Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAKAMILISHA MAZOEZI YA MWISHO KUIKABILI MEDEAMA

Klabu ya Yanga leo imefanya mazoezi yake ya mwisho kwenye uwanja wa Essipong Sports mjini Sekondi, Ghana kwa ajili ya mchezo wao wa marudiano dhidi ya Medeama utakaochezwa kesho Jumanne Julai 26....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA 3: MEDEAMA V  YANGA, MECHI 9 MFULULIZO BILA USHINDI! NI WAKATI WA...

Na Baraka Mbolembole Mechi 9 mfululizo bila ushindi! Nadhani sasa imetosha, na mabingwa mara 26 wa Tanzania Bara, timu ya Yanga SC wanapaswa sasa ‘kuwalipa’ mashabiki wao kwa kupata ushindi wa kwanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHEZAJI 7 WALIOSAJILI KWA MKWANJA MREFU NA KLABU ZAO ZA ZAMANI

Pogba yuko mbioni kurejea kunako klabu ya Manchester United akitokea klabu ya Juventus kwa ada itakayavunja rekodi ya dunia ya paundi ml 100. Alisajiliwa na Juventus akitokea klabu ya Manchester...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMUSOKO AMEANDIKA UJUMBE MZURI KUM-WISH MKEWE HAPPY BIRTHDAY

Ujumbe wa Kamusoko kum-wish mkewake happy birthday uliambata na picha hii Leo Julai 26 mke wa kiungo wa Yanga Thaban Kamusoko anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa (birthday), katika kuona umuhimu huo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIUNGO 6 WAKABAJI WALIOTIKISA EPL MSIMU ULIOPITA

Mara nyingi kumekuwa na tabia ya kuthamini zaidi washambuliaji na makocha endapo inatokea timu imeshinda na kusahau magoli hayo yametokana na muunganiko wa nguvu ya wachezaji wote. Mabeki na viungo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMBWE NJE, NIYONZIMA NDANI, ANGALIA KIKOSI KAMILI CHA YANGA VS MEDEAMA

Benchi la ufundi la mabingwa wa Tanzania bara klabu ya Yanga, tayari limeachia majina ya wachezaji ambao wataiwakilisha klabu hiyo kwenye mchezo wake wa marudiano dhidi ya Medeama utakaochezwa Ghana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JEBA, MSUVA, MNYATE, KABUNDA NA WENGINE 20 WAITWA STARS KUIKABILI NIGERIA

Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania Charles Boniface Mkwasa ametangaza kikosi cha wachezaji 24 kitakachoingia kambini Julai 30 kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa kimataifa dhidi ya Nigeria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MANNE YALIYOMUUDHI MOURINHO KWENYE PRE-SEASON TOUR NCHINI CHINA

Jose Mourinho tunaweza kusema kwamba hajaifuria kambi yake ya muda aliyokuwa na timu yake ya Manchester United nchini China. United walitoa taarifa ya kufutwa kwa mchezo wao dhidi ya Manchester City...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA NDO BASI TENA!!

Yanga imeshindwa kutamba kwa mara nyingine tena kwenye michuano ya kimataifa baada ya kukubali kipigo cha bao 3-1 mbele ya Medeama kwenye mchezo wa Kundi A wa michuano ya kombe la shirikisho Afrika....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YATOA KICHAPO MECHI YA KIRAFIKI MORO

Mchezo wa kirafiki kati ya Simba dhidi ya Polisi Moro umepigwa katika uwanja wa chuo cha High Land uliopo Bigwa nje kidogo ya manispaa ya Morogoro mjini Mchezo huo umemalizika kwa Simba kupata ushindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFFICIAL: HIGUAIN NI MALI YA JUVENTUS

Juventus wamekamilisha dili lao la kumsajili Gonzalo Higuain kutoka Napoli kwa ada ya euro mil 90. Higuain alikuwa akihusishwa kwa muda mrefu kujiunga na miamba hiyo ya Italy baada ya kukamilisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARSENAL WAMEIKOSA SAINI YA MSHAMBULIAJI WA LYON

Timu ya soka ya Lyon ya nchini Ufaransa imekataa ofa ya euro mil 35 (paundi 29.3m) kutoka kwa klabu ya Arsenal kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wao Mfaransa Alexandre Lacazette. Lacazette (25)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWAMBUSI AMEZUNGUMZIA KIWANGO CHA CHIRWA

Kocha msaidizi wa Yanga Juma Mwambusi Kocha msaidizi wa klabu ya Yanga Juma Mwambusi amevunja ukimya na kutoka ufafanuzi kuhusu watu wanaobeza kiwango cha mshambuliaji wa kimataifa wa Zambia Obrey...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICHO LA 3: MPANGO ‘A’ UMEKWAMA, HUU NDIYO MPANGO ‘B’ UTAKAOIKOMBOA YANGA

Na Baraka Mbolembole Miaka ya mwanzoni mwa 2000, aliyekuwa Waziri mwenye dhamana ya michezo, Mh.Juma Kapuya alishauri jinsi wanahabari wa michezo wanavyopaswa kufanya kazi yao hasa wakati wa matukio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUNGU, TAMU, MIEZI 32 YA MALINZI TFF – Part III

Na Lasteck Alfred ZIMEBAKI siku chini ya 98,  Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, atimize miaka mitatu tangu aiingie madarakani usiku wa kuamkia Oktoba 28, 2013 kuliongoza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HADITHI ZA PAUL POGBA NA CHANGAMOTO ZA LIGI YA ENGLAND

Ikiwa kama Paul Pogba atasajiliwa na Manchester United kwa ada ya uhaisho ambayo inatajwa kuvunja rekodi, basi itathibitisha rasmi utajiri uliopo kwenye ligi ya England. ligi ambayo ndio maarufu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘MECHI 3 YANGA SC WEWE BADO UNAMSUBIRIA TU OBREY CHIRWA?’

Na Baraka Mbolembole LICHA ya kusajili kwa matarajio makubwa katika klabu ya Yanga SC akitokea FC Platnum ya Zimbabwe, kiungo-mshambulizi raia wa Zambia, Obrey Chirwa ni kama tayari ‘amejiweka’ katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FABREGAS AMEJIBU YUPI NI KOCHA BORA KWAKE KATI YA MOURINHO NA WENGER

Fbregas alikataa kujiunga na Mourinho kwenye klabu ya Manchester Unitedna kusema, Wenger ndiye kocha mwenye mchango mkubwa kwenye maisha yake ya soka. Kiungo huyo wa kihispania alijunga na Arsenal...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GUARDIOLA APIGA MARUFUKU BAADHI YA ‘MISOSI’ KWA WACHEZAJI

Pep Guardiola amewaengua baadhi ya wachezaji kwenye kikosi cha Manchester City kufanya mazoezi na wengine kufuatia kuongezeka uzito kupita kiasi. Awali, iliarifiwa kuwa Yaya Toure na Samir Nasri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI YA JEBA BAADA YA KUITWA STARS KWA MARA YA KWANZA

Kiungo wa Mtibwa Sugar Ibrahim Rajab ‘Jeba’ amesema ni wakati wake sasa kuitumikia timu ya taifa baada ya kusubiri kwa muda mrefu kuitwa kwenye kikosi cha Stars. Jeba ameitwa kwa mara ya kwanza kwenye...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>