Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shinji Kagawa anaelezea future yake ndani ya Borussia Dortmund.

Shinji Kagawa amepoteza nafasi yakee kwenye kikosi cha kwanza na kumfanya aanze mara tatu yu kwenye mechi za Bundesliga ndani ya uwanja wa Signal Iduna Park. Kwenye mechi ya UEFA ambapo BVB wameshinda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jose Mourinho ampa makavu Anthony Martial

Inasemekana kwamba Martial hakufurahishwa na kitendo cha namba 9 kupewa Zlatan wakati yeye akiwa anajiandaa kuanzisha logo yake ya Martial 9. Lakini hayo yote hayamhusu Morihno ambae anataka kila...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cheki video ya Partick Viera mpya, Arsenal wanataka kumsajili.

Ana miaka 20 na uwezo wake na muonekano wake umewapa watu sababu ya kumuita Partick Viera mpya kama harakati za Arsenal zikifanikiwa kumpeleka Emirates Stadium. Jina lake ni Riechedly Bazoer kwa sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Antonio Conte azungumzia kiwango cha Willian

Kwa mashabiki wa Chelsea wanakumbuka kwa kiasi kikubwa wakati Willian alivyokua anafanya vizuri wakati yupo chini ya Jose. Muda wa Willian chini ya Conte umekua mgumu sana na anashindwa kuonyesha uwezo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pigo kubwa kwa Liverpool

Philippe Coutinho amepata majeraha mabaya wakati wa kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Liverpool dhidi ya Sunderland. Uwanja wa Anfield ulizizima kwa ukimya wakati fundi huyo wa kibrazil akiwa chini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Leicester yadhihirisha soka kakika 90

Bao la dakika za majeruhi la Islam Slimani limeipa pointi moja Leicester ilipotoka nyuma mara mbili dhidi ya Middlesbrough. Alvaro Negredo alikata ukame wa mabao baada ya kufunga goli lake la kwanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Swansea, Palace, mechi ya 21 kuzalisha magoli 9 EPL

Swansea wamepata ushindi kwenye uwanja wao wa nyumbani dhidi ya Crystal Palace mchezo ambao umeshuhudiwa ukimalizika kwa kuzalisha jumla ya magoli 9. Liberty Stadium ulishuhudia magoli 7 yakifungwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Chelsea imemaliza ubishi wa Spurs

Chelsea wamerejea tena kwenye usukani wa ligi ya England wakitoka nyuma na kuinyuka Tottenham ambayo imepoteza mchezo wa Premier League kwa mara ya kwanza msimu huu. Christian Eriksen aliifungia Spurs...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUDIO: Comment ya Lwandamina kuhusu game ya Simba na Yanga

Kama ulikuwa unadhani kocha mpya wa Yanga George Lwandamina hajui kitu kuhusu mechi ya watani wa wajadi wa soka la Bongo yaani Simba na Yanga basi umekosea, jamaa anajua kila kitu kuhusu hiyo game,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unajua jezi ya Madrid ya jana imetengenezwa na nini? sababu ya kuvaa jezi...

Wanasema ilikuwa business as usual jana katika Uwanja wa Santiago Bernabeu, wakati Cristiano Ronaldo alitumbukiza mabao mawili wakati Real Madrid iliposhinda mabao 2-1 dhidi ya Sporting Gijon. Lakini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu Kamusoko mnyime kilakitu ila sio Chapati

Kama unafatilia soka la Tanzania hususan ligi kuu Tanzania bara basi jina la Thabani Kamusoko ‘rasta’ sio geni kwako kwa namna yeyote ile. Mzimbabwe huyu amejizolea umaarufu mkubwa kwa uwezo wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barcelona kumaliza laana dhidi ya Real Sociedad Anoeta tangu mwaka 2007?

Ni jambo la kushangaza kidogo. Licha ya kutawala La Liga kwa miaka kadhaa ya hivi karibuni ikiwa ni pamoja na kushinda mara kadhaa katika Uwanja wa Santiago Bernabeu, Mestalla na viwanja vingine,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUDIO: Lwandamina amesema kitu alichokiona kwa wachezaji wa Bongo

Tayari kocha mpya wa Yanga George Lwandamina ameshawasoma baadhi ya wachezaji wanaocheza Tanzania. Lwandamina amesema asilimia kubwa ya wachezaji wa Bongo wanacheza huku wanapumzika wakati mchezo wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Welbeck alichomfanyia Wilshere baada ya Arsenal kufunga bao la kwanza

Arsenal walianza kupata bao la kuongoza dhidi ya Bournemouth baada ya Alexis Sanchez kuinasa back pass ya Steve Cook na kuandika bao. Baada ya goli hilo, camera za TV zikamuonesha Danny Welbeck na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nje ya pitch:  Lwandamina ameshika makali, Plujim usivute kisu

Na Athumani Adam Iliwahi kutokea hali ya kutoelewana kwenye klabu ya Newcastle kati ya aliyekuwa kocha kipindi hicho Kevin Keegan na mkurugenzi wake wa ufundi kiungo wa zamani wa klabu ya Chelsea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Man United itakaa kwenye mstari lakini Mourinho aache utoto

Manchester United wamekuwa katika wakati mgumu kunako Ligi ya England kutokana na matokeo yasiyoridhisha hasa kutokana na ukubwa na hadhi ya klabu ya hiyo. Mourinho amepoteza kujiamini na kuamini timu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 6: Lwandamina alivyoongoza mazoezi Yanga kwa mara ya kwanza

Jumatatu November 28, Kocha mpya wa Yanga George Lwandamina ameanza majukumu yake kwa kuwaongoza wachezaji katika mazoezi kwa mara ya kwanza tangu atambulishwe kama kocha mkuu wa klabu hiyo. Baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uamuzi wa Zaha ili kucheza timu ya taifa ya Ivory Coast

Winga wa Crystal Palace Wilfred Zaha amerejesha maombi FIFA ya kubadili utaifa wake kutoka England kwenda Ivory Coast. Zaha ambaye alizaliwa Abidjan lakini akakulia England, ameshaitumikia England...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shabiki wa Chelsea anusurika kifo nje ya Stanford Bridge.

Mechi ya Chesea Vs Spurs haikuisha kwa furaha kwa mashabiki wote wa Chelsea. Wengine walipata matokeo ya mechi wakiwa hospital kuokoa maisha yao. Shabiki mmoja wa Chelsea ambae alikua na wakina dada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha ya Philippe Coutinho akiingia hospitali kufanya scanning.

Baada ya story za kuhusishwa na kujiunga na Barcelona ku-trend kwa muda sasa story imegeuka. Sasa hivi headline ya Countinho ni kuhusu jeraha alilopata kwenye mechi. Coutinho amefika leo kufanyiwa...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>