Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MILAN: DIEGO SIMEONE NA TORRES, WAMEYASEMA HAYA MBELE YA WAANDISHI WA...

Leo nimepata fursa ya kuhudhuria mkutano wa waandishi wa habari na kocha wa Atletico ambaye aliongozana na wachezaji wake Gabi pamoja na Fernando Torres kwaajili ya kuzungumzia mchezo wa fainali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: INTERVIEW YA KWANZA YA MOURINHO AKIWA KOCHA WA MANCHESTER UNITED

Jose Mourinho amewaasa mashabiki wa Manchester United kusahau yote yaliyotokea miaka mitatu iliyopita wakati timu hiyo ilipokuwa chini ya David Moyes na Louis van Gaal na kuangalia namna ya kuirudisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video: SHAFFIH DAUDA AKIRIPOTI MKUTANO WA WAANDISHI WA HABARI NA KOCHA WA...

Nipo hapa mjini Milan kuhakikisha mdau na msomaji wangu wa shaffihdauda.co.tz haupitwi na tukio hata moja la kimichezo ambalo litajiri hapa kuelekea mchezo wa fainali ya Champions League itakayopigwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM YAMWAGA MABILIONI TFF

Rais wa TFF Jamal Malinzi (kushoto) na Ofisa mtendaji Mkuu wa Azam Media Rhyth Torrington (kulia) wakisaini mkataba Azam Media LTD na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF wamesaini mkataba wenye...

View Article

Video: SHAFFIH DAUDA USO KWA USO NA FERNANDO TORRES MAZOEZINI MILAN, ITALY

Nipo hapa mjini Milan kuhakikisha mdau na msomaji wangu wa shaffihdauda.co.tz haupitwi na tukio hata moja la kimichezo ambalo litajiri hapa kuelekea mchezo wa fainali ya Champions League itakayopigwa...

View Article


Video: MAANDALIZI YA MWISHO YA REAL MADRID, SHAFFIH DAUDA ALIKUWEPO UWANJANI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ATLETICO WALIVYOKAMILIASHA MAZOEZI YA MWISHO KUIKABILI MADRID

Atletico Madrid ndiyo walikuwa wakwanza kufanya mazoezi yao ya mwisho kwenye uwanja wa San Siro kuelekea mchezo wa fainali yao ya klabu bingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid. Namna ambavyo wamefanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAUL GONZALEZ AIBUKA SAN SIRO KUIPA NGUVU MADRID KWENYE MAZOEZI YA MWISHO

Hivi ndivyo Madrid walivyougawa uwanja katika sehemu ndogo ya nusu uwanja Baada ya Atletico Madrid kumaliza mazoezi yao, hatimaye Real waliingia uwanjani nao kukamilisha mazoezi yao ya mwisho kabla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIZOU AMEYASEMA HAYA KABLA YA KUIKABILI ATLETICO KWENYE FAINALI YA UCL

Boss wa Real Madrid Zinedine Zidane amesema kupoteza mchezo wa fainali ya klabu bingwa Ulaya dhidi ya Atletico Madrid haimaanishi kwamba amefeli. Real Madrid maarufu kama Los Blancos wataingia kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO MUHIMU UNAYOTAKIWA KUFAHAMU KUELEKEA FAINALI YA UCL

Jumla ya vilabu 22 vimefanikiwa kutwaa taji la Ulaya tangu kuanzishwa kwake mwaka 1955, huku Real Madrid ikiwa klabu pekee kutwaa taji hilo mara 10 pamoja na kutwaa mara tano mfululizo katika miaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEBRON AWEKA REKODI, CAVALIERS WATINGA FAINALI YA NBA.

Cleveland Cavaliers wamefanikiwa kutwaa ubingwa wao wa pili mfululizo kwa kanda ya Mashariki na sasa wanasubiri mshindi kati ya Golden State Warriors dhidi ya Oklahoma City Thunder ambao hata hivyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBONDE: NAENDA NJE SI SIMBA, YANGA WALA AZAM….MWAMUZI ALINIAMBIA ‘TUWAACHIE...

Salim Mbonde-Beki Mtibwa Sugar Na Baraka Mbolembole MLINZI wa kati na nahodha msaidizi wa Mtibwa Sugar, Salim Mbonde amemaliza mkataba wake, na baada ya misimu mitatu akiwa na timu hiyo ya Turiani,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Real vs Atletico: Fainali nyingine ya ulaya bila namba 10

Wachezaji wakubwa hucheza mechu kubwa, na kawaida baadhi ya wachezaji wakubwa duniani huvalia jezi namba 10 katika timu zao, namba ambayo ina ukubwa wake katika historia ya soka hasa zaidi katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 14: HALI ILIVYO NJE YA UWANJA WA SAN SIRO SAA CHACHE KABLA YA FAINALI

Zimebaki saa chache kabla ya kushuhudia fainali ya vilabu bingwa Ulaya ikipigwa kwenye uwanja wa San Siro, Milan Italy kati ya miamba miwili ya soka la Hispania Real Madrid vs Atletico Madrid ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARS IKIJIFUA NAIROBI KUIKABALI HARAMBEE STARS

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania kikifanya mazoezi jijini Nairobi kuelekea mchezo wake wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars kwa ajili ya kujipima nguvu kabla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZEE WA YANGA WAMEKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI KUZUNGUMZIA UCHAGUZI

Mzee Ibrahim Akilimali-Katibu Baraza la Wazee wa Yanga Baraza la wazee wa Yanga limetoa tamko lao kwa TFF pamoja na Baraza la Michezo Tanzania (BMT) kutaka ufafanuzi kuhusu kadi za wanachama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADRID BINGWA MARA 11 CHAMPIONS LEAGUE

Real Madrid wametwaa taji la ubingwa wa vilabu bingwa Ulaya kwa mara ya 11 baada ya kuichapa Atletico Madrid kwa mikwaju ya penati kwenye uwanja wa San Siro mjini Milan. Bao la Sergio Ramos liliwaweka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA ZIZOU KUCHUKUA UEFA, INSTAGRAM YA BECKHAM ILISOMEKA HIVI…

Zinedine Zidane imemchukua takriban miezi mitano kushinda taji la vilabu bingwa Ulaya akiwa kama kocha wa Real Madrid. Ushindi huo umekuja baada ya kushuhudia mchuano mkali wa matuta kwenye usiku wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMEONE, KOCHA MWANAHARAKATI NA SHUJAA WA ATLETICO MWENYE NDOTO KALI ZA UEFA

Na Mahmoud Rajab Diego Simeone ni mpambanaji. Kamwe hilo huwezi kupinga na mara zote yeye kama kocha na wachezaji wake hufanya hivyo kwa maslahi ya timu kutokana na timu kutokuwa na bajeti ya kununua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIZOU AMETAJA SIRI YA MAFANIKIO, SIMEONE NA HATMA YAKE ATLETICO

Shamrashamra zimemalizika katika mji wa Milan na badala yake sherehe hizo za kushangilia ubingwa zimehamia kwenye jiji la Madrid ambako Real wanasubiriwa kupokelewa na mashabiki wao baada ya...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>