Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VICTOR COSTA AMEITAJA SABABU YA YEYE KUITWA ‘NYUMBA’

Victor Costa ‘Nyumba’ ni jina ambalo lilikuwa maarufu sana mwanzoni mwa miaka ya 2000 kutokana na uwezo aliokuwanao beki huyo wa Simba SC na timu ya taifa ya Tanzania. Uwezo mkubwa na kujiamini kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOP 10 YA MATUKIO  YA KUKUMBUKWA MAPINDUZI CUP 2016

Wachezaji wa URA FC wakishangilia ubingwa wao Baada ya michuano ya Mapinduzi Cup kumalizika  January 13, 2016 na kushuhudia timu ya URA kutoka Uganda ikitwaa taji hilo, mtandao huu umekuja na ‘count...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hivyo Ndivyo Real Madrid Wanavypanga Kupangua Kifungo cha Kusajili cha FIFA

Real Madrid wametangaza kwamba watakata rufaa juu ya kifungo cha kusajili katika vipindi viwili vijavyo vya usajili walichopewa na FIFA jana Alhamisi, kutokana na kusajili wachezaji walio chini ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOCHA WA ZAMANI WA STARS AREJEA NCHINI, AFANYA MAZUNGUMZO NA TFF MUDA UTAAMUA...

Kocha wa zamani wa timu za taifa za Tanzania Kim Poulsen (kushoto) alipokutana na kuzungumza na Rais wa TFF Jamal Malinzi Kocha aliyewahi kuzifundisha timu za taifa za Tanzania Kim Poulsen ameonekana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILICHOANDIKWA TANZANIA, KIKACHAPWA ABUJA KIKASOMWA TENA TANZANIA

Samatta akiwa ameishikilia tuzo yake vizuri kutoa nafasi kwa waandishi kupiga picha za kumbukumbu JANA ilikuwepo ndiyo, lakini inasimama kuwa ni kumbukumbu yetu ya leo huku kesho ikiwa ni ndoto yetu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya ni mawazo ya Ali Kiba kuhusu siku 100 za Jurgen Klopp ndani yaLiverpool.

Kocha wa Liverpool ametimiza siku 100 tangu aanze kuifundisha club ya Liverpool. Mwanamuziki Ali Kiba Mwana Dar es salaam ambae ni shabiki maarufu wa club ya Liverpool ametoa maoni yake kuhusu siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KMKM WASAINI KINDA, BUSHIR AMFANANISHA NA BEKI WA YANGA

Adam Abdallah mchezaji aliyesajiliwa na KMKM huku akifananishwa na beki wa kushoto wa Yanga Haji Mwinyi kutokana na uwezo wake mkubwa aliokuwa nao wa kucheza soka Na Abubakar Khatib ‘Kisandu’, Zanzibar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO KATUMBI ANAVYOPAMBANA KUMZUIA SAMATTA KWENDA KUKIPIGA BELGIUM

Mmiliki wa klabu ya TP Mazembe Moise Katumbi amegeuka wakala baada ya kuweka majukumu yake pembeni na kuanza kumtafutia timu nyota wa timu hiyo Mbwana Samatta ili akacheze kwenye timu ambayo anataka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mambo 6 Ambayo Real na Atletico Madrid Wanaruhusiwa Kufanya na Kutokufanya...

VILABU mahasimu wa jiji la Madrid, nchini Hispania – Real Madrid and Atlético Madrid wamekumbana na adhabu ya kufungiwa kusajili wachezaji wapya kwa kipindi cha vipindi viwili vijavyo vya dirisha la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

El Chapo alitaka kuinunua Chelsea kabla ya Roman Abramovich

Gazeti moja la udakuzi wa habari za ndani za Sport wametoka na habari mpya baada muuza unga maarufu duniani Guzman El Chapo kukamatwa tena. Gazeti hilo limetoa habari kwamba jamaa huyo alitaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kumbe Klopp alifanya kitu hiki kibaya Manchester kabla ya kwenda Liverpool.

Licha ya kumsifia sana Sir Alex Fergie ambae ni kocha mwenye mafanikio ndani ya Manchester united, lakini Klopp ametoa siri yake kubwa kwamba hakuwa na interest na Manchester united licha ya manager...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUELEKEA MCHEZO WA LIVERPOOL VS MAN U, HIVI NDIVYO ANAYOAMINI VAN GAAL KUHUSU...

Boss wa Manchester United Louis van Gaal hatarajii kwamba itachukua miaka 26 ili klabu yake kutwaa ubingwa kwa mara nyingine tena. United ilichukua miaka 26 kabla haijatwaa ubingwa wa ligi chini ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MECHI 6 AMBAZO HUTAKIWI KUZIKOSA MICHUANO YA CHAN 2016

Zimebaki saa chache kabla ya michuano ya CHAN 2016 kuanza kutimua vumbi inchini Rwanda. Nchi wenyeji watafungua michuano hiyo dhidi ya Ivory Coast kwenye dimba la Amahoro uwanja mkubwa kuliko viwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ADHABU YA MADRID YAVITESA VILABU VYA ENGLAND

Baada ya klabu ya soka ya Real Madrid kufungiwa na shirikisho la soka duniani FIFA, isisajili kwa kipindi cha miezi 18 kuanzia majira ya joto, klabu za soka za Manchester City, United na Chelsea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha 6 za Alexis Sanchez amerudi mazoezini.

Baada ya kukaa nje kwasababu ya majeraha aliyokua nayo Sanchez amefanya mazoezi na wachezaji wenzake leo wakijiandaa kucheza dhidi ya Stoke City. Pia kuna uwezekano akaweza kujumishwa kwenye kikosi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: SIMBA YAITULIZA MTIBWA SUGAR NA KUNG’ANG’ANIA NAFASI YA TATU

Mchezaji wa Simba akipata hug la nguvu kwa kocha wa Mtibwa baada ya mechi yao kumalizika Jumamosi ya January 16, 2016 ulipigwa mchewzo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara kati ya Simba SC ambao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIM POULSEN AZIDI KUZUA MASWALI VICHWANI MWA WADAU WA SOKA

Kim Poulsen (kushoto) akiwa na mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Boniface Wambura (kulia) wakifatilia mchezo wa ligi kuu Tanzania bara kati ya Simba dhidi ya Mtibwa Sugar Kim Poulsen ameendelea kuonekana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JERRY MURO NA HUYU DADA VEPEEE??

Jerry Muro ni jina ambalo limejizolea umaarufu mkubwa na wa haraka kwenye soka la Bongo kutokana na mbwembwe pamoja na tambo nyingi hasa linapokuja suala la kuzungumaza kuhusu watani wao wa jadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KLOPP: NILISHINDWA KUJIUNGA MAN UNITED

Katika kuelekea mchezo wa wapinzani wa jadi ‘derby’ kati ya timu mbili kubwa zenye historia nchini England, Liverpool na Manchester United, kocha wa Liverpool mjerumani Jurgen Klopp ameibuka na kutoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haya ni mambo unayotakiwa kuyajua kuhusu Liverpool Vs Manchester United.

Jumapili ya leo kwa wapenda soka wote lazima waimalize kwa kuangalia game ya Liverpool Vs Manchester united ambayo kwa hapa Tanzania tunaigalia kupitia Dstv pekee. Haya ni baadhi ya mambo ambayo...

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live