Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Siri ya viungo kuwa makocha bora Duniani

Tumeshuhudia makocha wengi wakipata mafanikio makubwa kwenye mchezo wa soka, lakini kikubwa zaidi ni wachezaji wengi ambao walicheza soka katika nafasi ya kiungo wamekuwa wanafanya vizuri katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA 5: Golikipa wa Medeama ya Ghana ametua Simba

Baada ya Vicent Angban kuonekana ame-relax kutokana na kujihakikishia namba ya kudumu kwenye kikosi cha kwanza cha Simba SC, hatimaye timu hiyo imeshashusha golikipa mpya kwa ajili ya kuongeza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali 4 za Ndege zilizogharimu maisha ya wachezaji wengi zaidi Duniani

Story ya kuanguka kwa ndege iliyokuwa imebeba wachezaji wa klabu ya Chapecoense ya Brazil imechukua headlines kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii dunia nzima, huku likiwa tukio ambalo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Martial ataitia hasara Man United endapo ataendelea kufunga

Ulikuwa ni usiku mzuri kwa upande wa mshambuliaji wa Manchester United Anthony Martial. Mfaransa huyo alionekana kurejea kwenye ubora wake kenye kikosi cha Jose Mourinho na kufanikiwa kutupia bao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Samatta amepiga mbili, Genk ikiibuka na ushindi ugenini

Mbwana Samatta amefanikiwa kupiga bao mbili wakati KRC Genk ikipata ushindi wa ugenini wa magoli 3-1 dhidi ya Waasland-Beveren katika mchezo wa kuwania taji la Croky. Samatta alianza kufunga goli la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Arsenal yasukumwa nje ya EFL

Magoli ya Jordy Clasie na Ryan Bertrand yameitupa nje Arsenal kwenye kombe la EFL na kuipeleka Southampton hatua ya nusu fainali kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1987. Kocha wa Arsenal Arsene Wenger...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto wa Zidane amefunga goli kwenye mechi yake ya kwanza Real Madrid

Kocha wa Real Madri Zinedine Zidane akimpa maelekezo mtoto wake Enzo kabla hajaingia uwanjani Kocha wa Real Madrid Zinedine Zidane amesema ilikuwa ni ‘special’ kwa mtoto wake Enzo kufunga goli kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hawa mashabiki wa Arsenal wamewashangaza watu ndani ya Emirates Stadium

Picha kadhaa zilizopigwa kwenye mechi tofauti za Arsenal kwenye uwanja wa Emirates zimeshangaza watu na kaunza ku trend kwenye mitandao. Kwa kawaida inajulikana kwamba shabiki akienda uwanjani lazima...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umtiti katema mbovu kuhusu kikosi cha Peo Guardiola

Kocha wa sasa wa Manchester City alishinda kila taji akiwa na Barcelona kabla hajaenda Bayern Munich. Mwaka huu Barcelona wamesajili Samuel Umtiti ambaye alikua anaifatilia Barcelona tangu ikiwa chini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zidane kamzungumzia mwanae Enzo kwenye mechi ya kwanza na goli

Ni mara chache sana huwa inatokea baba anakua kocha wa mwanae kwenye timu kubwa kama Real Madrid. Hivyo ndivyo inavyotokea sasa hivi kwa Zidane na Enzo. Enzo mwenye miaka 21 alicheza club ya vijana ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kipa kafunga goli kwa Tik Tak dakika ya 95

Kipa huyu ameingia kwenye vichwa vya habari huko England toka South Africa ambapo ameikoa club yake kupoteza point zote kwenye mechi ya ligi kuu ya South Africa. Kipa Oscarine Masuluke wa Baroka FC...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DONE DEAL: Yanga imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji

Kiungo mkabaji raia wa Zambia Justine Zulu amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu ya Yanga mabingwa watetezi wa taji la VPL na Azam Sports Federation Cup (FA Cup). Zulu alikua akiichezea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wawa kafanya kweli kwa mzazi mwenzake

BEKI wa zamani wa Azam FC, Serge Pascal Wawa amefunga ndoa na mzazi mwenzake aliyezaa nae watoto watatu. Wawa amepost kwenye ukurasa wake wa Instagram picha zinazomuonyesha akiwa na mwanamke huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ronaldinho & Riquelme wametoa ufafanuzi kuhusu tetesi za kuichezea Chapocoense

Tangu ndege iliyokuwa imebeba Chapocoense alipoangua na kuua idadi kubwa ya wacgezaji wa timu hiyo, kumekuwa na tetesi nyingi zikiibuka kila dakika. Ilikuwepo tetesi kwamba, PSG waliahidi kuchangia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simlaumu Ngasa kusaini Mbeya City, namlaumu kulazimisha kuondoka Afrika Kusini

Na Baraka Mbolembole MARA baada ya kushinda taji lake la Tatu la ligi kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/15 akiwa na kikosi cha Yanga SC, kiungo-mshambulizi, Mrisho Ngasa alijiunga na timu ya Free State...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yaliyowahi kutokea kwenye El Clasico

Na Athumani Adam Ni El clasico nyingine ambayo itafanyika siku ya Jumamosi kwenye uwanja wa Camp Nou kati ya FC Barcelona dhidi ya wapinzani wao wakubwa kwenye soka la nchini Hispania, Real Madrid....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bushiri si chaguo sahihi lakini anaweza kuwa bora Mwadui FC

Na Baraka Mbolembole CHAGUO la Ally Bushiri kama kocha wa Mwadui FC si baya, lakini nadhani timu hiyo ilihitaji kocha bora na mwenye uzoefu zaidi katika soka la Tanzania Bara ili waepuke kushuka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pambano jipya la Floyd Mayweather lanukia

Mayweather alistafu kucheza boxing akiwa na rekodi ya kushinda 49-0. Sasa kuna hitaju kubwa la mashabiki kutaka Mayweather arudi ulingoni kucheza pambano na bingwa wa UFC Conor McGregor ambae amepata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kama hili lingefanyika Ronaldo asingecheza Manchester

Umaarufu mkubwa aliopata Cristiano Ronaldo akiwa Manchester united labda usingekuwepo tena kama mambo ambayo anazungumza Rais wa zamani wa Barcelona yangetimia. Leo hii Ronaldo ni mchezaji hatari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mourinho anataka Manchester ivunje kibubu kumsajili Neymar

Kutoka kwenye ripoti ya Daily Record ni kwamba kocha wa United ameweka macho kwa Neymar ambae anaonekana anataka sana kutoka nje ya Hispania sasa hivi. Vilabu vya England vimepewa taarifa kuhusu...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>