BAADA YA KICHAPO, MAKATA AIPONGEZA SIMBA
Mbwana Makata, kocha mkuu wa timu ya Kagera Sugar ya mkoani Kagera Kocha mkuu wa Kagera Sugar Mbwana Makata ameipongeza timu ya Simba kwa ushindi akisema timu hiyo imecheza vizuri huku akisema vijana...
View ArticleEXCLUSIVE: KIIZA AFAFANUA MAANA YA STAILI YAKE YA USHANGILIAJI…
Hamisi Kiiza akishangilia goli la na wachezaji wenzake wa Simba alipofunga wakati timu yake inacheza dhidi ya Kagera Sugar Jumapili kwenye uwanja wa Taifa Mshambuliaji wa Simba Hamisi Kiiza jana...
View ArticleMASHABIKI WA SIMBA WASHINDWA KUJIZUIA KWA KIIZA…
Mashabiki wa timu ya Simba wakizawadia fedha mshambuliaji wa timu hiyo Hamisi Kiiza aliyefunga magoli matatu kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar Mashabiki wa timu ya Simba ‘Mnyama’ walishindwa kuzuia...
View Article“WAGONGA NYUNDO” NI MWENDO WA VIPARA TU KWA VIGOGO, BADO CHELSEA, MAN U NA SPURS
Na Salym Juma Naamini kiafya mpo safi na kwa sasa mnaendelea vyema na shughuli zenu za hapa na pale. Mimi pia ni mzma kwani kadi nyekundu 3 za Arsenal ndani ya mechi 2 nimeziona vizuri. Kiwango kizuri...
View ArticleTOTTENHAM VS ARSENAL, ‘THE GUNNERS’ WATAWEZA KUUZUIA MOTO WA HUYU DOGO?
Anaitwa Hueng-Min Son, baada ya kufunga bao 14 msimu uliopita katika Bundesliga Marcio Pocchetino alikubali Spurs itoe paundi milion 22 kumnunua kijana huyu toka Korea kusini akiichezea Bayer...
View ArticleBAADA YA MECHI ZA JANA, MSIMAMO MPYA WA EPL UKO HIVI…
Michezo ya raundi ya sita ya ligi kuu nchini England maarufu kama EPL imemalizika jana Jumapili (jana) ambapo ilipigwa michezo mitatu. Manchester United wakiwa ugenini wakaibuka na ushindi wa goli 3-2...
View ArticleMABAO MATATU KWA MPIGO YA KIIZA NI ‘MAJIBU MENGINE MABAYA’ YANGA SC
Mshambuliaji wa Simba SC akishangilia moja ya goli lake alilofunga kwenye mchezo kati ya Simba dhidi ya Kagera Sugar Na Baraka Mbolembole Mfungaji bora wa ligi kuu ya Uganda, Hamis Kiiza...
View Article“DIEGO COSTA ANAPENDA KU-CHEAT UWANJANI”…MCHEZAJI GANI WA CHELSEA KASEMA HIVI
Karibia kila mpenda soka hajafurahishwa na kitendo cha bwana Costa akiwa mchezoni jinsi anavyosabisha hadi wenzake wanapata kadi nyekundu. Japokua wakati mwingine linaweza kuwa kosa la kweli, lakini...
View ArticleVIDEO : ALIYEMVUNJA MGUU LUKE SHAW…AMEMCHEZEA RAFU MBAYA MCHEZAJI MWINGINE
Ndani ya muda wa siku chache baada ya kucheza rafu ambayo imesababisha Luke Shaw kukaa nje kwa miezi sita, Hector Moreno amehusika tena kwenye rafu nyingine mbaya dhidi ya mchezaji Oussama Tannane...
View ArticleNINI KIMEWASIBU WAKALI HAWA WA KUCHEKA NA NYAVU?
Sergio Aguero, Harry Kane, Diego Costa, Alexis Sanchez, Eden Hazard na Wayne Rooney ni wa achezaji sita waliofunga jumla ya magoli 109 kwa pamoja msimu uliopita kwenye ligi kuu ya soka nchini England...
View ArticleFERGUSON AFICHUA MBINU ILIYOMFANYA KUWATAWALA WACHEZAJI OLD TRAFFORD
Sir Alex Ferguson ameweka wazi namna alivyokuwa akitawala kwenye klabu ya Manchester United kwa kuhakikisha hakuna mchezaji ambaye analipwa pesa nyingi kuliko yeye kwenye kipindi chake cha mwisho ndani...
View ArticleHUAWEI Y360, KIKI INAYOPEWA INAFANANA NA UBORA WA SIMU HUSIKA?
Katika siku kadhaa zilizopita kumekuwa na matangazo kadhaa hasa kwenye mitandao ya kijamii juu ya simu mpya inayouzwa kwa ushirikiano wa makampuni mawili nguli ya mawasilino nchini. Huawei ambao ni...
View ArticleCOUTINHO WA LIVERPOOL ANUKIA BARCELONA
Kiungo nyota wa Liverpool na timu ya taifa ya Brazil, Filipe Coutinho anapigiwa chapuo la kuihama klabu hiyo na kujiunga na miamba ya soka nchini Hispania klabu ya soka ya Barcelona. Hali hiyo imekuja...
View ArticleFERGUSON AWATAJA WANNE BORA KUWAHI KUWAFUNDISHA
Kocha mstaafu wa Manchester United Sir Alex Ferguson katika kitabu chake kipya cha hivi sasa, amewataja wachezaji wanne wa kiwango cha dunia kuwahi kuwafundisha. Alex Ferguson amemtaja Cristiano...
View ArticleMURO: “SIMBA KAMA KISIGINO TU…”
Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam Kama ilivyo kawaida yake, mkuu wa kitengo cha habari wa klabu ya Yanga SC, Jerry Muro amerusha kijembe kwa mahasimu wao Simba SC kuelekea mchezo wa vigogo hao wa...
View ArticlePICHA ZANGU 6 NIKIWA KWENYE WORKSHOP NDANI YA MAKAO MAKUU YA BUNDESLIGA
Namshkuru mungu nimefika salama hapa Ujerumani Frankfurt kwa ajili ya ziara yangu kwenye ligi ya Bundesliga. Baada ya kufika tu ratiba yangu ikanipeleka kwenye workshop ambayo imeandaliwa na chama cha...
View ArticleHATIMAYE LIGI DARAJA LA KWANZA YAPATA MDHAMINI
Mkurugenzi mkuu wa Star Times Liao Lan Fang (kuhoto) na Rais wa TFF Jamal Malinzi wakisaini mkataba wa udhamini wa ligi daraja la kwanza Tanzania bara Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo...
View ArticleMALINZI AFUNGA KOZI YA MAKOCHA LESENI C, ATOA ANGALIZO KWA WAHITIMU
Juma Pondamali ‘Mensah’ akikabidhiwa cheti chake na Jamal Malinzi Rais wa TFF Rais wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya wiki mbili ya makocha lesseni C inayotambuliwa...
View ArticleLEGEND WA SERIE A FRANCESCO TOTTI : ONE MAN, ONE CLUB, 300 GOALS
Mwanaume mmoja ndani ya club moja kwa carrer moja ameweza kufunga magoli 300. Huyo sio mwingine bali ni legend wa Serie A Francesco Totti. Tangu tuanze kumjua kama professional player alikua anavaa...
View ArticleTIGO NA HUAWEI WAUNGANA KWENYE KITU HIKI
Katika kile kinachoonyesha ni kujipanga vyema, kampuni nguli za mawasiliano nchini Huawei na Tigo wameungana kukukufikishia huduma kwa gharama nafuu na haraka zaidi. Tigo na Huawei wameungana...
View Article