Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHAMA CHA MADAKTARI WA MICHEZO (TASMA) KUNOGESHA TAMASHA LA KANDANDA DAY

Chama cha Madaktari wa michezo Tanzania (TASMA) kinatarajia kunogesha tamasha la ‘Kandanda day’ kwa kufanya kliniki siku ya Oktoba 17 mwaka huu katika Viwanja vya TCC Chang’ombe, jijini Dar es Salaam....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI CUP: BURUDANI YAIFUATA  ABAJALO NUSU FAINALI

Mchezaji wa Burudani akifunga goli la ushindi huku kipa wa Tuamoyo akijaribu kuuokoa mpira bila mafanikio Timu ya Burudani imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Magufuli Cup #Hapa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikosi cha wachezaji 11 wasaliti – Waliowahi kucheza katika timu pinzani za...

The Wikiendi ijayo Sam Allardyce atakuwa kocha wa kwanza kufundisha vilabu viwili pinzani vya Sunderland na Newcastle, wakati atakapoiongoza rasmi kama kocha klabu ambayo kawahi kuichezea zamani katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EXCLUSIVE: VAN PLUIJM AFUNGUKA ‘KINACHOWATAFUNA’ UHOLANZI HADI KUSHINDWA...

Hans van der Pluijm, kocha mkuu wa klabu ya Yanga Timu ya taifa ya Uholanzi imeshindwa kufuzu kucheza michuano ya mataifa ya Ulaya mwaka 2016 nchini Ufaransa. Hiyo inakuwa ni mara ya kwanza tangu timu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EXCLUSIVE: MANJI AELEZA JINSI YANGA ITAKAVYOFAIDIKA KAMA ATAKUWA DIWANI

Yusuf Manji, Mwenyekiti wa club ya Yanga na mgombea udiwani kata ya Mbagala Kuu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Yusuf Manji amesema suala la kuchelewa kujengwa kwa uwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADEE ATOA NENO MICHUANO YA MAGUFULI CUP

Madee akizungumza kabla ya kuanza kwa mchezo Mabgufuli Cup #Hapa Kazi Tu  Msanii kutoka kundi la Tip Top Connections Madee maarufu pia kwa jina la ‘Rais wa Manzese’ ambao ndio wandaaji wa michuano ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUAWEI Y360 HADI SASA IMEFIKA WATU WANGAPI?

Kwa wiki nne mfululizo tumekuwa tukikuwekea hapa baadhi ya Makala kuhusiana na simu ya Huawei Y360 inayouzwa kwa ushirikiano kati ya makampuni nguli ya mawasiliano nchini, Tigo na Huawei. Sababu kubwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sababu kwanini Uholanzi imeshindwa kufuzu Euro 2016 

Wakiwa na kikosi chao cha kizazi cha dhahabu, Uholanzi waliisumbua Spain, timu inayotajwa kuwa bora katika historia ya timu za taifa, mpaka kufikia extra time katika fainali ya kombe la dunia mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kisa cha Santos kutaka Neymar afungiwe miezi 6 hiki hapa

Klabu ya Santos ya Brazil imeripotiwa kutuma maombi FIFA imfungie miezi sita mchezaji wao wa zamani Neymar kwa miezi 6 kama sehemu mambo yao ya kisheria dhidi ya mshambuliaji huyo na klabu yake mpya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BORUSSIA DORTMUND VS MAINZ 05 : KOCHA ANARUDI KUPAMBANA NA CLUB YAKE ZAMANI.

Licha ya kufungwa na Bayerm Munich lakini bado Borussia ipo vizuri kwenye msimamo wa ligi ambapo inashika nafasi ya pili kwenye mbio za ubingwa wa Bundesliga. Sasa kesho saa tatu na nusu usiku kupitia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NI VITU BINAFSI VYA ROBERT LEWANDOWSKI AMBAVYO ULIKUA HUVIJUI

Sasa hivi kila mtu anamjua Lewandowski kwa uwezo wake wake wa kutupia magoli nyavuni kwa idadi kubwa. Hivi hapa ni vitu ambavyo amevisema Lewandowski kuhusu yeye na watu wengi walikua hawavijui....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI CUP: GOMS UNITED YAIDUWAZA KAUZU FC UWANJA WA BANDARI

Mshambuliaji wa Goms United akiwa amebebwa juu na mashabiki wa timu yake baada ya kufunga goli la tatu dhidi ya Kauzu FC na kuzima ndoto za Kauzu kusonga mbele kwenye michuano ya Magufuli Cup Timu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mechi 8, Assist 1, Zero Goli – Yupo Wapi Fabregas Wa Msimu Uliopita?

Mshangao mkubwa wa Premier League msimu huu ni mwanzo m’baya wa mabingwa watetezi. Baada ya mechi 8, Chelsea wapo kwenye nafasi ya 16 na pointi 8. Wakishinda mechi mbili, sare mbili na wakipoteza 4 –...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIO SINTOFAHAM YA LIGI YA WILAYA TABORA MJINI

Ligi daraja la nne wilaya ya Tabora mjini inayoendelea katika uwanja wa vita imezua manung’uniko kwa baadhi ya vilabu kutokana na mfumo wa uendeshaji wa ligi hiyo. Kubwa ni hatua iliyofikiwa ya timu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHAMBULIAJI NI TATIZO, SIMBA IKIIVAA MBEYA CITY

Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam  Licha ya kusisitiza kuwa straika wake, Pape Ndaw ni mshambuliaji makini na mwenye uwezo mkubwa mkufunzi mkuu wa Simba SC, Dylan Kerr atalazimika ‘kum-bust’...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIO MIKASA NYUMA YA PAZIA INAYOKABILI MAISHA YA MKALI WA NBA ALIYEKUTWA...

Kama wewe ni mpenzi wa michezo hususan basketball au kama ni mfuatiliaji wa burudani hasa linapokuja suala la familia maarufu nchini Marekani ya Kim Kardashian basi jina la Lamar Joseph Odom haliwezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA VS AZAM, NANI ATAENDELEZA USHINDI 100%?

Winga wa Yanga Godfrey Mwashiuya akiruka kwanja la beki wa Azam FC Agrey Morris wakati wa mchezo wao wa robo fainali ya michuano ya Kagame Cup mwezi Julai, 2015  Na Baraka Mbolembole  Kiungo mchezesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKIACHANA NA UHOLANZI, HIZI NI TIMU NYINGINE AMBAZO ZIMEWAHI KUSHINDWA KUFUZU...

Usiku Oktoba 13, 2015 ni wa kukumbukwa sana na wapenzi wa soka duniani hasa kwa wale mashabiki wa timu ya taifa ya Uholanzi maarufu kama ‘Orange’. Timu ya taifa ya Uholanzi imeshindwa kufuzu michuano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUWA MSAIDIZI YANGA NI HATUA KWA MWAMBUSI

Kocha msaidizi wa Yanga Juma Mwambusi (kushto) akiwa sambamba na  kocha mkuu wa timu hiyo Hans van der Pluijm Na Simon Chimbo Msimu wa mwaka 2003-04 kocha Mholanzi Martin Jol alikataa ofa ya kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIE A CHINI YA UCHUNGUZI WA RUSHWA, NDUGU YAKE BLATTER YUPO NDANI

Nchini Italia michezo ya ligi hiyo (Serie A) itaendelea katika viwanja mbalimbali, kubwa nchini humo ni uchunguzi wa polisi juu ya uuzwaji wa matangazo ya television ya Serie A. Waendesha mashtaka wa...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>