Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Klabu ya Arsenal imepost ujumbe kuhusu Uhuru wa Tanzania bara

Wakati Tanzania bara ikisherekea miaka 55 tangu ipate uhuru wake, klabu ya Arsenal inayocheza ligi kuu ya England imepost picha kwenye mtandao wa Facebook ya bendera ya Tanzania iliyoandikwa ‘Happy...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Machache kuhusu Kaseke ndani na nje ya Yanga

Yahaya Mohamed ‘Mkazuzu’ alikutana na kiungo mshambuliaji wa Yanga Deusi Kaseke amabaye alisajiliwa kutokea Mbeya City. Amepiga nae stori na nyota huyo ambaye pia ni miongoni mwa wachezaji wa timu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 5: Matokeo mechi ya kirafiki Poilisi Moro vs Simba

Mchezo wa kirafiki kati ya Polisi Morogoro dhdi ya umemalizika kwa Simba kupata ushindi wa magoli 2-0 katika uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro. Magoli ya Simba yamefungwa na Ibrahim Ajibu , goli la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BEACH SOCCER: Tanzania imepata ushindi mbele ya Uganda

Mchezo wa kirafiki wa kimataifa wa soka la ufukweni kati ya timu ya taifa ya Tanzania dhidi ya Uganda umemalizika kwa Tanzania kupata ushindi wa magoli 7-5. Mechi hiyo iliyochezwa kwenye uwanja maalum...

View Article

Simba yatinga fainali U-20

Simba U20 imetinga hatua ya fainali ya michuano ya ligi kuu Tanzania bara kwa vijana chini ya miaka 20 baada ya kuifunga timu ya Stand United ya Shinyanga. Dakika 90 za mchezo huo wa nusu fainali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanga inyang’anywe pointi zote kwa kumtumia Kessy – Rage

Ismail Aden Rage-Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Simba SC Mwenyekiti wa zamani wa Simba Ismail Rage ameitaka klabu ya Simba kwenda mbele zaidi kudai haki yao na si kukubali kiasi cha shilingi milioni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wachezaji wa Uganda wapigwa chini kwa upangaji matokeo

Beki wa zamani wa kimataifa wa Uganda Godfrey Kateregga na Saddat Kyambadde wametimuliwa na Police Football Club kwa upangaji matokeo. “wachezaji hao walikiri,” alisema mwenyekiti wa klabu Assan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pep Gurdiola anataka FIFA waweke Sub sita kwa mechi moja

Kocha wa Manchester city amefunguka kuhusu kitu ambacho hakubaliani nacho kwa mujibu wa sheria za soka hasa kwenye swala zima la kubadirisha wachezaji kwenye mechi. Kocha wa Manchester City amesema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

David Seaman: Sanchez na Ozil wakisepa, Arsenal hakuna ubingwa

Legend wa Arsenal David Seaman ni mmoja kati ya wachezaji ambao walikua kwenye kikosi cha kwanza cha Arsenal ambacho kilijenga mashabiki wengi sana. Kikosi kile cha kina Henry na Viera ndio kwa kiasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balotelli: Naweza kushinda Ballon Dor

Kila anayempenda Mario Balotelli sasa hivi amefurahia come back yake kwenye kikosi chake kipya. Watu wengi walijua kwamba ndio mwisho wa kipaji cha mchezaji huyo lakini inaonekana ana furaha sana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lwandamina aanza kwa kichapo Yanga

Yanga imechwapwa 2-0 na JKU ya Zanzibar kwenye mchezo wa kujipima nguvu uliochezwa kwenye uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga yachezesha timu mbili Yanga wamechezesha vikosi viwili tofauti katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pluijm ameishuhudia Yanga ikilazwa na JKU

Mkurugenzi wa Ufundi wa klabu ya Yanga Hans van der Pluijm alikuwa jukwaani akiishuhudia klabu yake ikipoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya JKU ya Zanzibar. Pambano hilo lilisukumwa kwenye uwanja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Nchemba anakaba hadi mechi za kirafiki!

Waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi Mh. Mwigulu Nchemba, ameonekana tena kwenye mchezo wa kirafiki wa Yanga wakati wanaikabili JKU kutoka visiwani Zanzibar. Mh. Nchemba ameonekana kwenye mechi nyingi za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kaburu kasema hajamuona ‘mkata umeme,’ amemuona ‘kishoka’

Makamu wa Rais wa klabu ya Simba SC  Geofrey Nyange ‘Kaburu’ amesema hajamuona kiungo wa Yanga Justine Zulu ambaye kwa sasa ni maarufu kwa jina la ‘mkata umeme’. Badala yake Kaburu amesema aliyemuona...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUDIO: Maneno ya Lwandamina baada ya kupoteza mchezo wa kirafiki

Kocha mpya wa Yanga amesema Yanga ni timu nzuiri ameona walivyocheza , ameona mapungufu yaliyojitokeza baada ya mchezo wao wa kirafiki dhidi ya JKU yaliyopelekea kupoteza mchezo huo kwa magoli 2-0 na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maamuzi yaliyofikiwa na Simba kwenye mkutano wa dharura

Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa klabu ya Simba SC Patrick Kahemele, zaidi ya 98% ya wanachama waliohudhuria mkutano wameunga mkono agenda mabadiliko ya katiba iliyopelekwa kwenye mkutano wa dharura....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diego Costa kaishusha Arsenal kileleni

Chelsea wamerejea tena kileleni ma Premier League ni baada ya kushinda mchezo wao wa tisa mfululizo kufatia Diego Costa kufunga bao pekee la ushindi wakati wakichuana na West Brom kwenye uwanja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya mechi ya El Classico, refa afungiwa kwa kuwa karibu na Barcelona

Sasa hivi imethibitishwa na refa msaidizi Paul Devis amefungiwa na La Liga kutokana na kuonekana kuwa karibu sana na Barcelona kwenye mechi ya El Classico. Baada ya mechi hiyo kutoka 1-1, Radio moja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Man United imepata ushindi wa kwanza Old Trafford tangu September

Goli pekee la Henrikh Mkhitaryan limeipa Manchester United ushindi kwa mara ya kwanza kwenye uwanja wa Old Trafford katika michezo ya Premier League, mara ya mwisho Man United kuibuka na ushindi O.T...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa kuhusu jeraha la Mkhitaryan

Baada ya kufunga goli moja la ushindi kwenye mechi dhidi ya Spurs, Mkhitaryan alitolewa nje baada ya kupata challenge kutoka kwa Danny Rose. Baada ya kutoka tu mashabiki wa Manchester wakaanza...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>