha na upangaji wa matokeo (Match fixing) katika michezo inayoendelea sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STORY NYINGINE KUHUSU MOURINHO KUTUA OLD TRAFFORD

Habari kuhusiana na Jose Mourinho kujiunga na Manchester United zimeibuka tena wiki hii ambapo baadhi ya vyombo vya habari vya Ureno na Hispania vimekuwa vikikaririwa vikiripoti kwamba Mourinho tayari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TONI KROOS NI MCHEZAJI WA 3 KUVUTA MKWANJA MREFU MADRID, NANI ANAKAMATA NAMBA...

Taarifa zimevuja juu ya mshahara anaokunja kiungo wa Real Madrid Toni Kroos lakini yeye akiwa ni mchezaji wa tatu kuvuta kitita kirefu cha mkwanja ndani ya Madrid akitanguliwa na mastaa wengine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAN CITY VS LEICESTER NI VITA YA UBINGWA EPL, ANGALIA REKODI NA DONDOO MUHIMU

Manchester City leo wapo nyumbani wakiwakaribisha vinara wa Ligi Leicester City, ikiwa ni fursa pekee kwao kwenda kileleni endapo wataibuka na ushindi katika mchezo huo. Wakati huohuo, ni nafasi kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA KIPIGO CHA BAO 7-0 TOKA BARCA, WENGER AMSHAURI JAMBO NEVILLE

Arsene Wenger amemshauri Gary Neville kupigania nafasi yake kunako klabu ya Valencia kwa sababu bado hana uzoefu mkubwa hivyo watu kukosa imani naye kama kocha. Beki huyo wa zamani wa Manchester...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>