Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VAN GAAL AMTAJA CHRIS SMALLING UNAHODHA MAN UNITED

Kocha Louis Van Gaal amemtaja mlinzi wa kati wa timu yake Chris Smalling kuwa anaweza kuja kuwa nahodha siku moja baada ya Rooney na Carrick kutoweka. Van Gaal ameyasema hayo zikiwa zimesalia siku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUMUOMBEE LEGENDARI MDACHI JOHAN CRUYFF

Nyota wa zamani wa Barcelona, Johan Cruyff (kulia) akimkabidhi jezi yake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) wakati kikosi cha magwiji wa Barcelona kilipomtembelea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MESSI AELEZEA UADUI WAO NA CRISTIANO RONALDO

Mshambuliaji Leonel Messi ameshindwa kukanusha kuihama klabu hiyo siku moja huku pia akisisitiza hana uadui na Cristiano Ronaldo wa Madrid. Messi ambaye alihusishwa na kuhamia Chelsea msimu uliopita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOCHA MWINGINE VPL AONESHWA MLANGO WA KUTOKEA BAADA YA MATOKEO MABOVU

Kocha wa klabu ya Kagera Sugar Mbwana Makatta ametimuliwa kwenye klabu hiyo kufuatia mfululizo wa matokeo mabovu yanayoikabili timu hiyo kwenye mechi zake za ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAABA YA TAARIFA KUZAGAA KUWA KOCHA WA SIMBA KAKALIA ‘KUTI KAVU’, HII NDIYO...

Baada ya taarifa kuzagaa kwenye baadhi ya vyombo vya habari pamoja na mitandao ya kijamii kwamba kocha mkuu wa ‘wekundu wa Msimbazi’ Simba amekalia ‘kuti kavu’ kunako klabu hiyo kutokana na kufungwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ULIISIKIA HII YA JUMA KASEJA KUPANDA BASI LA SIMBA KULE MBEYA?

Na Mwandishi Wetu, Mbeya Kipa mkongwe nchini, Juma Kaseja, juzi Jumatano alijikuta akisababisha hali ya sintofahamu kwa mashabiki wa timu yake ya Mbeya City, hiyo ni baada ya kuingia ndani ya basi la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KING KIBADENI: STRAIKA NI TATIZO JKT RUVU

Abdallah Kibaden ‘King Kibaden (kushoto) na Mrage Kabange wakati wakifatilia kwa karibu mchezo kati ya JKT Ruvu dhidi ya Mtibwa Sugar Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam  Baada ya kuiongoza kwa mara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HANS POPPE: MAGULI ALIACHWA NA KOCHA SIYO UONGOZI

Mwenyekiti wa Kamati ya usajili ya klabu ya Simba Zacharia Hans Poppe (kulia) akijadili jambo na kocha wa viungo wa klabu hiyo Na Hemed Kivuyo MWENYEKITI wa kamati ya usajili ya timu ya soka ya Simba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JERRY TEGETE: MECHI 3, MAGOLI 3 VPL

Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam Straika wa zamani wa Yanga SC, Jeryson Tegete ‘Jerry’ ameanza vizuri msimu huu akiwa na klabu ya Mwadui FC ya Shinyanga. Tegete ambaye alianza kuichezea Mwadui...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOCHA WA GOLDEN STATE WARRIORS STEVEN KERR NJE

Na Nicasius N Agwanda (Nicasius Coutinho Suso) Kocha wa Golden State Warriors Steve Kerr atakosa michezo ya ufunguzi kutokana na kuendelea kupata matibabu na kupona matatizo ya mgongo aliyoyapata siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GERALD GREEN AKUMBANA NA FAINI YA ZAIDI YA MILIONI 50 BAADA YA KITENDO HIKI

Na Nicasius N Agwanda (Nicasius Coutinho Suso) Mchezaji mpya wa klabu ya Miami Heat Gerald Green amekumbana na adhabu ya kutozwa faini ya dola za kimarekani elfu ishirini na tano ($25,000) kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: KOCHA WA TOTO AFRICANS AJIUZULU

Taarifa iliyoufikia mtandao huu hivi punde ni kwamba, kocha wa Toto Africans Martin Grelics amejiuzulu. Hii hapa ni barua rasmi ya kujiuzulu kwake. Taarifa zaidi zitakujia hapahapa na kupitia Sports...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HABARI MPYA KUHUSU HALI YA HAMISI KIIZA, JE ATACHEZA AU HATOCHEZA DHIDI YA...

Hamisi Kiiza, mshambuliaji wa klabu ya Simba Kikosi cha ‘wekundu wa Msimbazi’ Simba kikiwa katika maandalizi ya kuwavaa ‘wagosi wa kaya’ Coastal Union siku ya Jumatano, hali ya majeruhi Hamisi Kiiza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NI MAKALA YANGU KWENYE GAZETI LA CHAMPION WIKI HII

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOBE BRYANT “BLACK MAMBA” AREJEA

Nicasius N Agwanda (Nicasius Coutinho Suso) Mashabiki wa klabu ya Los Angeles Lakers na mchezaji Kobe Bryant au The Black Mamba, sasa wanaweza kuwa na ahueni baada ya taarifa rasmi kutoka kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA TETESI ZA MPYA ZA POGBA TO BARCELONA…HII NI RIPOTI MPYA

Pogba mchezaji mwenye miaka 22 kwa mara nyingine tena amehusishwa kwa kiasi kikubwa kujiunga na club bingwa ya Ulaya Barcelona. Kutokana kiwango kikubwa alichokionyesha kwenye msimu uliopita, kipindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHEZAJI WA YANGA WAANZA KUKIMBIA MIKWAJU YA PENATI

Golikipa wa Azam FC aishi Manula akipangua penati iliyopigwa na kiungo wa Yanga Thabani Kamusoko Kufuatia hali ya kukosa mikwaju ya penalti iliyowakumba wachezaji wa Yanga, baadhi ya wachezaji wa timu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUBAMEYANG ATOA SIRI YAKE YA KUFUNGA HAT-TRICK YA PILI

Mmoja kati ya mastaa wakubwa ambao wanaoing’arisha ligi ya Bundesliga ni Aubameyang ambae anatupia magoli ya kutosha nyavuni na kuisaidia club yake ya Borussia Dortmunda. Ukitaka kumcheki huyu jamaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIO LIST MPYA YA TEAM BRANDS ZENYE THAMANI KUBWA DUNIANI

Wiki iliyopita jariba linaloaminika kwa kutoa lIsti mbalimbali la Forbes, lilitoa brands za wanamichezo zenye thamani kubwa duniani. Hivi sasa wametoa list ya brand za team za michezo zenye thamani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHELSEA SASA YACHAFUKA ADHABU

Klabu ya Chelsea ya jijini London inakabiriwa na adhabu pamoja na faini kutoka kwa chama cha mpira England FA kutokana na utovu wa nidhamu uliopelekea kadi 6 za njano. Sheria za FA ziko wazi kuhusu...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>