Quantcast
Channel: ShaffihDauda
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA USHINDI KWENYE MECHI YA UEFA, MOURINHO ATEMA CHECHE HIZI…

Baada ya jana usiku kuwafunga Maccabi Tel Aviv, goli 4-0 katika michuano ya klabu bingwa Ulaya, kocha wa Chelsea Jose Mourinho ametamba kwamba yeye ni moja kati ya makocha bora zaidi ulimwenguni....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKONGWE WAMPONDA WENGER KUHUSU JAMBO LILELILE LA KILASIKU

Wakiongozwa na legendari Ian Wright ambaye alikua akiuchambua mchezo kati ya timu yake ya Arsenal dhidi ya Dinamo Zagreb katika usiku wa UEFA, wadau mbalimbali wameshangazwa na usanii wa Arsene Wenger...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARSENE WENGER ASEMA MBOVU JUU YA REFA WA MECHI YAO DHIDI YA DINAMO ZAGREB

Jana usiku kwenye mechi ya UEFA ambapo vijana wa Arsene Wenger walilala mbele ya Dinamo Zagreb, kuna mambo mengi yanazungumziwa hivi sasa. Lawama kwa Wenger ni kawaida kutoka mashabiki na wadau wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IJUE HASHTAG YA #WENGEROUT INAYOENDESHWA NA MASHABIKI WA ARSENAL DUNIA NZIMA

Kama ulikua hujui ni kwamba Arsene Wenger ameweka rekodi mbaya usiku wa jana kwa kuwa kocha wa kwanza kufungwa kwenye mechi 50 za Champions League kwenye main tournament. Ukizitoa mechi ya kuwania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA RASMI : HAWA WACHEZAJI WA CHELSEA HAWATACHEZA KWENYE MECHI DHIDI YA...

Jana usiku hatimaye mashabiki wa Chelsea wamepata tena smile baada ya muda kidogo kupitia mambo ambayo ni magumu kwao kama mashabiki wa club hiyo. Baada ya ushindi wa 4-0 dhidi ya Maccabi Tel Aviv,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOFAUTI YA LIVEROOL YA SASA NA ILE YA ENZI HIZO, HAYA NDIO INAKOSA TIMU YA SASA…

Nicasius Coutinho Suso Riise, blocked by Cafu, into is Gerraaarrrrd. Hello hello here we go, Steven Gerrard puts a grain of doubts in the back of Milan minds and gives hope to all of many thousands of...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MINZIRO: “UMAKINI MDOGO NDIO TATIZO JKT RUVU”

Kocha mkuu wa JKT Ruvu Fred Felix Minziro  Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam Mwishoni mwa wiki hii watawakabili mabingwa watetezi wa ligi kuu bara, Yanga SC, mwalimu mkuu wa timu ya JKT Ruvu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWAMBUSI: TUNAJENGA TIMU MPYA

Juma Mwambusi Kocha wa Mbeya City FC ya jijini Mbeya Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam Mkufunzi mkuu wa klabu ya Mbeya City FC, Juma Mwambsi amefurahishwa na kiwango cha wachezaji wake mara baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HABARI YA UPASUAJI WA LUKE SHAW IKO HIVI…

Luke Shaw (kushoto) wakati alipokutana na Hector Moreno kwenye tukio lilipelekea kuvunjika mguu wake wa kulia Klabu ya Man Utd imethibitisha taarifa za Luke Shaw kufanyia upasuaji akiwa nchini Uholanzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARSENE WENGER KAULIZWA KUHUSU KU-SHAKE HAND NA MOURINHO..AMEJIBU HIVI

Ni kawaida kwa makocha kupeana mikono kabla na baada ya mechi kwenye soka duniani. Sasa imekua tofauti kwa Wenger na Mourinho ambao waliwai kutofautia hadi kushikana mashati kwenye moja ya mechi zao....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TEMEKE YATINGA FAINALI ARS

Mchezaji wa timu ya Ilala Tumaini Michael (kulia) akimtoka mchezaji wa timu ya Temeke Shamimu Hamis katika mchezo wa nusu fainali ya Airtel Rising Stars kwenye Uwanja wa Karume Temeke girls jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FA IMAENZISHA UCHUNGUZI…MOURINHO ANAWEZA KUFUNGIWA MECHI 5

Chama kinachosimamia soka nchini Uingereza kimeanzisha uchunguzi juu ya manager wa Chelsea na akipatikana na makosa anaweza kufungiwa mechi 5. Tatizo ni lile ambalo lilitokea kwenye mechi ya ufunguzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REAL MADRID IMEMKARIBISHA MKIMBIZI OSAMA ABDUL MOHSEN NDANI YA BERNABEU

Soka limetumika sana kusambaza upendo kwenye ishu ya wakimbizi wa Syria ambayo imetoka wiki chache zilizopita. Story ya mkimbizi huyu Osama Abdul Mohsen ambapo video yake ilisambaa akiwa amembeba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKALA WA OZIL ANASEMA MCHEZAJI WAKE ANAWEZA KUSEPA ARSENAL MWISHO WA MSIMU HUU

Dr Erkut Söğüt ambae ni wakala wa Mesut Ozil ametoa maneno ambayo yamewashtua watu wengi labda hasa mashabiki wa Arsenal. Wakala huyo akiongea na vyombo vya habari vya Uturuki alizungumzia uwezekano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BACARY SAGNA AMETOA SABABU YA KUNYOA RASTA ZAKE

Bacary Sagna alikua anatambulika kirahisi kwa rasta zake ambazo zilikua na rangi. Sasa akiwa kwenye mapumziko ya likizo baada ya msimu uliopita alinyoa rasta zake na picha yake kusambaa sana kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA VPL WEEKEND HII

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo nane kuchezwa kwa siku za Jumamosi na Jumapili katika viwanja nane tofauti nchini ikiwa ni mzunguko wa tatu tangu kuanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FDL KUTIMUA VUMBI KESHO

Ligi daraja la kwanza nchini (FDL) inatarajiwa kuanza kutimua vumbi kesho Jumamosi Septemba 19 kwa michezo 10 kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini, ambapo jumla ya timu 24 zinashirki ligi hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUVENTUS, MILAN,ROMA,NAPOLI UWANJANI TENA KUTAFUTA POINT 3 MUHIMU

Weekend imefika na baada michezo ya UEFA katikati ya wiki kama kawaida michezo ya ligi inaendelea. Ukizugumzia ligi kubwa barani Ulaya huwezi kuacha kuitaja ligi ya Serie A. Club kubwa za ligi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA NZURI KWA WANAOFUATILIA LIGI YA VPL KUPITIA AZAM TV

Wadau, tunapenda kusahihisha baadhi ya taarifa zinazosambaa kuhusiana na urushaji wa mechi za VPL (Vodacom Premier League) na La Liga. Katika mkutano wetu na bodi ya Ligi kuu Tanzania (TPLB) tarehe 15...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHELSEA vs ARSENAL: GAME PREVIEW

Ligi kuu soka nchini England inaendelea tena Jumamosi hii katika viwanja mbalimbali huku Stamford Bridge kukiwa na mtanange wa kutokuukosa kati ya Chelsea ya Mourinho na Arsenal ya Arsene Wenger....

View Article
Browsing all 9000 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>