Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOBE AREJEA NYUMBANI KULIKOMLEA KUAGA LAKINI ACHAPWA, AHUENI YA KWANZA KWA...

Wakati Warriors wakishikilia rekodi ya kutokufungwa mpaka sasa, wenzao Philadelphia 76ers walikuwa wakishikilia rekodi ya kutokushinda mpaka walipokutana na ndugu zao L.A Lakers ambao nao walikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: HIVI NDIVYO KILI STARS ILIVYOWASILI TOKA ETHIOPIA

Washambuliaji wa Kili Stars Malimi Busungu (kushoto) na Elius Maguli Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania bara ‘Kilimanjaro Stars’ kimerejea nchini leo kikitokea nchini Ethiopia ambako kilikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAPPER YOUNG KILLER AMTAJA MSHINDI WAKE WA BALLON D’OR…AKILI KUWA SHABIKI WA...

Hivi sasa moja ya topic kubwa ni kuhusu tuzo ya Ballon D’or na kila mtu anajaribu kutoa sababu zake kuhusu nani atakua mshindi wa tuzo hii. Kama ulikua hujui ni kwamba rapper Young Killer aliwai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA KUTUA BONGO AKITOKEA ETHIOPIA, JOHN BOCCO AMENITUMA NIKWAMBIE MANENO...

Nahodha wa Kilimanjaro Stars na Azam FC John Bocco ‘Adebayor’ baada ya kuwasili nchini na timu nzima ya Kilimanjaro Stars wakitokea Ethiopia kwenye michuano ya Challenge Cup 2015 Nahodha wa kikosi cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Manchester United ‘Inayoboa’ Itaweza Kutwaa Ubingwa wa EPL? – Majibu yangu...

Manchester United waliikosa nafasi ya kupanda juu ya kilele cha Premier League baada ya mechi nyingine ya sare waliyocheza katika kiwango cha chini vs Leceister City jumamosi iliyopita. United...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MNYAMA SIMBA KESHO MAWINDONI ZANZIBAR

Wachezaji wa Simba SC wakiwa mazoezi kwenye uwanja wa Amaan, Zanzibar Na Abubakar Kisandu, Zanzibar Wekundu wa Msimbazi Simba kesho wanatarajia kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Kimbunga ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAUDA TV: NI NANI WA KUIZUIA BARCA? YAFANYA BALAA JINGINE COPA DEL REY

Ni nani wa kuzuia gharika hii? Miamba ya Hispania na Ulaya timu ya Barcelona usiku wa December 2 iliendeleza wimbi la vipigo kwa kila anayekatiza mbele yao, jana usiku ilikuwa ni zamu ya Villanovense...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CURRY YULEE, WARRIORS WALEE… HAKUNA WA KUWASHIKA. WAIUA CHARLOTTE HORNETS

Unaweza kuliita tatizo sasa ndani ya NBA, ingawa kila mmoja anatamani na anavutika kuona nani atahusika kkuifunga Warriors kwa mara ya kwanza. Dell Curry alimwambia mwanawe kabla ya mchezo Jumatano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAUDA TV: MADRID BADO INAKIMBIZA MWIZI KIMYAKIMYA

Baada ya wapinzani wao wakubwa kuibuka na ushindi wa goli 6-1 wakiwa kwenye uwanja wao wa nyumbani, Real Madrid nao wakang’arisha nyota yao wakiwa ugenini kwenye mchezo wa kombe la Cpa del Rey kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKITAKA KUMTIBUA MAGULI, MUULIZE MASWALI HAYA UONE MOTO!!

Ni ukweli usiopinginga kwamba kwa sasa mshambuliaji wa timu ya Stand United na timu ya taifa ya Tanzania Elius Maguli anafanya poa kwenye soka la Bongo. Mshambuliaji huyo aliyetemwa na ‘wekundu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHAFFIH DAUDA ANASEMAJE KUHUSU MESSI KUTWAA TUZO YA MSHAMBULIAJI BORA WA LA...

Baada ya mjadala mkali kuzuka kwenye social media na hata kwenye baadhi ya broadcasting media za hapa bongo kuhusiana na tuzo ya mshambuliaji bora aliyopewa mchezaji wa Barcelona Lionel Messi ilhali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOBE BRYAAANT…. MBABE HAANGUKI DAIMA. KOBE AREJEA KATIKA KIWANGO AIUA...

Ni ngumu sana kumkumbatia nungunungu kwa muda wote, maana ipo siku au muda ambao atatoa miiba yake na ikakuchoma. Ndicho kitu unachoweza kusema juu ya mchezaji aliyetoka kutangaza kuwa atastaafu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNAJUA NI KWANINI MAN U HAIFUNGI MAGOLI MENGI? SHAFFIH DAUDA KAFANYA...

Klabu ya Manchester United imekuwa ikishindwa kufunga magoli ya kutosha kwenye michezo yke mbalimbali hali iyozua taharuki kwa mashabiki, wachezaji wa zamani na hata wachambuzi mbalimbali wa masuala...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEO NI BIRTHDAY YA SIMON MSUVA, KUNA KITU KIZURI AMEKIANDAA KWA AJILI YA...

Ikiwa leo ni December 3, 2015 star wa klabu ya Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania Simon Msuva anaadhimisha siku yake ya kuzaziwa (birthday), hii ni siku muhimu sana kwake kama ambavyo imekuwa muhimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAUDA TV: USIKUBALI KUPITWA NA HII EXCLUSIVE INTERVIEW YA GAUDANCE MWAIKIMBA

Gaudence Mwaikimba ni mwanasoka wa Tanzania kwasasa anacheza kwenye timu ya JKT Ruvu inayoshiriki ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara, Mwaikimba ni miongoni mwa wachezaji wachache walioweza kudumu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBIBI KIZEE ANARUDI INGAWA KWA KUJIKONGOJA

Ni wazi kuwa kuwa Serie A inaendelea kuimarika kila kukicha kutokana na ushindani unaooneshwa na timu kubwa pamoja na timu nyingine zinazoshiriki Ligi hiyo. Timu kubwa hapa nazungumzia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASTAA WAPAMBA BIRTHDAY PARTY YA SIMON MSUVA

Msuva akiwa na washkaji zake wa karibu kutoka kundi la Makomando, Muki (katikati) pamoja na Fred Siku ya December 3 kila mwaka ni siku muhimu sana kwa star wa soka la Bongo anayecheza kwenye klabu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: ULIPITWA NA BIRTHDAY PARTY YA MSUVA?, ANGALIA PICHA UONE ILIVYOBAMBA…

Ulipitwa na Birthday Party ya Simon Msuva? kama ilikupita basi mtandao huu unakupa fursa ya kushuhudia matukio yote yaliyojiri kwenye party hiyo iliyofanyika usiku wa December 3 wakati mchezaji huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMEIPATA HII YA SERIKALI YA MAGUFULI KUFANANISHWA NA SAFU YA USHAMBULIAJI YA...

Kuna msanii mmoja wa muziki wa kizazi kipya anafahamika kwa jina la Afande Sele kutoka kundi la Watupori kutoka mkoani Morogoro alishawahi kutamba na wimbo mmoja unaoitwa ‘Dunia inamambo’, sasa kweli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAN UNITED, BAYERN MUNICH, VITANI KUINASA SAINI YA STAR ANAYEWANYIMA USINGIZI...

Klabu za Bayern Munich na Manchester United sasa zinapigana vikumbo kutaka kupata saini ya mchezaji raia wa Senegal na klabu ya soka ya Southampton, winga Saidio Mane mwenye miaka 23 katika kuongezea...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>